Uingereza haina uwezo wa kupigana na Urusi hata kwa miezi 2

Uingereza haina uwezo wa kupigana na Urusi hata kwa miezi 2

Russia alisema ole wake atakayemsaidia Ukraine lkn wengi wamemsaidia tena mchana kweupe lkn hajawafanya chochote.

Russia ni joka la kibisa hana uwezo wa kupambana hata na Poland sembuse Uingereza.
Lakini aliye sema kuwa Uingereza haiwezi kupambana na Urusi ni waziri wa ulinzi wa Uingereza na sio Urusi.
 
Urusi hawezi pigana hata na sudani ya kusini. Ni mbwembwe tuuu. Anatumia mikwaraa mingi. Ka ukrain tuu kanakolingana na mkoa wa pwani, kako kanamsigina na hatotoboa, halafu eti anataka kujipima ubavu na uingerezaa?? Au anatafuta lawamaa
Kwa hiyo ww una akili na unalijua jeshi la Uingereza kuliko waziri wake wa ulinzi?maana yeye ndo kasema nchi yake haina uwezo wa kupigana na Urusi lakini ww povu lina kutoka.
 
Ukitaka kujua kuwa tatizo la nchi hii sio CCM bali ni raia wake walio jaa upumbavu vichwani ebu soma mada alafu rudi kwenye Coment.

Waziri wa Ulinzi wa Uingereza yeye mwenyewe kwa kinywa chake amesema kuwa nchi yake haina uwezo wa kupigana vita na Urusi ,sasa nashangaa wamatumbi na wala dona kutoka Sikonge wapo wanatokwa na mapovu kumpinga, sasa sijui wao wanalijua jeshi la Uingereza kuliko waziri wake wa Ulinzi?😃😃😃😃
 
Kwa hiyo ww una akili na unalijua jeshi la Uingereza kuliko waziri wake wa ulinzi?maana yeye ndo kasema nchi yake haina uwezo wa kupigana na Urusi lakini ww povu lina kutoka.
Mbinu za kivita weweee. Urusi anadanganywa ili ajae, halafu wamalize game.
 
Uingereza ilifanikiwa kutawala nchi nyingi duniani sababu nchi nyingi zilikuwa ni dhaifu sana na yeye alikuwa janjajanja tu. Leo hii nchi nyingi duniani zina uwezo mkubwa hasa wa kijeshi. Ninadhani hata Iran inaweza kumpiga Uingereza, ila Uingereza isimame yenyewe bila backup ya Marekani.
We jamaa unaongea nini
 
Wababe walioitesa dunia wanazidi kuporomoka mmoja baada ya mwengine.Miongoni mwao ni taifa la Uiengereza ambalo kwa ujanja mkubwa katika karne iliyopita walitawala nchi nyingi zaidi duniani.

Ukweli huo umekuja baada ya Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo,Grant Shapps kushindwa kupata fungu la nyongeza kwa ajili ya bajeti ya wizara yake.

Baada ya kikwazo hicho cha fedha ndipo naibu kamanda mkuu wa majeshi,Sir Rob Magowan akasema mbele ya bunge kuwa kwa hali ilivyo basi nchi yake haina uwezo wa kupigana na Urusi kwa kurushiana marisasi mfululuzo hata kwa miezi miwili.

Sir Magowan akamalizia kwa kusema kwa sasa hawana silaha za kutosha kwenye hazina zao. Akawauliza wabunge kwani si kweli? ........that’s true, isn’t it?”

UK military ‘couldn’t fight Russia for longer than two months’

umesahau kumalizia hiii (ni mimi mchambuz wa maswala ya kivita toka itv mtoni mtonganiiiiiiiii)
 
Kwa hiyo ww una akili na unalijua jeshi la Uingereza kuliko waziri wake wa ulinzi?maana yeye ndo kasema nchi yake haina uwezo wa kupigana na Urusi lakini ww povu lina kutoka.
Humu ndani muna wendawazimu wengi sana,

Imagine kauli imetolewa na waziri wa ulinzi wa uingereza lakini kejeli zinaelekezwa kwa urusi
 
Wababe walioitesa dunia wanazidi kuporomoka mmoja baada ya mwengine.Miongoni mwao ni taifa la Uiengereza ambalo kwa ujanja mkubwa katika karne iliyopita walitawala nchi nyingi zaidi duniani.

Ukweli huo umekuja baada ya Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo,Grant Shapps kushindwa kupata fungu la nyongeza kwa ajili ya bajeti ya wizara yake.

Baada ya kikwazo hicho cha fedha ndipo naibu kamanda mkuu wa majeshi,Sir Rob Magowan akasema mbele ya bunge kuwa kwa hali ilivyo basi nchi yake haina uwezo wa kupigana na Urusi kwa kurushiana marisasi mfululuzo hata kwa miezi miwili.

Sir Magowan akamalizia kwa kusema kwa sasa hawana silaha za kutosha kwenye hazina zao. Akawauliza wabunge kwani si kweli? ........that’s true, isn’t it?”

UK military ‘couldn’t fight Russia for longer than two months’

UK ni wazuri zaidi ya Ukraine, wana silaha nzito zikiwemo za Nuclear ......
IT IS MORE SIMPLE TO DEFEAT UKRAINE than TO DEFEAT UNITED KINGDOM.... ukraine tunakwenda mwaka wa TATU
 
Back
Top Bottom