Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Uhuru wa maoni uwe na mipaka. Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni uchokozi

Suluhisho ni huko CCM kumpiga chini huyu ambaye anadhani atapata tena hapo 2025!! Kigezo cha kumpiga pini ni kwamba amekiuka katiba aliyoapa kuilinda!! Haiwezekani jambo la muungano lihusishe bandari za bara tu!!! Ukivunja katiba ni kwamba umejinyima uhalali wa kuendelea kuliongoza Taifa!! Ndugai alisema kuna siku nchi itapigwa mnada!! Si tumeyaona sasa?
 
Yaani mkataba wa bandari unaanzishiwa wizara mpya ya kuubeba na kuulinda!!! Huyo aliyekabidhiwa wizara hiyo macho yote 120,000,000 ya watanzania yanakuona na Mungu anakuona!! Usitumike kuratibu uporaji wa rasilimali zetu!!! Ujue mkono wa Mungu ni mrefu sana kuliko wa huyo aliyekupa hiyo nafasi!!
 
Wanasema jiheshimu kabla ya kuheshimiwa, ila bibie unakeraaa kupita kiasi.
 
Tulia huyo maza ako apigwe spana si anajinasibu masikio kaweka nta ataendelea kupigwa spana mpaka akili zimrudie

Naona mmeanza kumshauri awe dictator, tayari amechelewa sana
 
Naomba usiingize uislam na ukristo katika hili la DP world. Wala usiingize uarabu na uswahili.
Aliyetukosea adabu Ni DP world na wazanzibari waliosaini mkataba bila kuusoma na kuu elewa au kuchukua kitu kidogo.
Usilete sababu nyingine. Wabaya wetu tunawajua.
Ulitaka Nape atetee uuzwaji wa bandari au amtetee Waziri Prof msomi aliye saini mkataba bila kuusoma?
 
We mpumbavu kweli sasa unaingiza udini kutetea ujinga mbona waislamu kibao wamelaani huu mkataba acha ujinga we ajuza
 
Hofu yako wewe ni vita n machafuko. Hatuna budi Kihistoria Israel ni Taifa la Mungu ila walipambania Haki yao wenywe.
Umeshafika Israel? au kufanya japo utafiti kidogo kuhusu Israel?

Kuna mafanikio gani toka taifa hilo lianzishe? Au kwako kuishi kwa hofu usiku na mchana na kuwa "mbinguni" (haven) ya upinde duniani, ndiyo mafanikio? Au watu kukasirika kila linapotajwa jina la Yesu (AS) mpaka serikali yao kuwasilisha mapendekezo bungeni jina la Yasu (AS) lisitajwe ndiyo mafanikio?

Una haki na maoni yako lakini nakukumbusha usemi wa wahenga "udege mbaya haubembelezewi mwana".
 
Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Dah!
Leo hii wewe ndiye unakuwa mtu wa kuyaona haya?

Siku zote umekuwa ukifanya nini ndani ya JF; kama siyo kuchonganisha watu kwa tofauti zao ndogo ndogo?

Kwa hiyo sasa tuseme umepata fundisho, na unaiona hatma ya yote haya yanayoendelea sasa hivi?

Umetambua hao unaowatetea humu hawana njia bali wasalimu amri ya umma?

Umeanza kuona hatari inayowakabili hao wanaosema "hawasumbuliwi na kelele"?
 
Naomba usiingize uislam na ukristo katika hili la DP world. Wala usiingize uarabu na uswahili.
Aliyetukosea adabu Ni DP world na wazanzibari waliosaini mkataba bila kuusoma na kuu elewa au kuchukua kitu kidogo.
Usilete sababu nyingine. Wabaya wetu tunawajua.
Ulitaka Nape atetee uuzwaji wa bandari au amtetee Waziri Prof msomi aliye saini mkataba bila kuusoma?
Huo mkataba wa uuzwaji bandari uko wapi? Unao wewe? bandari ipi imeuzwa na kwa shillingi ngapi? Nani muuzaji na nani mnunuzi?

Ukishindwa kujibu hayo maswali ina maana wewe ni fataani, unabwabwaja na kuhororoja bila mpango.
 
Kwel kbs Leo umeongea point ya msingi Kwa kuanza serikali ianze na wapumbavu wawili humu wanaoeneza chuki za kidini humu Kuna mzee Moja na bibi flan ambae hafai hata kua mshangazi
 
Huo mkataba wa uuzwaji bandari uko wapi? Unao wewe? bandari ipi imeuzwa na kwa shillingi ngapi? Nani muuzaji na nani mnunuzi?

