Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndo huwa wakifa wanazikwa makaburi ya jumuia na msiba unakuwa wa majirani tu.Jinsia yako mkuu
Mtoto wa kiume lazima uwe karibu na asili ya babako ila ujue jinsi ya kubalance na reciprocation ya treatment
Watoto wa design hii, huwa wanatabia za umama na utapeli flani hivi na hawapatani na wazee wao, wakina mama huwa wabatete ujinga waoHuyo ndo huwa wakifa wanazikwa makasiriko ya jumhia na msiba unakuwa wa majirani tu.
😂😂😂Mimi si kwa upande wa baba wala Mama yaani ni Ubaya Ubwela
Hivi ndio inatakiwa sasa ndio maana ya familiaSisi kwetu huwezi tofautisha yupi mtoto wa Baba mkubwa, Baba mdogo wala shangazi. Yaani wote tuko pamoja kwenye kila kitu, kuna wakati sikukuu tunaamua kwenda Kula kwa Baba Fulani, wakati mwingine kwa shangazi, wakati mwingine kwa Baba huyu yaani tuko hivo. Tunawashukuru waasisi wetu ( Baba zetu) walijenga bond nzuri Sana tunayoishi nayo mpaka Leo. Uzuri Baba zetu wote wako kijijini na wanaishi jirani hivyo hata MTU anapoenda huko habebi vitu kwaajili ya Baba Yake au mama Yake tu, huwa tunapoenda unajipanga kabisa unabeba vitu/zawadi za familia yote iliyopo kule na ukifika unapokewa vitu vyote vinawekwa nyumbani kwa Bibi na wanafamilia kutoka kila nyumba wanaenda kuchukulia halo, tumejengwa hivo na tuko hivo mpaka leo
So sad, pole Sana though huwa nawaza Sana how come mtu usiwe na ndugu kabisa?? Hii inawezekanaje?Dah nimesoma maoni mpk nimejisikia faraja lkn pia huzuni ,binafsi Sina ndugu upande wowote
Kwanini? Tz ulikuja mwenyewe?Dah nimesoma maoni mpk nimejisikia faraja lkn pia huzuni ,binafsi Sina ndugu upande wowote
Kwanza Ahsante,pili ubaya ubwelaEndeleeni, wengine tunasoma watu na ndugu zenu...
Tresor Mandala pole sana kaka.
Nuzulati hiyo ya Ubaya Ubwela nimeilewa 😅😅😅😅😅
YapKwanini? Tz ulikuja mwenyewe?
Inawezekana kabisa MkuuSo sad, pole Sana though huwa nawaza Sana how come mtu usiwe na ndugu kabisa?? Hii inawezekanaje?
Wamama wanawafundisha watoto wako, shangazi zenu wachawi, baba zako ni malatili, etc.... watoto wanaserereka humohumo.Mimi niwe mkweli tu hakuna ndugu upande wa baba amenikosea lakini hatuna mazoea. Sehemu pekee tunayoweza kujuliana hali ni kwenye misiba tu.
Nipo karibu zaidi na upande wa mama. hawa wajomba, kina mama mdogo, watoto zao, n.k. tupo karibu sana.
What's your story?
Mie Sina, Rafiki, Bora wewe unao ingawa waliwakataaHuna ndugu mkuu hii ni ajabu,Mimi ndugu pande zote mbili walitukataa tukiwa wadogo baba yetu alipo fariki niliapa sitaki shobo na mtu.
Wapo nchi zingine au hawapo duniani?
Dah,Swali gumu hili, Rafiki,tumuachie MunguWapo nchi zingine au hawapo duniani?