Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Kutanguliza udini kwenye swala DP WORLD ni Upumbavu, Bandari siyo Mali ya Kanisa au Bakwata
 
kibibi kinenene kifupi kinapewa dozi yake
 
karma ya kumtukana Magu mbwa wewe
 
Wakati wanamdiss mwendazake walichagua maneno? Unajua siku zote hekima ni jambo la msingi sana kama ilivyo heshima. Leo hii mtu wao anapewa vidonge vyake roho zinawauma. Kuimba kupokezana 🤣
 
Wanaotukanwa washauri waende mahakamani .
Exactly ndili nililoshauri na ikiwa wao hawawezi kwenda mahakamani, serikali iwapeleke wakajieleze.

Mimi nashangaa mtu anajinadi "mimi wakili msomi" halafu haendi mahakamni kwenye vyombo vingie vya kisheria kuuonesha usomi wake, yeye anabaki kuwa "opportunist" kudandia majukwaa ya kisiasa kuwamezesha watu chuki.

Saa zingine huwa nasema, Magufuli kwenye hili la kuwaambia watu hakuna siasa za majukwani mpaka ufike wakati wa uchaguzi alikuwa sahihi. Mama aendeleze hilo.
 
Acha kutumika vibaya
 
Haya makubaliano ndio watu wanayapinga, sio uarabu au dini kama mnavyopotosha.
 
Uhuru ni nyie mkitaka kusema. Si kaingia huyu mama akamrudisha nape kwenye asali ili kufungua nchi kwa waandishi wa habari. Sasa mumeleta zengwe lenu kutaka kuwauzia waarabu bandari zetu mkijua kazi mtapewa waswahili tu. Msituzingue bhana tunataka bandari zetu. Watanganyika hatuna jadi kuabudu wageni. Tutaendesha nchi yetu wenyewe. Ndio maana ya uhuru. Sio eti tuwekeze mabilioni bandarini zetu na tunajenga sgr hadi congo halafu wajanja waje muwape wao kukusanya mapato ili wakugawieni halafu wenyewe tuangalie tu.
 
Binti, acha uvivu. Nimekutajia majina na vyeo. Kama ungekuwa kweli una nia njema ungejihakikishia mwenyewe. Sitakuwekea hicho unachoita ushahidi kwa sababu najua hamna siku umekemea mtu wa upande wako.

Amandla...
 
UWT ni Umoja wa Wanawake wa Tanzania. Usalama umetokea wapi? Sasa kama hili unapotosha kwa makusudi kabisa itakuwaje kwa hayo mengine?
Ni haki yako kusema nilichoongea kuwa ni porojo zisizo na msingi. Haibadilishi ukweli.

Amandla...
 
Tatizo limeanza kwa uelewa wa viongozi.
Inaenda kwa watu kuwaomba kuendesha miradi wako kama Bandari.

Wao wanakuandikia masharti yao na bila kuyasoma kwa umakini na kuelewa unasaini.

Ilitakiwa wewe mwenye Mradi uitishe tenda.
Ndani ya tenda yako ndio unaandika mimi nataka kampuni itakaweza kufanya hivi na hivi na hivi katika Bandari yangu.

Kampuni inayosema hata ikipitisha magaidi iruhusiwe tu. Hata isipo weza kufanya kazi kwa mfano waamue kugomea kushusha makontena waaachwe tu.
Haiwezi kunyamaziwa hata kidogo. Na hao wanaosaini hawawezi kunyamaziwa pia.
Haya mambo ndio yaliyosababisha baadhi ya nchi za Kiafrika kudorola kiuchumi na kupelekea kuingia kwenye machafuko ya wenyewe kwa wenyewe.

DP World inataka kuja kuitawala nchi na sio kushusha Makontena.
Mnafikiri mlivyo wapindua Waarabu kwa kuwaau wengi wao wanapenda na wanawachekea tu.
Au Wamesahau ?
 
Good! Ili jukwaa lijiridhishe kua wewe hujaleta hbr kiuchawachawa ni vzr uainishe hayo matusi, kejeli, maudhi, yaweke ili tujiridhishe!!!
 
Hivi huyu ni Faiza yuleyule aliyekuwa anajua kupanga hoja na kuandika vizuri au ni mwingine aliyevurugwa na zimwi la DP World?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…