Uingereza na Ujerumani waifukuzia mbali ndege ya Urusi iliyojaribu kupaa Estonia, kataifa ndani ya NATO

Uingereza na Ujerumani waifukuzia mbali ndege ya Urusi iliyojaribu kupaa Estonia, kataifa ndani ya NATO

Wanajitahidi kufuta aibu baada ya kadrone kao kukojolewa na lindege la taifa kubwa urusi!!

Aibu ipi, Urusi ndio anaogelea kwa aibu baada ya jeshi lake kufutwa na kainchi kajirani hapo.
 
Huu uzi hauhusu drone, hivyo ukipinda unapindishwa, huyo mwarabu unayemuabudu kakupa laana.
Hebu nionyesha wapi nilipopinda kwenye coment yangu ya mwanzo kabisa,, we kama umefilwha na waarabu hasira zako usitutolee sisi,, malizana nao hao hao,, uzi wa drone unaleta habari za waarabu we choko nini
 
Mwenzao aliidungua wao wameifukuza
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Story za jamaa huyu uweka chumvi mno - anajua kiingereza vizuri tu, lakini ana kawaida ku-distort matukio kimakusudi, hivi kweli hajui tofauti kati ya maneno ya ku-escort na ku-chase - ni wapi Wajerumani na Waiingereza wamesema walizifukuza ndege za Urusi (tanker na fighter jet bila shaka) habari zinaeleza kwamba zilisindikizwa peaceful ie bila incident yoyote na huu ni utaratibu kuribu wa mataifa yote ndege zinapo karibia air space ya taifa husika - zinakuwa escorted na sio kufukuzwa au kutunguliwa.

MK254 anapenda penda sana ku-exaggerate matukio hasa hasa yanayo husu Putin au Urusi na Dunia.
 
Hebu nionyesha wapi nilipopinda kwenye coment yangu ya mwanzo kabisa,, we kama umefilwha na waarabu hasira zako usitutolee sisi,, malizana nao hao hao,, uzi wa drone unaleta habari za waarabu we choko nini

Huu uzi unahusiana wapi na drones, au zaidi unahusiana wapi na mambo ya ushoga au huo ujinga mnaopenda kutaja taja wa sijui rangi za upinde ulizozitaja hapo, watu wa hiyo dini ya mwarabu mko obsessed sana na mambo ya ushoga na ndio maana pwani na Pemba kote mnaongoza kwa ushoga.
 
Huu uzi unahusiana wapi na drones, au zaidi unahusiana wapi na mambo ya ushoga au huo ujinga mnaopenda kutaja taja wa sijui rangi za upinde ulizozitaja hapo, watu wa hiyo dini ya mwarabu mko obsessed sana na mambo ya ushoga na ndio maana pwani na Pemba kote mnaongoza kwa ushoga.
Msikie huyu jamaa alivyo wa ajabu, kwa taarifa yako jana Mombasa nzima wakristo kwa waasilamu waliandamana wakipinga mambo ya ushoga na usagaji - wakilahumu majaji wa Kenya waliopitisha pendekezo la kiwenda wazimu kwa kushinikizwa bila shaka na mabeberu.

Na huko nchini Uganda wananchi walikuwa wanalalamikia mabeberu kutumia law school za vyuo vikuu kama Makerere ili baadae wahitimu watumike ku-propagate mambo ya ushoga -mabeberu hatari sana, wanazi nyemelea law schools kwa sababu wanajua majaji na mahakimu wa kupitisha ajenda zao za ushoga wanatoka huko - mpaka wanakuwa funded kueneza ushenzi huu.

Mwisho, nilikwisha kuhoji mara nyingi tu kwamba hivi hawa Waarabu waliwahi kukukwaza kitu gani kimaisha?? Kama nakumbuka vizuri kuna mtaalamu wa saikolojia kutoka hapa Jamii forums aliwahikukupatia ushauri wa bure kwamba chuki zako kwa Waarabu zinapita kipimo hivyo ingekuwa vema kama ungekwenda kuonanana na mwana saikolojia akakusaidia - na ni kweli, we jaribu kupitia past post zako zote hapa, ndiyo utaona kuna kitu hakijakaa sawa ,hatuyasemi haya kwa nia mbaya hata kidogo- kuna tatizo.
 
Msikie huyu jamaa alivyo wa ajabu, kwa taarifa yako jana Mombasa nzima wakristo kwa waasilamu waliandamana wakipinga mambo ya ushoga na usagaji - wakilahumu majaji wa Kenya waliopitisha pendekezo la kiwenda wazimu kwa kushinikizwa bila shaka na mabeberu.

Na huko nchini Uganda wananchi walikuwa wanalalamikia mabeberu kutumia law school za vyuo vikuu kama Makerere ili baadae wahitimu watumike ku-propagate mambo ya ushoga -mabeberu hatari sana, wanazi nyemelea law schools kwa sababu wanajua majaji na mahakimu wa kupitisha ajenda zao za ushoga wanatoka huko - mpaka wanakuwa funded kueneza ushenzi huu.

Mwisho, nilikwisha kuhoji mara nyingi tu kwamba hivi hawa Waarabu waliwahi kukukwaza kitu gani kimaisha?? Kama nakumbuka vizuri kuna mtaalamu wa saikolojia kutoka hapa Jamii forums aliwahikukupatia ushauri wa bure kwamba chuki zako kwa Waarabu zinapita kipimo hivyo ingekuwa vema kama ungekwenda kuonanana na mwana saikolojia akakusaidia - na ni kweli, we jaribu kupitia past post zako zote hapa, ndiyo utaona kuna kitu hakijakaa sawa ,hatuyasemi haya kwa nia mbaya hata kidogo- kuna tatizo.

Kuandama na kupinga na kupiga makelele sio issue, kimsingi maeneo yenu ya hiyo dini yenu ndio yanaongoza kwa huo ushoga na mnapenda sana kutaja taja, mashoga wakija mikoani huuliwa kabisa....
 
Urusi ndio ilikua tegemezi la dini yenu dhii ya Marekani, ila sasa kwisha.
Dini imeingiaje hapo? Yaani nyinyi mashabiki wa upinde akili zenu zote mnawaza dini hamlali, acheni Ujuha kama unataka leta habari za kidini ww andika za kidini tu
 
Dini imeingiaje hapo? Yaani nyinyi mashabiki wa upinde akili zenu zote mnawaza dini hamlali, acheni Ujuha kama unataka leta habari za kidini ww andika za kidini tu

Dini ya mwarabu ndio inawaharibu akili hamuwi balanced kwenye comments zenu.
 
Back
Top Bottom