Uhusiano wako na ndugu zako wa baba upo sawa ?

Jinsia yako mkuu
Mtoto wa kiume lazima uwe karibu na asili ya babako ila ujue jinsi ya kubalance na reciprocation ya treatment
Huyo ndo huwa wakifa wanazikwa makaburi ya jumuia na msiba unakuwa wa majirani tu.
 
Hivi ndio inatakiwa sasa ndio maana ya familia
 
Hauwezi kuwa sawa kama mama alichepuka maana mama mmoja baba mbalimbali ndani ya ndoa moja
 
Kwakweli ndugu upande wa baba sasa hivi ni hamna kitu....... Mm nachojua nishikamanr na ndugu zangu tuliozaliwa na wazee wetu basi!
 
Nimejitahidi kujisogeza lakini naona wapi nimefika mahali jamaa nawategemea sana kuliko watoto hao wazee ndugu nababa
 
Wamama wanawafundisha watoto wako, shangazi zenu wachawi, baba zako ni malatili, etc.... watoto wanaserereka humohumo.
 
Miaka kadhaa ya nyuma,haikuwa shwari”

Kwa sasa kila kitu shwari ingawa matatizo hayakosekani kwenye family.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…