Uhuru wa Palestina wanukia. Waziri wa baraza la vita la Israel asema Netanyahu haeleweki na Hamas haishindwi

Uhuru wa Palestina wanukia. Waziri wa baraza la vita la Israel asema Netanyahu haeleweki na Hamas haishindwi

Two states haitawezekana, Hakuna waziri mkuu wa Israel atakayekubali hicho kitu, two states ni jema, nani atamiliki Jerusalem, Nazareth, Bethlehem? Huko USA atakuja rais ambaye haitakubaliana na sera za Israel na ataungwa mkono na bunge tena rais huyo wa USA atakuwa mwenye asili ya kiyahudi, ataungana na adui za Israel kupinga sera za Israel kitakachofuata ni vita vikali sana kati ya Israel na majirani zake, ni suala la muda tu
 
Huu mfumo kweli :

Unatamani na wewe unyonywe ulimi tatizo sura mbovu domo lnanuka kangara halafu meno huna.
Labda unyonye koni lkn usubiri mpk mtu alewe manake akiwa macho lzm atatoka mbio.
 
Netanyhau kagoma kabisa kuundwa kwa two state na biden ni mnafki sana kwamba wataangalia, marekani shoga yake ni israel hizo drama waazocheza hakuna litalofanyika
Netanyahu anajipalia makaa kama pweza.
 
Back
Top Bottom