I love this story sir can you tell us more bila kuhatarisha usalama wa nchi? Walilipa kisasi huko huko Ujerumani au? na waliweza kutoka salama bila kukamatwa?
jamani TISS inanisikitisha na kunishangaza. manake hapa kwe2 SAUT tunasoma na agents wao yan ni waropokaji mpaka sisi mburula tunashangaa,vitu vingne wanavyoongea ni very secret hata kama mission complete ths is immoral manake tunaona hata kwny tamthlia za kina 007 na Jack Baur walivyo determined,esteemed and confident. enz za nyerere hawa jamaa wa tiss tulikuwa tunasikia tu leo hii wamezagaa mpaka watoto wanawajua. hawajielewi sijui hawapat mafunzo ya kutosha au ni wazembe kwa kuwa siku hizi wanawarecrut kiundugu undugu tu,anyway zaman recrutment ilikuwa very secret lakn siku hz ukiwa na ndg mwajiriwa wa gvt anaweza kukupa mchongo. kutokana na upe
nz wang wa intelligence doctrines nliwah kumwingia agent mmja wa tiss nae bila kujielewa akawa anajìachia,kwl nilishangaa mpka sasa sìwaamin tena cz imefikia hatua naamin tz inalindwa na kudra za mwenyez mungu na machale ya tiss agents wachache tena wale wakongwe sio hawa vijana wa kileo ambao hata mimì kw kutumia movie skills ningekuwa criminal oriented naami
n wasingenishka hata kdogo.
mtego gani mkuu?
jamani TISS inanisikitisha na kunishangaza. manake hapa kwe2 SAUT tunasoma na agents wao yan ni waropokaji mpaka sisi mburula tunashangaa,vitu vingne wanavyoongea ni very secret hata kama mission complete ths is immoral manake tunaona hata kwny tamthlia za kina 007 na Jack Baur walivyo determined,esteemed and confident. enz za nyerere hawa jamaa wa tiss tulikuwa tunasikia tu leo hii wamezagaa mpaka watoto wanawajua. hawajielewi sijui hawapat mafunzo ya kutosha au ni wazembe kwa kuwa siku hizi wanawarecrut kiundugu undugu tu,anyway zaman recrutment ilikuwa very secret lakn siku hz ukiwa na ndg mwajiriwa wa gvt anaweza kukupa mchongo. kutokana na upe
nz wang wa intelligence doctrines nliwah kumwingia agent mmja wa tiss nae bila kujielewa akawa anajìachia,kwl nilishangaa mpka sasa sìwaamin tena cz imefikia hatua naamin tz inalindwa na kudra za mwenyez mungu na machale ya tiss agents wachache tena wale wakongwe sio hawa vijana wa kileo ambao hata mimì kw kutumia movie skills ningekuwa criminal oriented naami
n wasingenishka hata kdogo.
Too much movies! Dead drops, Agents, Assets, Proxies,Ghosts mnasahau big picture kama mabalozi wa nyumba kumi, honest books kwenye majengo na vitu kama hivyo.
Halafu watu mnachanganya kati ya CID,UWT na DMI na hapo ndio kuna tofauti kubwa kati ya Tanzania na hizo CIA na 6. Muundo wa UWT ni totally civilian(Baada ya kutenganishwa na Polis 1960s) ila hao wengine wana uhusiano mkubwa na military
Sabayi if ulimboka was suposed to be dead then asingepona. They wanted it that way ili asimulie
Wakuu habari zenu,
Mimi nikiwa sina kazi siku za wikiendi huwa napenda sana kwenda movie na vijana wangu juzi kati nilikuwa mmoja ya watu n waliokuwapo katika kuangalia movie mpya ya Skyfall iliyochezwa na James Bond kwa udhamini wa heineken movie ilikuwa ni nzuri ila katika kuangalia nikapata wazo ambalo kidogo nikaona sio haba kuja kushare na nyinyi hapa
Daniel Craig aliyecheza kama James Bond anaonekana anafuatilia hardware fulani ya siri na hiyo hardware inatumika katika ku hack system za mi6 na kuuwa baadhi ya agents wa mi6 nilipenda jinsi jamaa alivyokuwa anaunganisha upelelezi wake jamaa alikuwa yuko fiti katika vitu vifuatavyo anatumia systema as fighting combat style yake systema kwa wasiofahamu ni ni aina ya russia martial arts training includes but not limited to hand to hand combat, grappling, knife fighting and fire arms training as well.
