Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Sasa masharti ya kwenda kuungama makaburini ya nini zama hizi?Pole, kwakua tayari unafamilia yako, kama unaweza jaribu kuona kama mnaweza kuyamaliza na mzee, maisha haya mafupi sana, ouwekeana vinyongo sio poa
naona hakutajwa hata mara moja kwenye andiko lake. Inaonyesha hata alipofiwa na mtoto wake hakumpelekea taarifaMama ako yuko wapi kwanza aku shauri
Well said. Mimi binafsi nimemueleza mengi hapo juu. Hawa watoto wanapenda sn kuleta ligi hata kwa wazazi wao kwa kuokota ushauri kutoka kwa wenzao waliokwisha shindikana kwa wazazi wao.Baba hata azeeke vipi hawezi kuwa mpumbavu, hata awe na mambo gani ya hovyo hawezi kuwa mpumbavu, tujifunze kutowawekea vinyongo na kupuuza baadhi ya mambo ya mambo yao.
Kikubwa ni kujishusha zaidi na kutoonyesha hasira zako, chuki zako mbele yake kwa kuwa tunahitaji baraka zao zaidi.
Kwnini lakini 🤣🤣
[emoji23] [emoji23] [emoji23] DaaahShukilia hapo hapo !! Hata wapumbavu wanazeeka !!.
Shikilia hapohapo, endelea kumwomba Mungu !!.
Ushauri mzuri.Kwanza, hakikisha haya uliyoyanena ni ukweli kutoka moyoni mwako;
Pili, ikiwa hayo uliyoyanena ni kweli, ongeza juhudi za kujikabidhi machoni pa Bwana Mungu wa Utatu Mtakatifu afunge kila mlango wa laana itakayo kwa mwanadam.
Tatu, kumbuka adui yako naye kwasasa atakuwa madhabahuni pa miungu aijuayo akiomba mabaya yakupate ili utambue ukuu wake kwako.
Nne, katika sala zako Muombe huyo Baba kwa Mwenyezi Mungu amsamehe lkn nawe pia umsamehe. Muombe na huyo umuitae Mamdogo, kuna uwezekano mkubwa ndiye mwenye pando la ibilisi moyoni mwa Mzee.
Tano, ukifanya sala niliyoisema hapo juu kwa kumaanisha kwa angalau siku 7 mfululizo asbh, mchana na usiku saa 10, anza kumuomba msamaha tena Mzee kwanza katika ulimwengu wa imani kabla ya kumwendea physically. Ukifanya hivyo kwa kumaanisha utajikuta katika ndoto mmefanya majadiliano. Hapo ndipo utakapoanza kujisogeza kwake physically. Kwa sasa usijisogeze haraka, atakudhuru. Usiende!
Sita, ujue tu kwamba wapo watu imewakumba mikasa mikubwa zaidi ya huo dhidi ya wazazi wao. Juzi tu nimeona Video Clip moja Mama mmoja huko kenya anamuonesha utupu wake mtoto wake kwa nia ya kumlaani.
Saba. Kaa nyumbani mwa Bwana.
Mwisho, mhimidi Bwana kwakuwa ni mwema lkn pia fadhili zake ni za milele Zab 117:2
Kiukweli hauna amani kama ulivosema hapaSa wakuu naomba mniambie nimekosea wapi na nifanye nini, bnafs nina amani kbs sina tatzo
Akili na umri mkubwa(>80yrs) huwa viko vice versa.Mimi ni Mtu mzima wa Miaka 97 mwez wa 8 nafkisha miaka 98, Nakushauri kijana Wangu Achana na huyo baba mpotezee tu hii dunia wte tumekutana tu Hakuna cha Mungu wa pili wala watatu,
Huna baya kam amenyamaza na wew nyamaza Deni la Damu hulipwa kwa Damu, Deni la Shari hulipwa kwa shari,Deni la jeuri hulipwa kwa Jeuri, Jino kwa Jino tu kam hujamkosea usijishushe Na akifa usiende ili iwe fundsho kwa Wapuuz wengne waliobaki.
Hapana huyo mama ni mshrikina na ndio anawakoroga ogopa wanao ingilia mambo ya watuHuna tatizo lolote wewe focus na maisha yako ila usiache kumhudumia mzee nyumbani, hakikisha unamrushia kitu kidogo ale na ma' mdogo ajue huna shida naye.
MkuuShukilia hapo hapo !! Hata wapumbavu wanazeeka !!.
Shikilia hapohapo, endelea kumwomba Mungu !!.
