Uhusiano wangu na mwanamke wangu kipenzi umeingia doa, muda wowote nitakipoteza nilichokipenda kwa moyo wote

Hana haja yakuwaumiza watu wasio na hatia ili kupona maradh yake ya moyo nikukubali ukwel kuwa ameachwa na afute Namba za huyo mwanamke kila sehem.
Asikate tamaa wapo bado wanawake wema wanaish na asiwachukie wanawake wote
Kwani anamuumiza mtu kwa kipi wakati anaemfata anajua hali halisi kuwa kashapigwa chini. Wakielewana wanaliendeleza gurudumu tu
 
Ameshajua udhaifu wako ndio maana anafanya kile anachokitaka ila usirud nyuma mpotezee nawala akihitaj mazungumz nawew wala usigeuke kumskiliza kwan unaweza ukashawishika ukaja kuwa teja wa mapenz
 
Nikwel ambae bado hajakutwa na mkasa wa mapenz ataona uongo tena unakuta mtu unashindwa hata kufanya kaz kila ukijarb kuidanganya akili ila moyo bado unakusalit dah nikipind kigumu sana.
Ila ukipona maumv hata ukija kukutan tena nahuyo mtu unamuona kama fala flani aliyekosa matumain ya kuish unaanza kujishangaa ulimpendea nini sabab unaziona kasoro zake kama zote
 
Lofa na Mpumbavu wewe![emoji848][emoji848]

Sema umeoza tu kwa huyo na kwamba huna option!

"Kama ulivyosikia ndivyo ilivyokuwa"
Halafu unataka ushauri??.

Rafiki tu wa mwaka mmoja na wala si kwamba ni mke wako tayari!!
 
Kama ulikuwa kwenye mahusiano nae…then akaenda field akatembea na mtu tena hadi mimba…huyo achana nae bro..tafuta mwingine ukilazimisha kuwa nae huko mbele atakuja kukufanyia kitu kibaya zaidi hautaamini…kitendo alichokufanyia ni Mungu tu ameamua kukuonyesha au kuku alert mapema.
 
Perfect.
 
Weboya Ni hiviii,we msamehe alafu letf kimya kimya punguza kila kitu wanawake wapo wengiii Sanaa kwanin hakukuambia mpk ukajua kwa mtu,kupenda nyoko upendo unaga maumivu ya kujitakia
 
Nilikuwa natamani sana kusikia comments toka upande huu. Akishupaza shingo mwache imwangukie; atajiju.
 
Move on hakuna mke/mwanamke hapo, usaliti ni mbaya sana we usikie kwa jirani tu.. Huyo kumbe hata angepata ngwengwe na kukuletea ww na ukamuuliza kama amekuambukiza hata asingelishtuka na angekukubalia yes ni yeye ndo kakuambukiza..
 
Piga chini huo uchafu.
Hakuna kucheka cheka na malaya.
Malaya aachwe ili akatafunwe na malaya wenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…