Uhusika wa waliohukumiwa kunyongwa kesi ya Lotter

Mbona wengi kwenye iyo listi ya wauaji ni wa upande ule wa pili wanapenda kumuimbia na kumpigia kelele mungu wao kwa kiarabu?

Accumen Mo battawi Nahonyo Mlolongo Covax Kikwajuni One mjingamimi
 
Namba 4 pia akipata wakili mzuri anaweza kuchomoka, ni suala la kucheza na maneno tu hapo... anaweza kuwa aliombwa taarifa bila kujua za nini au zinakwenda wapi.. anapaswa kuwakataa wote hawajui isipokuwa marehemu...
Agharamike na amtafute kibatala
 
Unamaanisha K from Mogadishu?
 
Mchongo wowote haramu
ukishahusisha watu Zaid ya watano in action ni hatar Sana kuvuja.

Kuna watu mafriji yao hayagandishi.

Hivi are you serious kabisa
unamhusisha mama ntilie akusaidie kuficha silaha?
 
We jamaa utakuwa mchaga 90% nyie ndo mna ushamba wa kibaguzi kweny dini na ukabili ..sasa endelea utakuja jikondesha kwa kutokujiamini.
Ni siku nyingi nimeona propaganda zako za kujipiga ''mental masterbation'' kwa wachaga. It seems you are not getting any relieve dear. Why dont you try another method? Huoni hali yako inazidi kuwa mbaya siku hadi siku?
 
Ni siku nyingi nimeona propaganda zako za kujipiga ''mental masterbation'' kwa wachaga. It seems you are not getting any relieve dear. Why dont you try another method? Huoni hali yako inazidi kuwa mbaya siku hadi siku?
Lazima ufuatilie angalia jamaa yako mra ngapi ananitag ...sikia usipende shobo au nikuonyesha kwa kiasi gani anaitag kweny mijadala yenu...sina ushamba wala siwatambui.

Kaa pembeni sipendi shobo na kingereza cha ugoko..pita kushoto !!
 
Namba 4 pia akipata wakili mzuri anaweza kuchomoka, ni suala la kucheza na maneno tu hapo... anaweza kuwa aliombwa taarifa bila kujua za nini au zinakwenda wapi.. anapaswa kuwakataa wote hawajui isipokuwa marehemu...
Kumbuka alishaandika maelezo ya ONYO
 
Huyo dada aliekuwa anawapikia nae anatakiwa kupata msaada atoke,inawezekana alikuwa anapika kutokana na maelezo ya kaka ake

Hii inshu ina wakubwa wengi sana ndo maana hata imehusisha watu wengi hivyo
Kuficha silaha je?

Hujui keshakiri kwenye maelezo?

Hapo labda atoke kwa makosa ya mawakili wa serikali, tofauti na hapo hatoki
 
Ujambazi unatenda.nazungumzia kesi ambazo unaweza kuingia kwa bahati mbaya.kama hao wengine.kaua mmoja lakini adhabu ni moja.au unaunganishwa tu kwenye kesi ya ubakaji na hauusiki
Mkuu, kwenye Sheria Kuna kitu kinaitwa Kula njama.

Hata Kama muuaji alikuwa mmoja Ila Kuna kundi la watu ambalo liliandaa mchango wa kufanikisha mauaji. Sasa watu hawa ingawa hajaua physically Ila mchango wao kwa namna flani umechangia kufanikisha mauaji.

Nao wanastahili kufungwa Ila sidhani Ka ni sahihi wao kuhukumiwa kifo.

Mfano uyo dada Rahma inaweza kuwa hakufahamu Kama ushiriki wake ni kwenye ishu ya mauaji. Akijitetea vizuri na akapata wakili mzuri anaweza kutoka. Sababu kuwaandalia chakula wauwaji sio mpaka awafahamu anaweza akawa ameambiwa na Kaka yake Kuna wageni ni jamaa zangu wanakuja so andaa chakula ili wapate cha Kula.

Na kuhusu silaha alizoficha makaburini inaweza kuwa alipewa Tu na Kaka yake akamwambia fanya uzihifadhi hizi silaha Ila usiweke maeneo ya nyumbani. Japo anaweza kuhisi hizo silaha haziwezi kutumika Kwa Nia nzuri, Ila sio sababu ya yeye kuambiwa ameshiriki njama za mauaji moja kwa moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…