Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waalaniwe wote waliomwombea Magufuli wetu kifo, katika jina la Yesu Kristo tunaomba wafe kifo kibaya.Kwamba jiwe huko aliko anapewa mvinyo ?
Wenzenu wameisha jidunga chanjo za kutosha, nyie mlio katazwa kupata chanjo jaribuni muone cha motto!
Magu was not right at all, they were right as you can not put lives of your citizens at risk by taking for granted all precautionery measures required against Covid as Magu did to Us.Finally wamekubaliana na approach ya Tanzania.
Magufuli was right.
Ngojea wafia vyama wakuvamie ,ila ndio ukweli wenyewe.UK walipo tangaza vuguvugu la tatu na kuamua watu wakae ndani ndipo maandamano yalianzia hapo.Magufuli kwenye Corona alichezaga Kama pele wallah
Mimi naomba isije kabisa.Mama yetu tunaomba chanjo iletwe kwa wanaotaka ...wasiotaka kuchoma wakae kwa kutulia wasilazimishwe .
KabisaaAliona mbali mzee wetu
Hata Huko aliko atakuwa anacheka sanamwenda zake angekuwepo angecheka sana
Yeah right ila uingereza wako sahihiMagu was not right at all, they were right as you can not put lives of your citizens at risk by taking for granted all precautionery measures required against Covid as Magu did to Us.
Magufuli kept our lives at risks,
Hata huko nje wanagomea chanjo, chanjo unachanjwa alafu ikija strain mpya unakua huna tofauti na asiyechanjwa, wote mpo kwenye risk.Mama yetu tunaomba chanjo iletwe kwa wanaotaka. Wasiotaka kuchoma wakae kwa kutulia wasilazimishwe .