Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
-
- #61
Waingereza wengi wanalala chini ya madaraja au kwenye magari pale London lakini wanatunza watu kama vile wamekuwa hazina za kale. Jamaa wanajipigia hela na siku hizi wanazaliana si mchezo.ttzo la waafrika huwa akili haiangalii mbele , walipata enz wakiwa na mamlaka ila sasa hv hiyo familia ni sehem ya heshima ya utamaduni wao ili isipotee inatunzwa kwa assets ambazo awali walikuwa wanazimiliki km utawala , wenzio hawana njaa km zako , ushindwe kula lunch unawazia estate ya late Queen
Kuna mambo na vitu vizito sana ya ile familia vinaendelea kuwa falme kwa nchi kama ile sio poa wale wana nguvu za ajabu sana...Unadhani ufalme wa uingereza ukitamatishwa itaweza kuzitawala nchi nyingine? Itaibuka migogoro mikubwa kama ya Taiwan na China maradufu....
Wale jamaa ndo roho ya uingereza na ndo engine ya uingereza kukua kuheshimika!
Haya mambo ni mazito kuyaelezea ila tutaendelea kupeana elimu mdogomdogo
Tatizo ni ww ulikuwa hufahamu. Na si kiini macho.Ndio maana nasema ni kiini macho kuendelea kugharamia maisha ya kifahari ya familia moja ambayo haiwafanyii chochote.
km hujamuelewa hadi huyo jamaa bas una tatizo sio bureHiyo elimu ya civics uliletewa na huyohuyo malkia uchwara. Ukaacha kujifunza elimu ya afrika ukawafuata wao.
Monarch zinajulikana tangu vizazi na vizazi kwamba lazima ziwe na mamlaka katika maeneo yao.
Hakika, na hauna utofauti na ongezeko la tozoUfalme Zama Hizi NI ujinga mtupu!
kuna nchi hazina hilo kundi la hao watu ? je nazo zina ufalme ?Waingereza wengi wanalala chini ya madaraja au kwenye magari pale London lakini wanatunza watu kama vile wamekuwa hazina za kale. Jamaa wanajipigia hela na siku hizi wanazaliana si mchezo.
Sasa hii ni topic nyingine ya kujadili ila ile hoja ya kufundishwa au kutofundishwa jibu ni TULIFUNDISHWA.Hiyo elimu ya civics uliletewa na huyohuyo malkia uchwara. Ukaacha kujifunza elimu ya afrika ukawafuata wao.
Monarch zinajulikana tangu vizazi na vizazi kwamba lazima ziwe na mamlaka katika maeneo yao.
Hauelewi chochote wewe. Roman empire ndio ilivunjika na kutengeneza UK, Franco (France), Spanish kingdom, Portuguese kingdom, Germany etc. Ule ulikuwa ufalme mmoja.haikuwa sehem ya roman empire bali walitawaliwa kimabav na warumi , hlf akil yako inaonesha ww ni mvaa kobaz , hujui kuwa wenzetu huji update kuendana na muda
Fuatilia mambo ujielimishe ili usiwe unaongea hovyohovyo bila facts.usipende ubishi au ndo unaitumia holiday yako vzr ya kujiandaa na NECTA
Ndio maana tunakuambia ule sio ufalme. Unabishia kitu usichokielewa. Huo unaousema ni mfumo wa kidemokrasia na sio ufalme.wenzio wapo huru , na wananchi wapo huru kuamua , uongoz ni mfumo wa watu kujitawaka so popote unaeza rekebishwa ili ukizi matakwa ya raia , tofauti na dona country
Hoja hapa ni kugharamia familia moja tu as if wao ni better than others ingawa hiyo familia haiwafaidishi kwa chochote.kuna nchi hazina hilo kundi la hao watu ? je nazo zina ufalme ?
Ni vigumu kupata maarifa kwa kuokota mistari kadhaa kwenye maandiko kwa ajili kubishana bali kwa unatakiwa usome articles kwa ajili kujielimisha na kujiongezea uelewa wa mambo mbali mbali.......Lete hapa hizo taarifa ambazo hatuna.
As the monarchy is constitutional, the monarch is limited to functions such as bestowing honours and appointing the prime minister, which are performed in a non-partisan manner. The monarch is also able to advise, generally done in secret, to change draft laws. The monarch is also Head of the British Armed Forces.
Mfalme gani maoni yake atoe sirini?
Sasa hivi imekuwa muda muafaka kuliongelea kwasababu ndio habari kubwa duniani.Tatizo ni ww ulikuwa hufahamu. Na si kiini macho.
Hili liko wazi tokea miaka ya nyuma. Na mfumo wao umekuwa wazi. Labda ww ndio ulikuwa hufahamu
Kwani waingereza wakifanya viini macho vyao wewe unapata hasara Gani?Sifa za mtu anayetambulika kama mfalme:
1. Awe anamiliki ardhi yote anayotawala.
2. Awe na amri juu ya watu wote wa eneo lake kila wakati
3. Awe anamiliki mali zote katika eneo lake na kwamba kila raia awe anafanya kazi kwa ajili ya mfalme
4. Tamko la mfalme linakuwa sheria ambayo inatekelezwa mara moja
5. Mfalme ndio mwongozo wa tabia, mwenendo na tamaduni ya kila raia kwenye eneo lake
6. Mfalme anayo haki ya kumpatia au kumnyang'anya yeyote kitu chochote bila kuulizwa
7. Hukumu ya mfalme ni mwanzo na mwisho wa mabishano.
8. Mfalme anawajibika kiulinzi na kuhakikisha watu wake wanapata mahitaji yao ya kila siku.
Haya yote hayapo pale Uingereza. Kinachoendelea pale ni raia masikini wanakubali kuitunza familia isiyokuwa na mamlaka ya kiutawala juu yao.
Hiyo elimu umeletewa na huyohuyo constitutional monarch.km hujamuelewa hadi huyo jamaa bas una tatizo sio bure
Sijui wamewafanyaje waingereza mpaka wamekuwa kama nyumbu tu kuwatunza na kuwaona bora kuliko wao.Kuna mambo na vitu vizito sana ya ile familia vinaendelea kuwa falme kwa nchi kama ile sio poa wale wana nguvu za ajabu sana...
Sawa walifundisha na nilipata B.Sasa hii ni topic nyingine ya kujadili ila ile hoja ya kufundishwa au kutofundishwa jibu ni TULIFUNDISHWA.
Ufalme uchwara ule.Ufalme mamboleo.
Bahati mbaya hautuletei hizo articles Ili tupate hiyo elimu.Ni vigumu kupata maarifa kwa kuokota mistari kadhaa kwenye maandiko kwa ajili kubishana bali kwa unatakiwa usome articles kwa ajili kujielimisha na kujiongezea uelewa wa mambo mbali mbali.......