Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Mbona january na makamba,zito na kinana walimtukana magufuli na hawakufanywa kitu?Mkuu hawa wakristo wanaojificha nyuma ya CHADEMA wameshiba na mpaka wamevimbilwa huruma na uungwana wa mama. Wanataka kurejeshwa kwa umagufuli kidogo ili akili ziwakae sawa. Yaani mtu kama Nshalla anatukana kabisa halafu kesho yake anaamka na ngonjera eti kuna watu wanataka kumuua tena kwa kibri!!! Mama tupa kule upole wako waoneshe sura nyingine.
Lisu: Wanaotetea mkataba wa DPP World ni either WAMEHONGWA or HAMNAZO!!Amezeeka. Anaandika huku anatetemeka/anatetema.Apewe ugoro wake.
Mtoa mada ni mtetezi wa hao wezi DP world
Wanasheria watoke kumtetea asijechakaa JELA.Ndio Juma Dawa kusema "Laisi mwenye ushungi" tu kafungwa. iko wapi freedom of speech freedom of expression
View attachment 2680905
Samia awakemee machawa wanamuharibia.
Nina wasiwasi na elimu yako.Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.
Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.
Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.
Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.
Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?
Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.
Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?
Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.
Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?
Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.
Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.
Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?
Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.
Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.
Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Kwa hiyo walivyokwenda kuomba radhi kwa siri wewe hukupata taarifa?Mbona january na makamba,zito na kinana walimtukana magufuli na hawakufanywa kitu?
Aliekaenda kuomba radhi ni nape tu ushahidi upoKwa hiyo walivyokwenda kuomba radhi kwa siri wewe hukupata taarifa?
Huyo mswahili achana naye, ni mzee sn kazi aliyobaki nayo ni kujipendekezaUhuru wa maoni. Unataka wote mfanane mawazo kama vimbwenerehi?Vumilia.Haiwezekani bi-shosti!
Magufuli angekua analinda rasilimali za nchi hii ansingekubali kumuuzia migodi ya dhahabu Professor John lawson Thornton wa Barick PLCHizi kelele zote unazo ona watz wanapiga kulinda bandari yao ni matunda ya Magufuli kuwazindua watz juu ya kulinda rasilimali zao!
Baki na upumbavu wako wa kiarabu
Ujutie kwa post yako isiyo na mshiko, kwan isingekuwa mkataba mbovu nan ungemuona anaongea haya yote, sis ajenda yetu ilikuwa katiba mpyaMi nijutie lipi? Lipi nililokukera wewe?
Bado hujabadilka chochote, hapa unafanya hadaa kwa sababu hali imebadilka.Kwa kauli hiyo tujiulize, kama katiba ni hiyo hiyokinachomzuwia Rais wetu wa sasa kuwa "dikteta" ni nini? Hususan zinapoanza kejeli kwake, kwa Uzanzibari wake na hata kwa Uislam wake?
Mkataba upi unaouuzungumzia, mbona huo mkataba sisi hatuuoni mnauona nyinyoi tu? Su makubaliano ya mahusiano ya nchi mbili ndiyo yamekuwa "mkataba"?Ujutie kwa post yako isiyo na mshiko, kwan isingekuwa mkataba mbovu nan ungemuona anaongea haya yote, sis ajenda yetu ilikuwa katiba mpya
Rais si ameamua kuwaacha eti Demokrasia ngoja wamuoneshe gani wanayoiweza ya kupiga Domo na mbaya zaidi Rais mwenyewe hajui kuongea hana mdomo Sasa sijui itakuaje..Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.
Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.
Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.
Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.
Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?
Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.
Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?
Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.
Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?
Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.
Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.
Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?
Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.
Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.
Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Kwakweli too much of everything is harmful !!Hilo ni sawa kabisa, lakini si linatakiwa lijadiliwe kiamani, kila mwenye hoja aiseme hoja yake bila jazba wala uchochezi au kuomesha chuki kwa wengine?
Au wewe unaridhika na lugha za uchokozi (provoking) zinazowachiwa kutumika hivi sasa?