Umesoma lakini alichokiandika au umetoa tu ushauri boss?Pole, kwakua tayari unafamilia yako, kama unaweza jaribu kuona kama mnaweza kuyamaliza na mzee, maisha haya mafupi sana, ouwekeana vinyongo sio poa
Haukusoma alipoandika kuwa siku ya msiba wa bibi yake waligoma kuzika hadi yeye na baba yake waombane msamaha na mzee wake akasema yaishe. Then mzee wake akaliwasha tena ? Kuna wazazi ukiwaendekeza hautafanya maisha yako.Pole sana ikiwa usemayo ni kweli , ila nikuombe kurudi kwa baba yako na umueleze uko tayari kufanya yale aliyokueleza kubali yaishe , huyo ni baba yako .
Najua hukwenda kanda ya ziwa kisa wewe ni mtu wa kanisani so huwezi kwenda kaburini kuomba msamaha kwa bibi yako hivyo husijali kaongee na ndugu zake wa huko yaishe , habari za wewe kwenda kaburini au kutokwenda kaburini hatazijulia wapi na wakati yupo Dar .
Kubali yaishe maana unaonekana una mgogoro wa nafsi juu ya haya mahusiano na baba yako.
Ona sasa, mzee anaruka na beki tatu. Na anafamilia. Hivi anajielewa kweli huyu mzee?mama hataki kbs kumskia mzee yuko uko kwao alishaolewa ana maisha yake kwan inasemekana chanzo cha yeye kuachana na mzee ndugu wa mzee wifi zake walimuunganishia mzee kwa dada wa kazi awe mkewe na amuache mama, wkt huo mama alikuwa kaenda kujfungua mdogo wangu wa mwsho aliporud akakuta dada wa kaz katawala mji akaamua kujiondokea tu hakuwahi kurudi tena. Na uyo dada wa kaz ndo ma mdogo nliyemzungumza hapo.
Nini hiki unaweka kwenye uzi wa mwenzako?!
Dahhh umeongea kama BabaUsidanganywe eti una maisha yako. Baba yako siyo mshikaji wako. Hata kiroho ana nguvu sn. Ninachokiona kwako na ambacho baba yako hakukigundua ni umri uliokuwa nao wakati unamaliza form 4. Ulikuwa kwenye kipindi Cha FOOLISH AGE ambacho huambatana na hulka mbalimbali km kujiona mkubwa na mwenye nguvu za mwili kuliko MTU yeyote. Ndiyo maana baada ya kuambiwa uingie kazi ya Police wewe uliamua kuondoka bila kujali impact ya uamuzi wako kwako mwenyewe na kwa baba yako. Kitendo hicho ni dhahiri ulimdharau sn baba yako. Hata km hukutaka kwenda u-police ulitakiwa kuongea kwa upole na staha na baba yako kwa kumshawishi uendelee na masomo na pengine hata kuwatumia ndugu wa baba yako km shangazi na baba zako wadogo au wakubwa au huyo mama yako wa kambo.
Kila mzazi anapenda kuona mtoto wake akifanikiwa. Najua wakati anakuambia uende police huenda kuna kitu alikiona ndani yako. Ila wewe kwa kibri kutokana na foolish age ukamdharau ukaamua kuhama nyumbani. Ukasahau kuwa "running away from a problem is not a way of solving a problem".
Km ni mimi hapo usingerudi milele. Ifike wakati tujue wazazi siyo wake wenza au sawa na mawifi kila mara kusuguana kwa maneno. Yakupasa kumsikiliza mzazi wako, penye shida unatufuta njia sahihi siyo kumuonesha kibri kuwa hata bila yeye wewe mwenyewe unasonga mbele. Huo ni ukosefu wa nidhamu na maadili. Leo ni mzima unaongea kwa kibri ipo siku unaweza kumuhitaj kwa lolote na ndiyo maana hata wakati unaomba mkopo Bidi ya elimu ya juu ulitumia jina lake km unajiona baba yako siyo kitu Wala lolote kwa nini usingeandika hata jina la mjomba wako kwenye hizo form za mkopo.
Mimi km mtu mzima nakushauti nenda kamuombe baba yako msamaha hata km unaona huna kosa, yeye analiona na hata mimi nineliona. Vijana msijianye wa mjini sana au kujitia ujuaji wa kipuuzi kwa sababu za marafiki waliokosa maadili ya wazazi wao, mtapotea. Hata uwe na elimu kiasi gani au mali kiasi gani hivyo vyote havijawahi kumzika mtu.
Alafu eti unajinasibu kuwa wewe ni mhitimu chuo kikuu. Chuo kikuu gani hicho ambacho huwezi kutumia intellects zako ku-solve mambo madogo km hayo hadi unakimbilia mitandaoni.
Usidharau maneno yangu, what goes around comes around. Na ukishupaza shingo kwa kuokoteleza ushauri wa humu wa baadhi ya watu wanaokusapiti ipo sku utakuja kujuta na tayari itakuwa too late. Take care.
