Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Ninachokiona kutoka kwako ni u much know mwingi kwenye fuvu lako. Hizi dini za kuja zinawapogusha Sana vijana na kuona wachungaji na wazee wa kanisa ndio Wazazi wenu. Nina uhakika kuwa Richa ya kuwa umeenda mpaka chuo lakini maisha Yako hayana Amani kisa ujuaji na kukosa ndugu. Baba Yako amekuvumilia Sana licha ya dharau zako unazomuonesha
Sasa dogo, nenda Kwa ndugu ukaombe msamaha na useme kuwa ulimkosea baba Yako. Mpaka Sasa niamini Mimi ya kuwa umeunganishwa na mama Yako. Yaani wanakuona kuwa wewe na mama Yako lenu ni Moja na wanahisi labda mama alikuonesha baba mwingine. Ili kuyaepuka haya na mengine kubali yaishe.
Sasa dogo, nenda Kwa ndugu ukaombe msamaha na useme kuwa ulimkosea baba Yako. Mpaka Sasa niamini Mimi ya kuwa umeunganishwa na mama Yako. Yaani wanakuona kuwa wewe na mama Yako lenu ni Moja na wanahisi labda mama alikuonesha baba mwingine. Ili kuyaepuka haya na mengine kubali yaishe.