Muda mungine uwe u are search kabla ya kupayuka. Kwa sasa yupo pekeake ila anapigana na nato nzima nyuma ya kimvuli cha umpumbavu Ukraine. Emewatwanga na kuchukua eneo Lao na bado anaenda kuyachukua maeneo mengine. Mmarekani ametoa silaha zenye thamani ya mabilioni ya dola, UK pamoja na nchi nyingine lakini wapi. Walitegemea wakimpa Ukraine silaha, atamfanya mrusi apungukiwe na silaha kusababiwa awe amelegea lakini wapi. Mrusi ameongeza uzalishaji wa silaha na kwa sasa ana nguvu kuliko awali. Kwanza kwa sasa, silaha alizozitumia asilimia karibu 70 ni za vita ya pili ya dunia, vifaa vipya hajaviingiza vitani. Yani chezeni na kila mtu ila mrusi ni level nyingine. Ndio maana vita anaitamani America ila kwa woga, amemponza mpumbavu kupigwa lakini mrusi bado yupo ngangari. Mtu wa pekee wa kujaribu kumrudisha nyuma mrusi ni USA, na vita ilifikia hapa basi itakuwa ni ya atomic bombs. Hakuna atakayeshinda, itakuwa vita ya 3 ya dunia na ndio ya mwisho. Ila hao British na wapumbavu wengine, hata wakiungana watachezea mkonyoto sio wa karne hii. Muangalie Ukraine saivi, miji umegeuzwa vifusi, je mzee jembe akianza vita ya nuclear warheads??? Muacheni mrusi vile vile, ila yule ndio mwamba kwa sasa. Wakina Korea n China watakuja ila kwa sasa mrusi ndio tishio la dunia. Pumbavu zao kina nato. Ez