Kiswahili ni Lugha muhimu sana kwetu sababu imetuunganisha kama Taifa, lakini disadvantage yake ni kwamba inadumaza akili za watu. Unapofikiri kwa hisia za Kiswahili huwezi kupata matokeo chanya.Urusi hawezi pigana hata na sudani ya kusini. Ni mbwembwe tuuu. Anatumia mikwaraa mingi. Ka ukrain tuu kanakolingana na mkoa wa pwani, kako kanamsigina na hatotoboa, halafu eti anataka kujipima ubavu na uingerezaa?? Au anatafuta lawamaa
NATO kwa GAZA CITY vita imeenda muda gani leo? Kazi kuuwa watoto/raia wasio na hatia halafu mnajiita super power 😁 Huku sisi tunauwa wanajeshi.Ukraine tu inaenda miaka
Urusi hawezi pigana hata na sudani ya kusini. Ni mbwembwe tuuu. Anatumia mikwaraa mingi. Ka ukrain tuu kanakolingana na mkoa wa pwani, kako kanamsigina na hatotoboa, halafu eti anataka kujipima ubavu na uingerezaa?? Au anatafuta lawamaa
Urusi wako hawezi pigana kwa sasa na nchibyoyote.Kiswahili ni Lugha muhimu sana kwetu sababu imetuunganisha kama Taifa, lakini disadvantage yake ni kwamba inadumaza akili za watu. Unapofikiri kwa hisia za Kiswahili huwezi kupata matokeo chanya.
Mti utaita kijiti, mchicha utaita bangi.
Kwahyo urusi ni NATO?NATO wamepigana na Afghanistan miaka mingapi? Na je! Wamewaweza? Leo hii nchi ipo mikononi mwa waafghanistan wenyewe sio?
Ukraine inalingana na mkoa wa Pwani kwa mizani gani?Ka ukrain tuu kanakolingana na mkoa wa pwani, kako kanamsigina na hatotoboa
Ingekuwa ivyo kama unavyosema basi Urusi yote tungewaona Nato na Marekani maana ndo nchi Duniani yenye madini mengi ya kila aina kuliko nchi yoyote ile duniani.Urusi hawezi pigana hata na sudani ya kusini. Ni mbwembwe tuuu. Anatumia mikwaraa mingi. Ka ukrain tuu kanakolingana na mkoa wa pwani, kako kanamsigina na hatotoboa, halafu eti anataka kujipima ubavu na uingerezaa?? Au anatafuta lawamaa
Kwani ukrain na russia, wanalingana ata sent, kiukubwa, kivita, kiuchum?Ukraine inalingana na mkoa wa Pwani kwa mizani gani?
- Ukubwa wa eneo
- Uchumi
- Porojo za kijiweni
Urusi wako hawezi pigana kwa sasa na nchibyoyote.
Huyo mrusi wenu ampige kwanza ukrain, aaache mbwembwee. Mwaka wa tatu saasa, zelenski anadunda mitaani kama kuku wa kienyejii. Halafu usikariri historia mambo yanabadilikaIngekuwa ivyo kama unavyosema basi Urusi yote tungewaona Nato na Marekani maana ndo nchi Duniani yenye madini mengi ya kila aina kuliko nchi yoyote ile duniani.
Hitler alicheza kamali kwa kuivamia Urusi kwa sababu alijua kabisa akichukua Urusi basi atakuwa na uwezo wa kutengeneza chochote kile pasipo kutegemea mataifa mengine.ila mwisho wake akaferi.
Hakuna anayejua atatoka salama kama atapigana na Mrusi.hata Nato na Marekani wanajua ilo
Mwambie kaka yako urusi ashinde kwanza vita vya yeye alivyovianzisha kwa kuvamia jirani yake bila sababu yoyote. Ashinde kwanza kule alikovamia kwa mbwembwe, ndio sasa ajipime ubavu na hao mabeberu wenzakeeKuna mambo huwa hayahitaji akili kubwa kuyabaini, yanahitaji akili ya kawaida sana wazungu wanaita COMMON SENSE. Sasa kama Ubongo wako unashindwa kuchakata kwa kiwango hiki cha kawaida tu BASI TAFUTA MWANAMKE AMBAYE KWAO WAPO SMART KUCHWANI UMUOE ANGALAU UPATA WATOTO WAELEWA
Hizi story za vijiweni zina furahisha saana.Uingereza ilifanikiwa kutawala nchi nyingi duniani sababu nchi nyingi zilikuwa ni dhaifu sana na yeye alikuwa janjajanja tu. Leo hii nchi nyingi duniani zina uwezo mkubwa hasa wa kijeshi. Ninadhani hata Iran inaweza kumpiga Uingereza, ila Uingereza isimame yenyewe bila backup ya Marekani.