Ukishindwa kujibu hayo maswali ina maana wewe ni fataani, unabwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Wewe Ni msomi Tena ulikwenda shule when education was education. Nashangaa ujio wa DP W unakufanya ujitoe toe ufahamu na kuwa chawa wa kutupwa.
Najuwa hutegemei uteuzi Kama Mimi Ila sio bure, kwa uchawa huu lazima Kuna kitu kime change hands. From somebody's hand, to yours.
Hivi wewe Ni wakujiweka kundi moja na Zembwela, Manara, Kitenje, Steve Nyerere, Mpoto.
Be yourself acha uchawa.
 
Hivi karibuni nimesikia vifuatavyo:
1. Katibu wa Idara ya Hamasa wa UVCMM akiwa Geita amesema katika mkutano wa hadhara kuwa watagawana mbavu na vidole vya Mange Kimambi. Amesema wataruka na Mbowe na amemuita mhuni na mlevi. Na amekazia kuwa hamna wa kuwafanya kitu
!) Hayo umesikia wewe, sisi hatujasikia. Tupe ushahidi usitulishe matango pori.
 
Haakuna shaka yoyote, kwa sasa hivi tunaona Watanzania wengi, wanaojiita wasomi, wanaojiita mawakili wakitowa maoni yao kwa lugha ambazo ni za kuudhi, kukebehi, kukejeli mapa kutusi.

Haya yanayoendelea si maoni tena bali ni vunjifu wa amani uliokusudiwa. Uhuru wa maoni ni lazima uwe na mipaka.

Mtu anajiita mwanasheria msomi au wakili msomi , mwanasiasa, anasimama kwenye majukwaa ya habari na kurusha matangazo yaliyojaa chuki kuwa nchi inauzwa, au bandari inauzwa, Wazanzibari waniuza nchi. Na cha kushangaza sana waziri wa habari amekaa kimya. Waziri wa sheria amekaa kimya. Waziri wa mambo ya ndani amekaa kimya, waziri wa ulinzi amekaa kimya.

Nashauri, vyombo vya habari vyote vinavyorusha matangazo ya chuki vichukuliwe hatua kali za kisheria. Wale wote wanaosimama majukwaani na kufanya uchokozi wa makusudi wachukuliwe hatua za kisheria.

Mpaka sisi tuliozowea mitandao ya kijamii tunawashangaa moderators wapo kimya, watu wanaporusha matusi na kejeli mpaka kwa Rais na mawaziri wake. Hivi hatuyaoni? Au tunapenda huu uchokozi uendelee mpaka uzae madhara?

Kuuwasha moto ni kwepesi sana, kazi inakuja katika kuuzima.

Mimi nadhani wale wote wanaodai nchi imeuzwa waende mahakamani au kwa wao kupeleka madai au serikali iwaite mahakamani waje kuonesha nchi imeuzwa wapi na kwa lipi zaidi?

Nahisi kuna watu wapo nyuma ya pazia amabao wanadhani labda yataishia kiwepesi wepesi yakiachiwa yaendelee. Sasa hivi tayari chuki za wazi zinajionesha kati ya Wasio EWaisslam na Waislam, wasio Waarabu na Waarabu, Wabara na Wazanzibari. watu wa pwani na wasio wa pwani.

Hivi hayo yote kweli yamesababishwa na makubaliano ya Dubai na Tanzania yaliyopitishwa bungeni au kuna yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo hatuyaelewi?

Tunaionmba serikali ichukuwe hatua za dhati, kila anaerusha au kuongea chuki akajieleze kwa ushahi wa hayo ayasemayo, kama hana ushahidi aseme ukweli ni na nani yupo nyuma yake anaemlipa au kumchochea kufanya hivyo.

Serikali itumie mbinu za kawaida na zisizo za kawaida za kiusalama ili kulinda raia wa nchi hii kujiingiza katika chuki na migogoro isiyo ya lazima. Huu ni mtego wa panya watania waliokuwemo na wasiokuwemo.

Naamini katika uwazi na ukweli na naamini katika uhuru wa maoni na habari, lakini kila uhuru ni lazima uwe na mipaka yake. Naona au Tanzania hatuna mipaka ya kujielezza maoni yetu aukama tunayo ama hatuijuwi au tunaiwachiie makusudi mipaka inavukwa?

Serikali, hususa Waziri wa habari, Nape Nnauye tueleze tupo bado ndani ya mipaka ya sheria au tumekiuka? Kama bado upo ndani ya mipaka ya sheria za uhuru wa maoni, tunaomba shertia zikafanyiwe ukarabati. Ili tuwe nchi yenhe kuheshimu utowaji mapni yetu uwe wa kuheshimiana.

