Uhusiano wako na ndugu zako wa baba upo sawa ?

Uhusiano wako na ndugu zako wa baba upo sawa ?

Amen shetani akae mbali yetu.
hiyo n nzuri sana, mimi walikua hawatupendi ever since tuko watoto wakija nyumban wanamwambia baba hatujamfata mtu zaidi yako sio wanao sio mkeo halaf wana expect sasa hivi niwatafute hell naaaa yani mpaka baba angu mdogo mmoja akaja akamwambia mama tusameheane yaliyopita yapite shidaiko kwetu hatutaki hata kuwaona wala kuwasikia and yes tunaishi as if hatuwajui
 
hiyo n nzuri sana, mimi walikua hawatupendi ever since tuko watoto wakija nyumban wanamwambia baba hatujamfata mtu zaidi yako sio wanao sio mkeo halaf wana expect sasa hivi niwatafute hell naaaa yani mpaka baba angu mdogo mmoja akaja akamwambia mama tusameheane yaliyopita yapite shidaiko kwetu hatutaki hata kuwaona wala kuwasikia and yes tunaishi as if hatuwajui
Mengine unaacha yapite, samehe anzeni upya.
 
Mwenzio tayari nolishaitwa shangazi , ma mdogo na nk. Muhimu usiingilie maisha ya kaka yako au dada yako... Ukiona mambo au jambo kaa kimya na ukishilikishwa kwa lolote karibu ku balance usiwe upande wowote!
no hujanielewa namaanisha kuna siku na mm ntakua shagazi au mama mkwe wa mtu, of course sina muda na maisha ya mtu hata hao mawifi wanasema mm nmsizoeleki wakat sihitaj mazoea
 
Sisi kwetu huwezi tofautisha yupi mtoto wa Baba mkubwa, Baba mdogo wala shangazi. Yaani wote tuko pamoja kwenye kila kitu, kuna wakati sikukuu tunaamua kwenda Kula kwa Baba Fulani, wakati mwingine kwa shangazi, wakati mwingine kwa Baba huyu yaani tuko hivo. Tunawashukuru waasisi wetu ( Baba zetu) walijenga bond nzuri Sana tunayoishi nayo mpaka Leo. Uzuri Baba zetu wote wako kijijini na wanaishi jirani hivyo hata MTU anapoenda huko habebi vitu kwaajili ya Baba Yake au mama Yake tu, huwa tunapoenda unajipanga kabisa unabeba vitu/zawadi za familia yote iliyopo kule na ukifika unapokewa vitu vyote vinawekwa nyumbani kwa Bibi na wanafamilia kutoka kila nyumba wanaenda kuchukulia halo, tumejengwa hivo na tuko hivo mpaka leo
 
Mengine unaacha yapite, samehe anzeni upya.
i wish ungekua unashuhudia vile vituko nilikua n mtoto lakini nilikua naona vile bi mkubwa anavumilia kitu ambacho mm kwenye nafasi yangu siwez kukivumilia yan jino kwa jino nilishasamehe but things can never be the same again.
 
Sio ujomban wala kwa baba,,,, hatuna mazoea ya karibu kabisa tangia zaman ! Kuna watoto wa baba mkubwa hata siwafaham nawasikia tu , kuna flan sijui anaishi kule,,,, ujombani ndio kabisa ndugu wengi siwajui ,,, !!!! Maisha yanasonga, tunakutana kwenye sherehe na misiba tu !
Familia nyingi za kimaskini zinaishi hivyo
Mimi niwe mkweli tu hakuna ndugu upande wa baba amenikosea lakini hatuna mazoea. Sehemu pekee tunayoweza kujuliana hali ni kwenye misiba tu.

Nipo karibu zaidi na upande wa mama. hawa wajomba, kina mama mdogo, watoto zao, n.k. tupo karibu sana.

What's your story?
Familia nyingi za kimaskini zinaishi hivyo
 
Mimi niwe mkweli tu hakuna ndugu upande wa baba amenikosea lakini hatuna mazoea. Sehemu pekee tunayoweza kujuliana hali ni kwenye misiba tu.

Kwa upande wangu nipo karibu zaidi na upande wa mama. hawa wajomba, kina mama mdogo, watoto zao, n.k. tupo karibu sana.

What's your story?
Kutokana na mfumo wa maisha yetu ambapo wakina mama ni walezi wakuu wa familia zetu, na ni kama vile wanabifu na ndugu upande wa baba, tumejikuta watoto wanaoneshwa sana ndugu upande wa mama! Wengine ndio kabisa hawawajui ndugu upande wa baba
 
Mahusiano si haba kwakweli. Upande wa baba ndio tumeshibana haswa. Upande wa mama kuna wakati uhusiano ulitetereka ila now naona unarudi japo haujafika ile stage ya awali.
 
Kwetu tuko 6. Wakiume tuko wa 3 na wanawake wa 3. Wote tumeoa na wakike kuolewa, na tuna watoto.

Nilichogundua ni kwamba, watoto wa dada zangu wapo karibu zaidi na mimi kuliko watoto wa kaka zangu. Lakini watoto wa kaka zangu wapo karibu zaidi na wajomba zao, na ndugu wa upande wa mama zao kuliko walivyo karibu na sisi.

Nachokiona hapa ni kuwa mara nyingi hii hutokana na wanawake kupenda kuwa karibu na ndugu zao, kuliko sisi wanaume. Na kwavile mwanamke ndio muda mwingi yuko na watoto, hujikuta anawavuta watoto kuzoeana zaidi na upande wake huo.

Mfano mimi binafsi, huwezi kunikuta eti napiga simu kwa ndugu yangu awe wa kike au wa kiume na kuanza kuongea masaa tukipiga stori nk. Lakini mke wangu anaweza kumpigia dada yake, au ndugu mwingine ukawasikia wanaongea hapoo mpaka basi. Vivyo hivyo mimi siwezi kufunga safari kwenda kumsalimia tu mtu nyumbani kwake, lakini kwa mwanamke ni rahisi na anabeba watoto. Kwahiyo baadaya miaka kadhaa utakuta wale watoto wamejenga mazoea zaidi na kule wanakoenda mara kwa mara (upande wa mama).
 
Mimi niwe mkweli tu hakuna ndugu upande wa baba amenikosea lakini hatuna mazoea. Sehemu pekee tunayoweza kujuliana hali ni kwenye misiba tu.

Nipo karibu zaidi na upande wa mama. hawa wajomba, kina mama mdogo, watoto zao, n.k. tupo karibu sana.

What's your story?

Ni nature, wanawake wana nguvu!
 
Mimi niwe mkweli tu hakuna ndugu upande wa baba amenikosea lakini hatuna mazoea. Sehemu pekee tunayoweza kujuliana hali ni kwenye misiba tu.

Nipo karibu zaidi na upande wa mama. hawa wajomba, kina mama mdogo, watoto zao, n.k. tupo karibu sana.

What's your story?
Sitaki ata mazoea nao aisee maana ni ndugu vitu kuliko utu
 
Back
Top Bottom