Kwahyo urusi ni NATO?
Ukraini anapigana peke yake bila msaada wowote kutoka nchi yoyote, kwani kama ingekuwapo nchi yoyote ya kumsupport ingekuwa imeshapigwa na russia, kwani russia alitamka wazi wazi kwamba atakeye msupport ukrain atampiga bila huruma. Sasa ww unasema eti kunasupport kwa ukraini?Kwahiyo Ukraine anapigana na Mrusi bila supporters?
hawezi kukuelewa..😄😄😄Ukraini anapigana peke yake bila msaada wowote kutoka nchi yoyote, kwani kama ingekuwapo nchi yoyote ya kumsupport ingekuwa imeshapigwa na russia, kwani russia alitamka wazi wazi kwamba atakeye msupport ukrain atampiga bila huruma. Sasa ww unasema eti kunasupport kwa ukraini?
NATO kwa GAZA CITY vita imeenda muda gani leo? Kazi kuuwa watoto/raia wasio na hatia halafu mnajiita super power 😁 Huku sisi tunauwa wanajeshi.
Izi democracy pumbavu sana, mtu kama huyu China anamaliza kusema upuuuzi huo kashapigwa kisu cha shingoWababe walioitesa dunia wanazidi kuporomoka mmoja baada ya mwengine.Miongoni mwao ni taifa la Uiengereza ambalo kwa ujanja mkubwa katika karne iliyopita walitawala nchi nyingi zaidi duniani.
Ukweli huo umekuja baada ya Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo,Grant Shapps kushindwa kupata fungu la nyongeza kwa ajili ya bajeti ya wizara yake.
Baada ya kikwazo hicho cha fedha ndipo naibu kamanda mkuu wa majeshi,Sir Rob Magowan akasema mbele ya bunge kuwa kwa hali ilivyo basi nchi yake haina uwezo wa kupigana na Urusi kwa kurushiana marisasi mfululuzo hata kwa miezi miwili.
Sir Magowan akamalizia kwa kusema kwa sasa hawana silaha za kutosha kwenye hazina zao. Akawauliza wabunge kwani si kweli? ........that’s true, isn’t it?”
UK military ‘couldn’t fight Russia for longer than two months’
Wewe hata hujui nini unaongeza.urusi sasa hivi anaipiga NATO nzima Ukraine ingawa NATO wamepeleka kila kitu silaha za kila aina.yaani nchi zaidi ya 30 imeshindwa kuizuia urusi na wanatoa hela na wanajeshi wanaojiita volunteers.yaani hata Marekani yenyewe hawaiwezi urusi ndo maana hawathubutu kuivamia moja kwa moja na kuamua kutumia nchi nyingine kama Ukraine kufanya vita na urusi na bado urusi wanaowapiga NATO nzima.ushabiki usikufanye usifikirie vizuri.Russia alisema ole wake atakayemsaidia Ukraine lkn wengi wamemsaidia tena mchana kweupe lkn hajawafanya chochote.
Russia ni joka la kibisa hana uwezo wa kupambana hata na Poland sembuse Uingereza.
Kwamba Ukraine anapigana peke yake?mbona wanajeshi wa NATO kila siku wanauawa ukraine.leo tu kuna taarifa kwamba kamanda wa Poland ameuawa Ukraine na warusi?acheni uongoUkraini anapigana peke yake bila msaada wowote kutoka nchi yoyote, kwani kama ingekuwapo nchi yoyote ya kumsupport ingekuwa imeshapigwa na russia, kwani russia alitamka wazi wazi kwamba atakeye msupport ukrain atampiga bila huruma. Sasa ww unasema eti kunasupport kwa ukraini?