Uhusiano wangu na baba yangu

Sa kwa taarifa yako nlishafanya ivyo mara kadhaa mpk dada zake wa damu wakanishauri niachane naye tu kwasasa. Bahati mbaya humu watu mnatoa povu tu ila mzee wng mi ndo ninamjua na ndugu zake wanamjua kama ni msamaha nlishaomb sn tena sku ile ya msiba mpk machoz akasema mbele ya ndugu wote kwmb hana tatzo na mimi kbs mpk hapo mnataka nifate masharti ya kwenda kusujudia makaburi kwa lipi hasa? Sjawai mtukana baba yng, wala kumdhalilisha nliamua kujtegemea kuachana na maisha ya kula kulala mara tu nlipomaliza chuo haya mengne mnayoyasema humu pengne hamjui mzee wng.
 
Dogo tulia Kabisa Mungu atafungua njia paspo na njia Wewe una miaka mitano Mimi Nina 20 sijaonana. NAE yupo upanga nipo mbez ya kimara Kila mtu ana life lake
 
wewe ni mpumbavu na mkurupukaji sn na pengne umesoma na hujaelewa. Tulitoka msiban hata mwez haukuisha nlikwenda nyumban kumjulia hali na kuona kama kweli yameisha na haikuwa ivyo nikawasliana na ndugu zake wote karibu wakanishauri nipge chn kama ye aliweza kuwadanganya kwmb hana tatzo na mimi bs hakuna namna nisonge mbele tu.
 
hakuna mtu mvivu anayejiona kuwa ni mvivu,hakuna mtu mwizi anayejiona kama mwizi,hakuna mtu Malaya anayejuiona yy ni Malaya,hakuna mtu mlevi anayejiona kama mlevi,hakuna mtu mchonganish anayejiona kama mchonganishi..hvo ata ww huwezi jiona ulivo jeuri na kiburi..ila watu wa pemben ndio wanaweza ona madhaifu Yako na kukuambia ww ni mlevi,ww ni mwizi,ww ni mkorofi nk

Asa ww ndugu Kwa mujibu wa maelezo Yako sio mm tu wengi humu wamekukosoa una kiburi na ni jeuri asa unaposema tunatoa povu wap.. unaambiwa uhalisia wako ili ujirekebishe utengeneze na baba Yako asa unaendekeza ligi na Mzee wako then what after??? Mzee siku itafika atarudi mavumbin ubaki na kovu la kujihukumu maishan mwako kwann hamkutengezeza na baba Yako..

Unasema ooh ndugu zangu wamekua ni kanisa ..shit!!!!!!! hvi unawajua watu wa makanisa ww..hakuna watu waliotukuka Kwa unafiki kama wa makanisan tena hayo ya kilokole ndio kabisaaaaaa!!! Tengeneza na ndugu zako ww acha kujilisha upepo hapa.
 
Upuuzi
 
Kwahy atumie kivuli cha kuwa baba ili kuwanyanyasa watoto wake ??

Wapo wajinga wanaozeeka na haipaswi kufumbua macho ujinga wao hatakama ni wazazi wanastahili kuelekezwa
 
Mkuu we fanya maisha yako kama baba anazngua achana nae,
Hata wajinga nao wanazeeka
 
Mimi sijaelewa kwanini akaombe msamaha kwa huyo baba mdogo na shangazi, kawakosea nini?

Kama itamaliza Mgogoro sawa aende, lakini inaonyesha Mzee ni mkorofi ataibuka na lingine.
 
Mimi sijaelewa kwanini akaombe msamaha kwa huyo baba mdogo na shangazi, kawakosea nini?

Kama itamaliza Mgogoro sawa aende, lakini inaonyesha Mzee ni mkorofi ataibuka na lingine.
Ukweli ni kuwa hilo lizee ni likolofi sana ila sasa kjana ana mtanziko wa nafsi ni akheri kufuata nini baba yake anahitaji ili atengeneze amani na baba yake .

Japo namshauri mzee wake akiinua tena mashetani yake amkaushie mazima itakuwa haina namna.
 
Ukweli ni kuwa hilo lizee ni likolofi sana ila sasa kjana ana mtanziko wa nafsi ni akheri kufuata nini baba yake anahitaji ili atengeneze amani na baba yake .

Japo namshauri mzee wake akiinua tena mashetani yake amkaushie mazima itakuwa haina namna.
Ni sahihi. Afanye mzee anavyotaka ila akiibuka na lingine akae nae mbali.
 
vyovyote vile katengeneze na baba Ako..acha upumbavu wako kijana...unataka usapotiwe utaira wako apa... stupid!!!

Kaa Kwa kutulia tafuta wenye akili wakupe elimu iondoe upumbavu ulionao humo kichwani...wewe na mama yako wote mnaonekana hamnazo Ndio maana baba Ako akawapuuza...unasema una familia Kwa akili hzo hata uyo mke atakukimbia siku si nyingi uje hapa kuanzisha Uzi mwingine.... mpumbavu kabisa ww
 
Muulize mama yako vizuri kwann dingi anakuchukia,
Isikute alimkuta mama ana mimba tayari ndoa zina Siri nyingi sana mpaka watu wanapoamua kutengana!
Hakuna haja kuyajua hayo, hayamhusu. Baba mwenye busara angemweka wazi au kunyamaza na kuendelea na maisha na mtoto.

Binafsi ninamshauri aishi vizuri na watu, Mungu atakuwa uoande wake na maisha yatasonga.

Wakati fulani mzazi au ndugu akikukataa, huenda Mungu ana makusudi nawe, usilazimisha udugu, utakuja kujuta.

Ukitengwa na wanadamu si kitu. Jinyenyekeze mbele ya Mungu, maisha yataenda.
 
Acha ujuaji, umeomba ushauri yakupasa uchukue yote ambayo unaona sio kausha.

me nashauri tafuta ukaribu na mzee, hapo nnachokiona wote wawili mna ego mafahari wawili ila jishushe tafuta ukaribu nae kwa gharama yoyote na technic zotee kama kupita home mara kwa mara na kupiga simu za salamu hata kama anajibu mbovu we piga tu LAZIMA mtaelewena tu! Bro ni dhahiri hiki kitu kinakukereketa ndo mana hadi ukaomba ushauri humu siku akitangulia mbele ya haki hutojisamehe.
 
huyu mzeee ni nyanga'au kumbe kinyongo kakuwekea sababu ya mama yako.
 
Yani Ukapige Magoti Kwenye Kikaburi Cha Bibi Yako Ndio Akusamehe Huyo Baba Atakuwa Mchawi "HOLD ON MWANANGU YESU NI MWEMA SHIKILIA HAPO HAPO"
 

Tafuta marafiki wa karibu wa baba yako, ongea nao wakawatafutie suluhu (wakawapatanishe), hakuna ujanja wowote kugombana na mzazi!!

Watoto wako utawapa furaha zaidi kwenda kucheza kwa babu yao!!
 
mze wako huwa anachonganishwa na mama yako mdogo, hapo cha kufanya nenda alikosema uende kuomba msamaha zen urudi kwako na usiwasiliane nae na jitahidi kutaFTA HELA ATAKUTAFTAGA AKIZEEKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…