Uhuru Park, Kenya: Raila Odinga aapa kama Rais wa Watu bila kuwepo kwa makamu wake Kalonzo

Zamani haikuwa issue, ila kwa miaka ya karibuni nimepata kusikia kuwa mtu akiwa na govu huwa linaathiri uwezo wake wa kufikiri.
Yaani hawa majamaa hata ukiwasikia wanavyoongea unaona kabisa kuwa hiyo yote hiyo ni impact ya magovi.
naheshimu posti zako mkuu ila hii......................
 
Mimi namtambua Uhuru kama rais halali wa Kenya, Odinga anacheza makida tu.
Je baada ya "kuapishwa" kinafuata nini?? This was a trap and Uhuru was very smart to let him "sworn in".
mimi nampenda uhuru saana he is smart sasa huyu odinga atanyoroshwa
 
Zamani haikuwa issue, ila kwa miaka ya karibuni nimepata kusikia kuwa mtu akiwa na govu huwa linaathiri uwezo wake wa kufikiri.
Yaani hawa majamaa hata ukiwasikia wanavyoongea unaona kabisa kuwa hiyo yote hiyo ni impact ya magovi.

Mkuu ushmvulia Rila ukaona kama ana govi au umekariri kwamba waluo hawatahiriwi?
 
Nini Wewe? Ile Ndiyo Kenya!, Uliyoandika Labda Hayawezekani Kwenu Tu. Raila Tayari Ameshakula Kiapo Watu Wanasherekea Unataka Nn Kingine? Baki Kwny Gunia Hivyohivyo. Kipenzi Cha Wakenya Tayari Wanamtambua Rais Wao Hata Kama Watamuua Lkn Lengo Lao Wametimiza. Wacha Sisi Tubaki Bongo Madhee!
 
naona kenya kugawanyika, kenya ya mashariki na magharibi
 
Raila kashinda bila uchaguzi? haya ni mapinduzi ya askari wa mjini sio wa msituni kama walivyofanya akina Museven na Kagame.
 
Raila is an attention seeker.
 
Mimi namtambua Uhuru kama rais halali wa Kenya, Odinga anacheza makida tu.
Je baada ya "kuapishwa" kinafuata nini?? This was a trap and Uhuru was very smart to let him "sworn in".

You don't count, Miss! Umtambue, usimtambue it doesn't make any difference.
 
Gideon KipShow me Kalonzo...I'm gonna pay this guy

Martin Kiogoramimi pia nataka kuapishwa next week

Thomas MwangiFIRE BURN DEM FOOOLSSS!!!!!!


Emmanuel Mboyakalonzo in bar mpole

Alvis BiiBABA UMECHEZWA


Stan KeyLET LOVE LEAD ~TB JOSHUA

dukevalentinoisOath ni line mbili

DAVIS MATEi should`ve had a woman today to begot a child

Lize Wambui#Leon hehehe yeah

John ndung`uwhat a day,kalonzo ni maembe sana


billy wekesaCongratulations baba


Peterson njui........KALONZO

Renin JumaFROM TODAY HE IS MY PRESIDENT

Abiud Ngenoaki wajaluo mnakuaga wajinga hivi


dukevalentinoisRaila alinaswa Mudavadi kumbe mjanja hivo

Ken Kimaniafrocinema continues shortly

Thomas MwangiKWISHA

Caroline MakandiTunaapisha Kalonzo lini?????

Imani Marian NjoguEven his people noticed the nonsense and decided to leave. Smart politicians LOL Lets move on sasa as he builds his statehouse in his head.

GODFREY NYONGESAI sense cowardice, why? how?

Nyeusi wamamejiapisha kama mwizi

Obadiah Chemwenophotos of KALONZO'S arrest LEAKED online
 
Basi kama kaapishwa aende ikulu basi na aanze kucommand vikosi...

Watu wengine bana... Mwenzake Maalim Seif kapumzika saiv, labda 2020 hataki vurugu. Sasa huyo sijui anataka nini
Kama hujui siasa bora unyamaze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…