Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Kwanza kumbuka, mimi ni Mtanganyika kuliko wewe. Nimezaliwa Tanganyika, kabla haijawa Tanzania. Naitafuta sana Tanganyika yangu siioni.

Nenda mahakamani ukalalamike, hapa hatujaona bandari iliyouzwa.
Watu wa ovyo wanashabikia mambo ya ovyo. Wewe umeamua kushabikia jambo hili kwa sababu aliolifanya ni muislamu na kwasababu kuna wajinga wametia udini ktk jambo hili. Acha kuchabikia ubaya kwasababu tu limefanywa na mwislamu na watu kutia udini
 
Uliona kuna mtu au chombo chochote kimemzuia yoyote kutoa maoni? Lakini kutoa maoni kwa njia ya matusi, kejeli kwa viongozi, dharau hiyo si njia sahihi za kutoa maoni. Kumbuka inapoishia haki yako ya kutoa maoni ndipo inapoanzia haki ya mwingine.
Ukiwa kiongozi lazima upate kejeli, ukowa hutaki kejeli basi usiwe kiongozi
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Uhuru ukiuwekea mipaka ni vitisho.Mpaka Sasa hoja za wananchi wazalendo hazijibiwi; kwa nini?Kitu kilichofanywa kwa nia njema na ukweli hakiwezi kukosa majibu
 
Wewe ulikuwa wa Kwanza kuleta lugha za kejeli Kwa kuwaita waliopinga mkataba hawajatahiriwa na kafiri. Hiyo lugha ilikufurahisha wewe na uliowalenga? Ilikuwa inaleta Umoja Kwa muono wako?
Ushahidi wa kauli za kuudhi za FaizaFoxy ziko nyingi tu humu. Halafu anasema weka ushahidi!! Huna lolote wewe mama. Wengi humu wanakuita Jihadist kwa udini wako. Wengine tunaogopa hata kukutana na wewe uso kwa uso, maana tuna wasiwasi na uvumilivu wako kwa mtu wa dini tofauti na wewe.
 
Watanzania tuna shida kubwa sana ya kujitafutia huzuni, chuki, hasira na uzandiki

Hadi sasa kuna baadhi ya kauli zinatolewa na viongozi hasa wa dini moja zikionyesha chuki mbaya sana mioyoni kwao… na to some extent zile chuki z inaonyesha hasira zao Kwa Mungu kuliko hata walengwa wa hapa duniani

TumeshasahAu all the fears and victimization zilizokuwepo

Tumeshaanza nchi lazima iende kisasa….

Acha tuonyeshe unafiq wetu…. ILA tusisahau siera Leone was once peaceful kama Tanzania

Nani anayefadhili chuki hizi?
Hii ni hofu
 
Huyu mama ataiacha tz iliyogawanyika sana
 
Unaona lugha hiyo, hao "wezi" ni nani na nani na wamekuibia nini?

Duniani wezi kweli wapo lakini unamshutumu mtu bila ushahidi sheria haikuruhusu na unaweza kuchukuliwa hatua. Usifikiri nyuma ya hii mitandao tumejificha kiasi cha tukitakikana hatuwezi kupatikana.

Kisa unatamani wachukue bandari ndo uje hapa kutisha watu!! Kama umeishiwa hoja usitishe watu!!
 
Hilo ni sawa kabisa, lakini si linatakiwa lijadiliwe kiamani, kila mwenye hoja aiseme hoja yake bila jazba wala uchochezi au kuomesha chuki kwa wengine?

Au wewe unaridhika na lugha za uchokozi (provoking) zinazowachiwa kutumika hivi sasa?
Mbona hata wewe una maudhi sana. Kuwaita Wakristo Wagalatia kwako ni neno la Kistaarabu eeeh. Tuache na Tanganyika yetu tafadhali.
 
Kila mtu ana jambo lake ki maslahi, likiguswa atalalamika.

Jambo la DP World lina maslahi pande tofauti. Kila upande usikilizwe.

Hakuna kuona hawa ni hawa, wale ni wale...
Hilo jambo ndilo linahitajika kujengewa msingi wa hoja lakini shida inatokea pale upande mwingine unapokosa kutumia staha na lugha shawishi ndicho kinachozungumzwa hapa
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Umeongea jambo la msingi sana
 
Acheni watu watoe madukuduku yao.

Hofu ya nini kama mnaamini mama yenu anachofanya ni sawa?

Kama mnakubali asifiwe basi pia kubalini asemwe kwa namna yoyote ile.

Mnaumia nini akisemwa?

Kama hamtaki asemwe mwambieni aache kazi arudi Unguja akacheze na wajukuu zake.
Mbona msukuma mwenzenu alikuwa anaua watu
 
Toka uanze mjadala wa DP world, umekuwa na makosa mengi ya kiuandishi.

Mfano Uzi huu una makosa zaidi ya 10, na wewe ilikuwa kinara wa kuwarekebisha watu wanaokosea.

Kuhusu DP world sina cha kuongeza wala kuongeza, mtavyokubaliana ndio hivyo hivyo
Ameshakula vya haramu,amepoteza umakiji Kwa kuwa hajiamini tena
 
Hilo ni sawa kabisa, lakini si linatakiwa lijadiliwe kiamani, kila mwenye hoja aiseme hoja yake bila jazba wala uchochezi au kuomesha chuki kwa wengine?

Au wewe unaridhika na lugha za uchokozi (provoking) zinazowachiwa kutumika hivi sasa?
Wanaojadili kwa staha ndiyo wanao onekana wanafujo zaidi, sababu wanaleta hoja ila zinajibiwa kwa mihemko na matusi, wakirejeshewa same like ndiyo wanaonekana wanataka kuleta cosovo, how?
 
Tunataka mama aendelee na kazi ya Magufuli, kwanini aliruhusu mikutano ya siasa kabla uchaguzi, Mwamba alisema No.

Bunge live. mwamba alisema no. Kukawa shwari, sasa Mama Samia karuhusu yote hayo inakuwa kosa?

Basi mama Samia tunamtaka awaachie vyombo vyetu vya usalama vitaame ukweli wa haya mambo, wataamua wao wapi watu wamevuka mpaka wa Uhuru wa maoni.

Mbona mjadala huu, hakuna matusi, hakuna kejeli, moderators wanafanya kazi vizuri kabisa, naamini wakiona kuna mtu kalianzisha wanafuta post.

Tulumbane kwa hoja.
Nenda kamwambie mama yako ikulu kuwa aachie vyombo vya usalama,unamwambia nani?
 
Back
Top Bottom