Mohamedy cadinaly
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,449
- 2,245
Mkuu kufanya masterbetion hauwezi ukawa n ugenius.yaezekana huo tunaoiuta ugonjwa wa akili ni genius fulani tuliyopewa na Mungu ila hatujaigundua
Ugenius unapimwa kwa IQ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kufanya masterbetion hauwezi ukawa n ugenius.yaezekana huo tunaoiuta ugonjwa wa akili ni genius fulani tuliyopewa na Mungu ila hatujaigundua
Ha ha ha haMkuu kufanya masterbetion hauwezi ukawa n ugenius.
Ugenius unapimwa kwa IQ
Kimsingi hakuna mtu ambaye ni normal, kwasababu kila mtu yupo different na unique. Isipokuwa society inaweka standard ya nini ni normal na nini ni abnormal.Ma genius ni abnormal .....hawako normal
na wenye matatizo ya akili pia hawako normal
mtu yeyote ambae ama akili zimezidi au zimepungua basi hayuko normal
ni mgonjwa wa akili.....
Mkuu,nafikiri ulevi ni njia ya ku escape normality. Watu wengi wako under pressure ku act in a certain way kinyume na personality zao.Nimesikitika kutokuona ULEVI hau husik na Ukichaa au u Genius.
Intense sexual desires na masturbation zilikuwa kundi la mental illnesses.Mkuu kufanya masterbetion hauwezi ukawa n ugenius.
Ugenius unapimwa kwa IQ
Mkuu ebu fanya uweke huo uzi hapa.Ha ha ha ha
Basi mkuu ishia tu hapo hapo.
Kuna kitu inaitwa sexual transmutation inawafanya hawa watu wawe na uwezo mkubwa sana kiakili ndio maana wengi wa watu wakubwa magenius hawakuoa na hawakua na michepuko.
Hii ni topic yake kabisa very interesting siwezi kuishusha nondo zake hapa itageuza muelekeo wa huu uzi,si unajua mambo ya SEX yanavyoakata attetntion ya raia?? ila soon nitaiweka kwenye uzi wake tofauti
Hii kama logic hiviMa genius ni abnormal .....hawako normal
na wenye matatizo ya akili pia hawako normal
mtu yeyote ambae ama akili zimezidi au zimepungua basi hayuko normal
ni mgonjwa wa akili.....
Mbona ndiyo kawaida? Genius wana IQ higher above average na machizi wana IQ below average. Hawa average (normal) ni zaid ya 60% sasa ukifanya chochote kisicho average lazma uonekane haupo sawa.Hii kama logic hivi
Ok mkuu nitauweka soon...Mkuu ebu fanya uweke huo uzi hapa.
Kuna maelezo kuwa watu wenye IQ kubwa either wana low sexual drive or they are not interested in sex at all,ukilinganisha na watu wenye low au IQ ya kawaida.
Sio zilikuwa had sasa zipo zinaitwa asexual behavior or abnormal sexual behavior/disorderIntense sexual desires na masturbation zilikuwa kundi la mental illnesses.
teh teh , mkuu umenifanya nicheke sana.There is no great genius without mixture of marijuana.
Siku hizi wanasema ni pepo. Ukiombewa linatoka. Sasa ukianzisha kanisa lako bwana cadinaly uwaombeeSio zilikuwa had sasa zipo zinaitwa asexual behavior or abnormal sexual behavior/disorder
Quite the contrary, according to Freud people with strong sexual urge transform sexual energy to artistic or scientific excellence .Mkuu ebu fanya uweke huo uzi hapa.
Kuna maelezo kuwa watu wenye IQ kubwa either wana low sexual drive or they are not interested in sex at all,ukilinganisha na watu wenye low au IQ ya kawaida.
Ndo hiyo sex transmutation.Quite the contrary, according to Freud people with strong sexual urge transform sexual energy to artistic or scientific excellence .
Hapo umenena mkuu.Quite the contrary, according to Freud people with strong sexual urge transform sexual energy to artistic or scientific excellence .
Hahahah c unajua wajnga ndo waliwao. C unamkumbuka yule mgonjwa Wa akili Wa loliondo mm kipind kile nilkuwa nacheka sana kuona mgonjwa Wa akili akitibu Wa wenyeakili zaoSiku hizi wanasema ni pepo. Ukiombewa linatoka. Sasa ukianzisha kanisa lako bwana cadinaly uwaombee
Mkuu huyu MTU uliyemtaja na kubali sanaQuite the contrary, according to Freud people with strong sexual urge transform sexual energy to artistic or scientific excellence .