Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Mlianza suala la udini mkatolewa knockout sasa mmekuja kutisha wakosoaji rudini nyuma wambieni hao DP WORLD huo mkataba waTanzania wameukataa warudi tena mezani tuweke mkataba mzuri tuwape fursa wananchi watoe maoni yao ndo tusinye
"Huo "udini" ndiyo nini na umeanzishwa wapi ma nani?
 
Wewe mwenyewe huna ustarabu katika kutoa maoni yako. Una maneno ya dhihaka kwa wengine na ubaguzi wa waziwazi wa kidini. Wewe ni mdini sana. Sidhani kama una audacity ya kusahihisha wengine.
Weka ushahidi. Wacha porojo.
 
Hilo ni sawa kabisa, lakini si linatakiwa lijadiliwe kiamani, kila mwenye hoja aiseme hoja yake bila jazba wala uchochezi au kuomesha chuki kwa wengine?

Au wewe unaridhika na lugha za uchokozi (provoking) zinazowachiwa kutumika hivi sasa?
Wewe ulikuwa wa Kwanza kuleta lugha za kejeli Kwa kuwaita waliopinga mkataba hawajatahiriwa na kafiri. Hiyo lugha ilikufurahisha wewe na uliowalenga? Ilikuwa inaleta Umoja Kwa muono wako?
 
Serikali na Bunge batili hawakuchaguliwa na Wananchi waliyo wengi (rejea hoja za presser ya kwanza ya Dr. Slaa kuhuhus mgogoro wa DP World). Siyo huyo mvaa ushungi, Waziri Mkuu, na Wabunge. Ni genege la Majambazi na Wahaini na lazima tuite a spade for what it is.
 
Wewe ulikuwa wa Kwanza kuleta lugha za kejeli Kwa kuwaita waliopinga mkataba hawajatahiriwa na kafiri. Hiyo lugha ilikufurahisha wewe na uliowalenga? Ilikuwa inaleta Umoja Kwa muono wako?
Weka ushahidi.
 
Serikali na Bunge batili hawakuchaguliwa na Wananchi waliyo wengi (rejea hoja za presser ya kwanza ya Dr. Slaa kuhusu mgogoro wa DP World). Siyo huyo mama lao mvaa ushungi, Waziri Mkuu, na Wabunge na yule mama kinyago mpingo wa bungeni. Ni genge la Majambazi na Wahaini na lazima tuite a spade for what it is.
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
PUMBAVU. Bandari zetu zote kuuzwa kwa faida ya watu wachache si uvunjifu wa amani???
 
Sawa kabisa, kila mmoja wetu ana maoni yake, na ni vizuri kwenye maoni tusijumuishe, uweke huyo mwana siasa na alichokifanya ambacho wewe hukioni sawa, ndiyo nguvu ya hoja.

lakini kutukana na kuchochea kwa lugha za maudhi kunajenga au kunabomoa?
Hao unaowaona wanahatarisha amani Leo, walipoleta hoja zào walijibiwa na wa upande wako kwamba ni WAPOTOSHAJI, uliwahi kukemea Hilo neno?
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Mpaka nimechoka kurekebisha. Ume panic sana ungemwambia mtu akuandikie. Pia Elimu ni kitu kizuri. Watu wenye elimu zao wanakosoa na wanaeleza Mkataba wa Chief Mangungu wa Msovero haufai Karne hii. Na ndo unaonekana umuhimu wa kuwa na Maraisi wasomi maana hali ni mbaya. Ule mkataba mtu mwenye Elimu hata ya form four ambaye ana ufaulu mzuri hawezi sign.
 
Hili la Udini tulilileta wenyewe tulipoanza kumtetea kwa misingi ya Udini. Wakati shida si kufanya kazi na DP World shida ni mkataba wa Kichief Mangungu wa Msovero alioingia Chief Hangaya.
 
Wazanzibar chonde chode mali za Tanganyika ni za watanganyika wenyewe vizazi na vizazi kama Mwalimu alivyoziacha mali na sisi tutawaachia vitukuu vyetu. Sasa ni hivi fanyeni yote sawa ila kwa hili la kumuuzia mwarabu bandari zetu tena kwa mkataba wa milele aisee mtatusamehe, hatutakubali.

Onyo
: Na nyie watanganyika wenzetu aka machawa wa kuigalaliza Tanganyika yetu muache mara moja, siku zenu zinahesabika, punde tutawaweka kwenye list ya aibu - majina yenu, vijiji mlivyotoka, koo zenu na familia zenu kwamba nyie ndiyo adui number moja wa Tanganyika yetu.

Lazima tuheshimu Uhuru wetu wa mwaka 1961, Uhuru maana yake ni kujitawala; mali zote ni lazima ziwe mikononi mwetu na si kwa wageni.
 
Maoni hayawezi kumpendeza Kila mtu, la msingi ni serikali kutoa ufafanuzi Ili kuondoa sintofahamu. Shida anapokosolewa mtu wa dini Fulani hatuyaoni mapungufu yake ila tunakimbilia kusema anasemwa sababu ni .......... au Mzanzibari. Watu wanauchungu na nchi yao. Maneno makali ni msisitizo wa kiile ambacho hawataki kifanyike.
 
Yaani watu wauze nchi yetu halafu tukae kimya, hiyo haiwezekana na kama mtu unataka uheshimiwe kwanza jiheshimu wewe na kwa maoni yangu hayo matusi ni kidogo tu inatakiwa wapigwe mawe kila wanapoonekana
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Tulieni kwanza ili 💉 dawa iwaingie. Ilikuwaje hamkuamua kuwauzia hao ndugu zenu Waarabu bandari zenu za Zanzibar? Na badala yake mkaona muwauzie bandari zetu za Tanganyika?

Na kama mlikula hela zao, mtazitapika kudadek zenu.
 
Good! Ili jukwaa lijiridhishe kua wewe hujaleta hbr kiuchawachawa ni vzr uainishe hayo matusi, kejeli, maudhi, yaweke ili tujiridhishe!!!
Kasome huu uzi, tazama post #5 kwenye huo uzi.
 
bado haijaisha, usiandike uongo halafu useme "imeisha hiyo".

Mimi sijaona maridhiano hayo uliyoyaandika,, niliyoyaona mimi yamepitishwa na bunge ni haya:

View attachment 2680553

Tafadhali tuwekee hayo uyasemayo wewe tuyaone. Kama u mkweli twende mahakamani kwanini bunhge wametudanya kama usemavyo wewe?


Ujuwe lakini ukisema bunge limekudanya inabidi uwe na ushahidi kamili la sivyo nadhani kuna sheria za nchi.
Kumbe na Lake Ports??
Nilijua ni vipande baadhi tu vya Bandari ya Dar Es Salaam
 
Back
Top Bottom