Uhusika wa waliohukumiwa kunyongwa kesi ya Lotter

Alikuwa ni mtu na nusu
 
Jamaa alikua anapenda kukaa pale Picnic
Akiwakuta anazungusha lakini hamtajua kaondoka muda gani.Yaani ni mwizi balaa.

Maisha mengi kakulia yale maghorofa ya police machafu machafu pale fire 🔥 opposite Arusha Day Secondary wakati huo Arusha School.

Baada ya Baba yake kufariki akahamia Kaloleni kwa Sister wake mtata mtata ambaye alishughulika sana kumtoa magereza katika kesi nyingine ya mauaji huko kanda ya Ziwa.Godfrey maisha yake mengi between 27 to 40s kayaishi magereza.
 
Machips & Makoi hii ni mara ya kwanza kuionja magereza wala hawana history ya ujambazi nadhani this time waliingia vibaya.
inaonekana hawana criminal case history. hawa hawawezi kuwa master planner wa hii issue ya mission ya mauaji. labda tu sababu ya ukaaji wao mjini mda mrefu wanajua tu ishu za ujangili kama na wengine wanavyofahamu. hawa watakuwa wamechomekwa kwa nguvu. machipsi sio kwamba hata ni tajiri au ni msoma ramani hapana anaishi kwenye nyumba za urithi kaloleni iliko familia yao. huyo Makoi nae muda mwingi anashinda kwa pharmacy yake. hawa hawawezi hata kusuka mpango wa kuua mende.
 
Kuna habari zinazunguka Mitaani kuwa Machips alibambikiwa.
eti machips anapokea deal kutoka kwa mchina!! from nowhere tuu haraka anamtafuta mtu anae itwa makoi ambaye polisi hana record hata ya kuua mnyama! kisha wanagiza silaha nje ya nchi ya kumuua raia wa kigeni ambaye fika wanajua Wakimuua Dunia itapiga kelele wizara ya mali asili haitafunga macho hata wauaji wamepatikana.
 
Hata ile kesi ya Ugaidi ya Mbowe ilipangwa na huenda Kamanda angenyongwa hivivi Justuce Sytem ya Nchi yetu inawategemea watu wasiojua PGO na kazi wanarahisisha kwa Kubambikiwa tu au utoe Mpunga mrefu.
 
Namfahamu Makoi,asili yake Kibosho akimiliki maduka kadhaa ya madawa (Pharmacy) ingawa hata kidato cha pili hakumaliza.

Kupitia biashara zake za madawa alijikuta akipanda haraka haraka kibiashara kumbe nyuma ya pazia alikuwa na biashara nyingine.
"Making a million legally has always been difficult. Making a million illegally has always been a little easier. Keeping a million when you have made it is perhaps the most difficult of all. Henryk Metelski was one of those rare men who managed all three. Even if the million he had made legally came after the million he had made illegally, what put him a yard ahead of the others was that he managed to keep it all."

—Not a Penny more, not a Penny less. Jeffrey Archer.
 
Hiyo nyumba ya urithi wala si yake ni mali ya watoto wa Dada yake wa UK muda sana wanasumbuana na watoto wa Dada yake sijui wamefikishana wapi.

Kuhusu kuhusika huwezi kujua A to Z za mchongo mzima lakini unapswa kujua watu wanatafuta fedha kwa njia mbali mbali bahati mbaya Machips hadi anapata huu msala alikuwa bado katika harakati za kutafuta hela.

Kinachinishangaza ni connection yake na Godfrey Salamba ambaye pasipo shaka ni jambazi sugu.

Mshangao mwingine ni connection ya Makoi sijui kaingia vipi ingawa biashara yake iliupigs mwingi katika muda mchache.
 
Mchongo wowote haramu
ukishahusisha watu Zaid ya watano in action ni hatar Sana kuvuja.

Kuna watu mafriji yao hayagandishi.

Hivi are you serious kabisa
unamhusisha mama ntilie akusaidie kuficha silaha?
Hilo nalo neno.
Lakini kumbuka mkuu, siri ni yako tu, ikiingia mtu wa pili siyo siri tena, siyo kuvujisha lazima wafike wa5!
 
Duh!
 
Lazima ufuatilie angalia jamaa yako mra ngapi ananitag ...sikia usipende shobo au nikuonyesha kwa kiasi gani anaitag kweny mijadala yenu...sina ushamba wala siwatambui.

Kaa pembeni sipendi shobo na kingereza cha ugoko..pita kushoto !!
Hii ni forum. Ukiandika ujinga ni lazima nikuonyeshe ulikokosea. Wala huna haja ya kunionyesha chochote. Kama kuna watu wanaku-tag huko hainihusu hata kidogo.
 
Hii ni forum. Ukiandika ujinga ni lazima nikuonyeshe ulikokosea. Wala huna haja ya kunionyesha chochote. Kama kuna watu wanaku-tag huko hainihusu hata kidogo.
Sasa Nan umuonye? Kuwa na adabu sipendi shobo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…