Uingereza: Waandamanaji waitupa majini sanamu ya aliyekuwa mfanyabiashara wa watumwa

Uingereza: Waandamanaji waitupa majini sanamu ya aliyekuwa mfanyabiashara wa watumwa

Ni ngumu sana kuwaelewa hawa watu.

1. Wanakununua na kukuuza, wakiona biashara imekua ghali kuiendesha wanaanzisha kampeni ya kuipinga. Mpiga zumari kwenye kampeni husika anakua ni muathirika wa biashara ya utumwa.
GHAFLA MZUNGU ANAANZA KUSIFIWA KWA KUPINGA BIASHARA ALIYOKUA AKIIFANYA. Wanaomsifu ni miongoni wa WATUMWA.🎓

2. Anakuja nchini kwako kiharamia, anajichimbia na kuanza kukubagua ndani ya nchi yako! Badala ya kupambana kumtoa unaanza mapambano asikubague😁Akishathibitisha kuwa umeshapoteza kumbukumbu za uhalali wake kuwa nchini kwako anatengeneza magitaa, vinubi na matari kisha anazisha kamoeni ya kupinga UBAGUZI WA RANGI. Mwongoza kampeni anakuwa mzawa mwathirika wa uvamizi wa maharamia na kisha ubaguzi wa rangi.
Hatima ya kampeni ANASIFIWA MZUNGU MVAMIZI na anajipatiamo uhalali wa kumiliki na kutawala sawasawa na wazawa.

HUYO NDIO MUZUNGU.
Si kweli, ni kwamba kuna binadamu wana roho za ajabu, si wazungu tu, hata babu zako walifanya biashara ya utumwa na wazungu kwa kupewa vizawadi vya hapa na pale.

Hakuna mzungu anayeweza kufanya ubaya Africa bila kusaidiwa na mwafrica. Wapo wazungu wema sana ambao wanaenda mpaka kwenye nchi zenye vita kusaidia huduma za afya n. K. Wapo wanaoadupt watoto na kuwatunza kama wa kwao. Leo hii wapo walio mstari wa mbele kuandamana bila kujali uwepo wa korona sababu wamechoshwa na kusikia unyanyasaji wa mtu mweusi. Wazungu na waafrika ni binadamu, wapo wema na wabaya.
 
Eti wazungu wako makini sana wanapinga unyanyasaji, Mkuu acha mahaba yako, ukweli ushajulikana sasaivi, hata uwasafishe vipi humu JF haitosaidia, wauwaji wakubwa duniani ni wazungu, wabaguzi ngurue pori
Wazungu wako makini sana. Wanapinga unyanyasaji wa mtu mweusi kuliko hata waafrika wenyewe! Mungu awabariki sana hawa jamaa.
20200601_144924.jpg
fm_facts-20200531-0001.jpg
 
Ikumbukwe kua hiyo bidhaa waliiuziwa na machifu[emoji16]
Hawakuinga wao front kuisaka.
Adui wa mwafrika ni mwafrika mwenzie.
Hata muwapambe vipi, mkijipendekeza vipi wanawaona manyani, leo hii ulimwengu mzima unaandamana kulani ubaguzi na mauaji yao but still shithole mnawapamba [emoji23][emoji23]JF
FB_IMG_1590603506357.jpg
FB_IMG_1590603511969.jpg
20200527_133944.jpg
20200527_081636.jpg
 
Wazungu wako makini sana. Wanapinga unyanyasaji wa mtu mweusi kuliko hata waafrika wenyewe! Mungu awabariki sana hawa jamaa.
Ata uwapambe vipi na mahaba yako haiondoshi ukweli kuwa unaonekana nyani huko kwao na wakikuona wanakuuwa, uzuri wa history haifutiki [emoji23] ila unazidi kukomaa kuwatetea magaidi, black can't be white forever, mpka leo 2020 wanawauwa but still unakomaa nao shithole
20200527_081701.jpg
 
Usanii tu, Biashara ya Utumwa Dunia nzima ilifanywa na English Monarchy, wavamie Windsor kwanza ndiyo angalau nitawaamini, ...
Mkuu humu kuna watu wana mahaba na hawa white pig [emoji201] na huwezi kuwambia ukweli huo wakakubali na bado matokeo ya ajabu yatajitokeza
 
Yaani ukichangia na stress ya kukaa ndani alafu hamna ishu lazima vitu kama hivi vitokee.
 
... mbona sioni waarabu nao wakiandamana ili kujikosha? Maana wao ndio hasa walikuwa wanafuata "bidhaa" shambani kuipeleka sokoni; wao hawaguswi na utumwa kwa kuzingatia maelezo yako hapo juu?
Sema unatania! Yaani Waarabu waandamane kuwaunga mkono African Americans wakati kila siku wakipigwa mabomu na Wamarekani wanao-include hao hao African Americans?! Wawaunge mkono wakati wanajua wanachukiwa na Wamarekani wote, iwe White Americans or Black Americans! Au hujaona angalau ile video iliyokuwa inasambaa tangu juzi huku Black American mmoja akisema wazi kwamba, kama polisi wana hamu ya kuua, waende wakaue Iraq!! Na ukweli ni kwamba, huo ndio mtazamo wa Wamarekani wengi, blacks and whites! Ulishawahi kusikia hao black wakiandamana kupinga mabomu wanayopigwa Waarabu?!