Huu sio ushauri mzuri hata kidogo na sitoshauri muhusika aufanyie kazi.Usidanganywe eti una maisha yako. Baba yako siyo mshikaji wako. Hata kiroho ana nguvu sn. Ninachokiona kwako na ambacho baba yako hakukigundua ni umri uliokuwa nao wakati unamaliza form 4. Ulikuwa kwenye kipindi Cha FOOLISH AGE ambacho huambatana na hulka mbalimbali km kujiona mkubwa na mwenye nguvu za mwili kuliko MTU yeyote. Ndiyo maana baada ya kuambiwa uingie kazi ya Police wewe uliamua kuondoka bila kujali impact ya uamuzi wako kwako mwenyewe na kwa baba yako. Kitendo hicho ni dhahiri ulimdharau sn baba yako. Hata km hukutaka kwenda u-police ulitakiwa kuongea kwa upole na staha na baba yako kwa kumshawishi uendelee na masomo na pengine hata kuwatumia ndugu wa baba yako km shangazi na baba zako wadogo au wakubwa au huyo mama yako wa kambo.
Kila mzazi anapenda kuona mtoto wake akifanikiwa. Najua wakati anakuambia uende police huenda kuna kitu alikiona ndani yako. Ila wewe kwa kibri kutokana na foolish age ukamdharau ukaamua kuhama nyumbani. Ukasahau kuwa "running away from a problem is not a way of solving a problem".
Km ni mimi hapo usingerudi milele. Ifike wakati tujue wazazi siyo wake wenza au sawa na mawifi kila mara kusuguana kwa maneno. Yakupasa kumsikiliza mzazi wako, penye shida unatufuta njia sahihi siyo kumuonesha kibri kuwa hata bila yeye wewe mwenyewe unasonga mbele. Huo ni ukosefu wa nidhamu na maadili. Leo ni mzima unaongea kwa kibri ipo siku unaweza kumuhitaj kwa lolote na ndiyo maana hata wakati unaomba mkopo Bidi ya elimu ya juu ulitumia jina lake km unajiona baba yako siyo kitu Wala lolote kwa nini usingeandika hata jina la mjomba wako kwenye hizo form za mkopo.
Mimi km mtu mzima nakushauti nenda kamuombe baba yako msamaha hata km unaona huna kosa, yeye analiona na hata mimi nineliona. Vijana msijianye wa mjini sana au kujitia ujuaji wa kipuuzi kwa sababu za marafiki waliokosa maadili ya wazazi wao, mtapotea. Hata uwe na elimu kiasi gani au mali kiasi gani hivyo vyote havijawahi kumzika mtu.
Alafu eti unajinasibu kuwa wewe ni mhitimu chuo kikuu. Chuo kikuu gani hicho ambacho huwezi kutumia intellects zako ku-solve mambo madogo km hayo hadi unakimbilia mitandaoni.
Usidharau maneno yangu, what goes around comes around. Na ukishupaza shingo kwa kuokoteleza ushauri wa humu wa baadhi ya watu wanaokusapiti ipo sku utakuja kujuta na tayari itakuwa too late. Take care.
Naomba unisaidie. Katika huo msamaha anatakiwa kusema maneno gani?!Kwanza, hakikisha haya uliyoyanena ni ukweli kutoka moyoni mwako;
Pili, ikiwa hayo uliyoyanena ni kweli, ongeza juhudi za kujikabidhi machoni pa Bwana Mungu wa Utatu Mtakatifu afunge kila mlango wa laana itakayo kwa mwanadam.
Tatu, kumbuka adui yako naye kwasasa atakuwa madhabahuni pa miungu aijuayo akiomba mabaya yakupate ili utambue ukuu wake kwako.
Nne, katika sala zako Muombe huyo Baba kwa Mwenyezi Mungu amsamehe lkn nawe pia umsamehe. Muombe na huyo umuitae Mamdogo, kuna uwezekano mkubwa ndiye mwenye pando la ibilisi moyoni mwa Mzee.
Tano, ukifanya sala niliyoisema hapo juu kwa kumaanisha kwa angalau siku 7 mfululizo asbh, mchana na usiku saa 10, anza kumuomba msamaha tena Mzee kwanza katika ulimwengu wa imani kabla ya kumwendea physically. Ukifanya hivyo kwa kumaanisha utajikuta katika ndoto mmefanya majadiliano. Hapo ndipo utakapoanza kujisogeza kwake physically. Kwa sasa usijisogeze haraka, atakudhuru. Usiende!
Sita, ujue tu kwamba wapo watu imewakumba mikasa mikubwa zaidi ya huo dhidi ya wazazi wao. Juzi tu nimeona Video Clip moja Mama mmoja huko kenya anamuonesha utupu wake mtoto wake kwa nia ya kumlaani.
Saba. Kaa nyumbani mwa Bwana.
Mwisho, mhimidi Bwana kwakuwa ni mwema lkn pia fadhili zake ni za milele Zab 117:2