Training involves drills and sparring without set kata
Pili ana 'iq' kubwa
pia ni mtaalamu wa computer, (naposema computer namaanisha ku hack sio kutumia microsoft words na kuingia facebook na jf)
magari na ni mtumiaji mzuri wa silaha bila kusahau gadgets mbali mbali anazotengenezewa na q.
Sasa swali langu ni hili;
Mi6 kama Mi6 naamini wana watu wa aina ya Bond people who do not exist ila wapo katika mi6 wanakuwa wanajulikana na watu wachache sana kama m, q na moneypenny. sawa ni movie ila ni movie iliyo reflect mazingira halisi ya mi6
suali langu ni kwamba je TISS inazalisha na kutengeneza watu kama bond watu ambao wako fiti katika kila kitu kuanzia uwezo wa kupigana , utumiaji wa silaha, iq na masuala ya gadgets ?
Tiss wana watu ambao they dont exist? Watu ambao kwa lugja ya kiiteligensia wanaitwa "ghosts"
watu ambao wako mbele katika kuhakikisha usalama wa nchi na mustakaballi wa nchi unalindwa
sidhani kama wapo (kwanini sidhani)
1.suala la epa "ghosts" walitakiwa wawe wamelijua since the first time sio linakuja kuibuliwa na wabunge
2. Wizi wa raslimali kama madini, twiga nk "ghosts" walitakiwa wawe na data zote na wawe wamelizuia siku nyingi sio kuja kuibuliwa na wanasiasa
3. Suala la rada n.k ni lazima wawe mstari wa mbele katika kulinda mustakaballi wa tiss kwani kitu kikiibuliwa na wabunge watu wataulizana tiss wako wapi??
Kama haipo iundwe
undeni "ghosts" people they dont exists
people who the dont have restrictions we know mna assasins but assasin sio "ghosts"
wenzenu wa marekani ana watu wanawaita "assets" hawa ndio kama ma ghosts wa mi6
ha ha ha. CID ni polisi, UWT ni usalama wa Taifa, DMI ni kitengo cha usalama jeshini. Sasa nani anachanganya nini? Haya wewe unayejua zaidi tueleze maana sisi ni outsiders lol
Soma post zote utaelewa nazungumzia nini. Kuna watu wameongelea mpaka makomandoo wa Ngerengere. Unajua hao watatu uliowataja wanalink vipi kufanya kazi pamoja? Who is the muscle and who is the brain? Baada ya kuvunjwa TPSS unajua kuna majukumu ya intel yalipelekwa kwa DCI?Hiyo ndio point yangu kuwa hayo majukumu/uwezo yamekua blured ndio kilichoifikisha UwT hapo ilipo
jamani TISS inanisikitisha na kunishangaza. manake hapa kwe2 SAUT tunasoma na agents wao yan ni waropokaji mpaka sisi mburula tunashangaa,vitu vingne wanavyoongea ni very secret hata kama mission complete ths is immoral manake tunaona hata kwny tamthlia za kina 007 na Jack Baur walivyo determined,esteemed and confident. enz za nyerere hawa jamaa wa tiss tulikuwa tunasikia tu leo hii wamezagaa mpaka watoto wanawajua. hawajielewi sijui hawapat mafunzo ya kutosha au ni wazembe kwa kuwa siku hizi wanawarecrut kiundugu undugu tu,anyway zaman recrutment ilikuwa very secret lakn siku hz ukiwa na ndg mwajiriwa wa gvt anaweza kukupa mchongo. kutokana na upe
nz wang wa intelligence doctrines nliwah kumwingia agent mmja wa tiss nae bila kujielewa akawa anajìachia,kwl nilishangaa mpka sasa sìwaamin tena cz imefikia hatua naamin tz inalindwa na kudra za mwenyez mungu na machale ya tiss agents wachache tena wale wakongwe sio hawa vijana wa kileo ambao hata mimì kw kutumia movie skills ningekuwa criminal oriented naami
n wasingenishka hata kdogo.