Wewe kama hupendi nilichosema au kufanya mimi nifahamisheni usinitukane.

Moderators wa JF tunaomba majukwa haya siasa na habari mchanganyiko yapewe kipa umbele ili yasiwe ni chimbuko la maafa.
Wewe ndio unatakiwa nyuzi zako zifutwe maana zimejaa udini.
 
Hivi karibuni nimesikia vifuatavyo:

2. Kiongozi wa UWT akiwa jukwaani Njombe amesema kuna watu wanaoishi katika nchi ambazo watu wanaoana jinsia moja halafu wanadiriki kukosoa mkataba wa Bandari. Amesema itabidi wawaangalie maana inawezekana nao ni wale wale.

Sina habari kama siku hizi Usalama wa Taifa (UWT) wanapanda majukwaani na kuongea. Tupe ushahidi.

Haya mambo unayosema "nimesikia" hivi unayasikia kutoka chanzo kipi? Maana yamekaa kishabiki kweli kweli, halafu unayasikia wewe peke yako? habari zote nyeti kwenye mtandao huwa tunaweka vyanzo ili kama zina au hazina ukweli kijulikane chanzo.

Bila kuweka chanzo inaonesha hizo ni porojo zzako tu zisizo na msingi.
 
Sikukusikia ukilalamika pale viongozi wa upinzani wanapotusiwa ( nchini kwetu mtu kuitwa shoga, mlevi, mhuni ni matusi) na kutishiwa kuwa watadhuliwa ( labda kama kuruka nae ina maana nyingine). Kutishia kumuua mtu (ukimnyofoa mbavu atapoteza uhai) hata kama alikukosea vipi ni kosa la jinai. Wote tunajua mara nyingi lugha za Mange Kimambi hazipendezi lakini hiyo haimpi mtu haki ya kumtishia uhai wake. Yote haya Faiza hukuyakemea.

Hauwezi kudai heshima kutoka kwa jirani wakati hauwakemei watoto wako wakimtukana. Wakina Mbowe, Lissu na wengine ni viongozi katika taifa hili na wanastahili hiyo hiyo heshima ambayo mnadai kwa viongozi wa chama chenu. Kufumbia macho matusi, vitisho na maneno ya kichochezi ya makada wenu yanawaondolea moral authority ya kukemea viongozi wenu wakitukanwa. Matusi na vitisho kweli havifai, tunatakiwa tuwakemee wote wanaotukana na kuwatisha wenzao bila kujali ni wa chama gani.

Amandla...

Sasa kijana, hayo yote unayasikia wewe bila kutuwekea chanzo? unategemea nikemee hewa?

Tuwekee hapa chanzo cha nani kaitwa shoga, na nani kamuita shoga?

Mimi nnafahamu Rostam Aziz kasema "Slaa hana maadili na kakumbushia kuwa kanisa lilimfukuza kwa kukosa maadili, pia akasema kuwa CCM ilimkataa asigombee kupitia CCM kwa kufata kigezo cha kanisa.

Pia Rostam Aziz akaendelea kusema kuwa aliwasaliti hata (chadema).

Chanzo changu hiki hapa: Jionee:

 
Asemwe usiku na mchana hatutaki matusi na ubaguzi wala uchokozi.

Wewe upo nje ya Tanzania halafu ni sukuma gang, tunakufahamu. Ndiyo nyinyi mnaochochea ujinga.
Usukuma umekujaje hapa ? Muingie mkataba tata halafu usingizie wasukuma. Kwa nini usipigwe ban kwa ubaguzi huu ?
 
Ajabu ni Mashehe kuchachamaa utazani DP wodi ni mali ya Mwamadi.
Wazanzibar wanachchamaa utazani DP wodi ni mali ya Sultani.
Hao akina Mwaipopo wamechukuliwa hatua Gani?
Nanile kauli kuwa "kwa Sasa nchi iko kwa Waislamu " umeisikia au Bado? Tena wanasema ni watumishi. Wanadai wengi wanataamani kuslimu ili kulinda mkate wao.
Sasa kama unataka mpaka watumike wasiojulikana ili kulinda Do wodi, inaonekana Mkate wako unatiwa mchanga.
Note. Utawala mbavu utaliangamiza Taifa iwe kwa Dp wodi au kwa jengine.
Haya tuuweni basi mbaki wenyewe
 
Wakati mwingine tuwe tunawadharau hawa wachumia tumbo.

Wanaofurahia kubakwa na kupora mali asili zetu.

Yuda 1 : 16 Watu hawa ni wenye kunung’unika, wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno makuu mno ya kiburi, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida.
 
Back
Top Bottom