The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Umesahau Zambia?Hivi vitu vipo Kenya, Ghana, South Africa na Malawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau Zambia?Hivi vitu vipo Kenya, Ghana, South Africa na Malawi
HunishindiNampenda Uhuru Kenyatta.
Hivi mkuu kweli uhuru na ruto ni maadui au wanaingiza tu kuin ngiza akili za watu chaka?Sa siamuunge mkono kama anapenda Democrasia maana ye muda wake ushaisha na wapo chama kimoja kwanini saivi anamgeuka na kuunga mkono kabila lake?
Hawa jamaa hawaelewani kabisa wanataka Odinga aingie kisa ukabilaHivi mkuu kweli uhuru na ruto ni maadui au wanaingiza tu kuin ngiza akili za watu chaka?
Mkuu sasa wakikuyu si naskia hawapendi Odinga. Wengi wanamuunga Ruto. Inakuwaje Uhuru na Ruto wachukiane. Mimi sidhani wanaingiza tu na kuchora watu.Hawa jamaa hawaelewani kabisa wanataka Odinga aingie kisa ukabila
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwahiyo 2030 tumpe Makongoro?!
Uhuru na Odinga ni kabila mojaMkuu sasa wakikuyu si naskia hawapendi Odinga. Wengi wanamuunga Ruto. Inakuwaje Uhuru na Ruto wachukiane. Mimi sidhani wanaingiza tu na kuchora watu.
Uhuru na Odinga ni kabila moja
Ruto ni tofauti
Kenyatta hajaua watu? Wenzetu mpo kwenye hii dunia ambayo wengine tupo?Kenyatta ni civilized na educated haitaji kuua watu Ili akamalike
Kenyatta hajaua watu? Wenzetu mpo kwenye hii dunia ambayo wengine tupo?
BAVICHA mna matatizo ya akili. Mtu ambaye alishapelekea the hague ana ubora upi? Mtu ambaye katajwa kwenye pandora papers ana ubora gani?hague walisemaje
Ndio upo dunia nyingine weweeeKenyatta hajaua watu? Wenzetu mpo kwenye hii dunia ambayo wengine tupo?
This man called Uhuru Kenyatta is gentlemanBinafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
BAVICHA mna matatizo ya akili. Mtu ambaye alishapelekea the hague ana ubora upi? Mtu ambaye katajwa kwenye pandora papers ana ubora gani?
Binafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.