Uingereza kunawaka Moto. Wenyeji wanapigana na Wahamiaji

Wanataka kuishi maisha ya Firdaus wakati wapo Duniani, halafu wanawaona watu wengine ni Paka tu 🤣
 
Chanzo cha vurugu ni kijana wa kikristo kuua
 
We mpumbavu kwani Uarabu ndo walioko wingereza tu? Hidadi kumbwa ya wahamiaji ni Africa kutoka kwenye makoroni ya zamani ya uingereza wakifuatiwa na wa jamii ya wa Hindi
India nayo pia ilikuwa koloni Muingereza kwa muda mrefu sana.
 

Lakini kwanini zanzibar na wao wakillamika huwa munawaona wabaya? wakati ndio mfumo wa kiulimwengu ulivyo kila mtu analia na mama yangu
 
Wana jf tujitambueni tuache ushabiki wa kidini kila sehem ...hao wazungu wanataka tamaduni zetu ziaribike na wqnataka mpk serikali zetu zikubali ushoga ambao c tamaduni zetu .
Kwao hawataki tamaduni zao zivunjwe ,ila kwetu fresh tena mpk vikwazo unaekewa ukikataa kuwafata
 
Shida ya waingereza na wavivu kazi hawataki wao wako busy kunywa pombe hawa wageni wanachapa kazi hawatafuti ajira wanajifanyia biashara sasa wivu unaanzia hapo, kama wazulu tu wakataka kufanya fujo sababu wao wavivu wenzao wanatafuta. Leo hii wakiondoka wageni wote biashara hakuna ila hapa ngumu sababu wengi ni raia wa UK tu so wana haki kama wengine. Lakini hawa wa UK wamesahau walienea dunia nzima kupora utajiri wa watu wengine maana wao walikuwa hawana kitu zaidi ya jeshi. Sasa zamu yao kwa yale waliyofanyia wengine. Kizazi chao cha zamani walikuwa wanafanya kazi sababu ya ugumu wa maisha wakati ule lakini wa sasa kazi hawataki.
 
Tatizo mtu mweusi ngozi ya tako kama wewe unavyijona mgalatia unadhani umepona
Wazungu hawajali mwarabu au mweusi, hata wewe huko uliko, unatembea kwa hofu ukienda redneck states
 
FICHA UJINGA WAKO
Wewe ufiche upumbavu wako, kama wewe ni mwarabu, nimekwambia ukweli na ukweli umekuchoma, na hata sasa kwa majibu haya tu, tayari umetamani kunilipua mabomu

Nyinyi watu ni wa hovyo mno yaani
 
Huwa nawashangaa sana weupe, kuruhusu influx ya mwarabu kwenye nchi yako ni kuruhusu machafuko tu...
Mazao waliyopanda kwa muda mrefu ndio kwanza waanza kuyavuna nawatakia uvunaji mwema usio na kelele na malalamiko.
 
Tatizo mtu mweusi ngozi ya tako kama wewe unavyijona mgalatia unadhani umepona
Wazungu hawajali mwarabu au mweusi, hata wewe huko uliko, unatembea kwa hofu ukienda redneck states
Mijitu meusi ya huku cjui ikoje ..hapo marekani enyewe mtu mweusi anabaguliwa sembuse we wa njombe manina zenu mna kazi kusema waarabu waarabu hao hawana ziki kam bongo ila Vita ndio imewafanya wengi waame na vita zenyewe chanzo ni hao hao wazungu
 
Umeandika nini mkuu?
 
Na mikataba ya Ki-Mangungo pia!
Matajiri wa dunia wanajichotea ardhi nchi masikini kama wanakunywa maji vile!
 
Umemaliza ndugu yangu, tukubaliane tu kila mtu afuate utamaduni wa nchi zao na wao waache kulazimisha ushoga katika nchi zetu kujidai haki za binadamu. Sasa lipi lenye haki ya binadamu zaidi, ushoga au kuabudu. Sasa hivi mpaka shuleni wanafundisha watoto kuwa kuna jinsia nyingi sio Male na Female tu yaani hawa jamaa hujui wanataka nini. Tukubaliene tu tusipangine la kufanya. Walitukana Qatar mpaka wakachoka jamaa wakakaza tu, shoga karibu lakini uchafu wako fanyia kwenu.
 
Basi ni muda sahihi wakunywa chai waliyo iandawa kwa muda mrefu nategemea itakuwa chai bora kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…