Ni ngumu sana Mwarabu kumuunga mkono Mmarekani wa rangi yoyote kwa sababu wote mentality yao ni ile ile!!

Kimsingi, hii vita ni ya kwetu sie watu weusi kwa sababu Waarabu na wenyewe wana vita vya kwao wanavyopigana peke yao! Na kama kuna wanaowasaidia, watu hao sio Wamarekani including African Americans! Na binafsi, kuna Wazungu wengi tu wanaopinga haya kutoka mioyoni mwao kabisa. Wazungu wengi wana ubaguzi wa kawaida kama ambao Watanzania kwa Watanzania huwa tunabaguana hata wenyewe kwa wenyewe.
 
Sema unatania! Yaani Waarabu waandamane kuwaunga mkono African Americans wakati kila siku wakipigwa mabomu na Wamarekani wanao-include hao hao African Americans?! Wawaunge mkono wakati wanajua wanachukiwa na Wamarekani wote, iwe White Americans or Black Americans! Au hujaona angalau ile video iliyokuwa inasambaa tangu juzi huku Black American mmoja akisema wazi kwamba, kama polisi wana hamu ya kuua, waende wakaue Iraq!! Na ukweli ni kwamba, huo ndio mtazamo wa Wamarekani wengi, blacks and whites! Ulishawahi kusikia hao black wakiandamana kupinga mabomu wanayopigwa Waarabu?!

Ni ngumu sana Mwarabu kumuunga mkono Mmarekani wa rangi yoyote kwa sababu wote mentality yao ni ile ile!!

Kimsingi, hii vita ni ya kwetu sie watu weusi kwa sababu Waarabu na wenyewe wana vita vya kwao wanavyopigana peke yao! Na kama kuna wanaowasaidia, watu hao sio Wamarekani including African Americans! Na binafsi, kuna Wazungu wengi tu wanaopinga haya kutoka mioyoni mwao kabisa. Wazungu wengi wana ubaguzi wa kawaida kama ambao Watanzania kwa Watanzania huwa tunabaguana hata wenyewe kwa wenyewe.


Mkuu waarabu wapo na wanaandamana, huko huko ulaya, huko middle east serekali ni za kinafki zinaogopa marekani atakasirika. wakiruhusu watu waandamane.

Moroccan-Egyptian model Imaan Hammam joins Black Lives Matter protests in Amsterdam
Moroccan-Egyptian model Imaan Hammam joins Black Lives Matter protests in Amsterdam
 
Sema unatania! Yaani Waarabu waandamane kuwaunga mkono African Americans wakati kila siku wakipigwa mabomu na Wamarekani wanao-include hao hao African Americans?! Wawaunge mkono wakati wanajua wanachukiwa na Wamarekani wote, iwe White Americans or Black Americans! Au hujaona angalau ile video iliyokuwa inasambaa tangu juzi huku Black American mmoja akisema wazi kwamba, kama polisi wana hamu ya kuua, waende wakaue Iraq!! Na ukweli ni kwamba, huo ndio mtazamo wa Wamarekani wengi, blacks and whites! Ulishawahi kusikia hao black wakiandamana kupinga mabomu wanayopigwa Waarabu?!

Ni ngumu sana Mwarabu kumuunga mkono Mmarekani wa rangi yoyote kwa sababu wote mentality yao ni ile ile!!

Kimsingi, hii vita ni ya kwetu sie watu weusi kwa sababu Waarabu na wenyewe wana vita vya kwao wanavyopigana peke yao! Na kama kuna wanaowasaidia, watu hao sio Wamarekani including African Americans! Na binafsi, kuna Wazungu wengi tu wanaopinga haya kutoka mioyoni mwao kabisa. Wazungu wengi wana ubaguzi wa kawaida kama ambao Watanzania kwa Watanzania huwa tunabaguana hata wenyewe kwa wenyewe.
... kwa maelezo haya this matter seems to be complicated than it seems to be!
 
Elimu inasaidia mtu kuwa objective. Wapinzani wetu Tz kwa sababu ya kukosa elimu wengi wao ni subjective ktk kupinga vitu. Unakuta mpinzani anamchukia mtu kwa sababu ya kabila lake (ingawa mpaka sasa wameshindwa vibaya mno).
Wewe huna kitu kichwani,unawaza kwa kutumia tumbo.
 
Unatamani hilo tukio lisingetokea huko uzunguni, na pia unatamani ukweli huo ujifiche yaani dunia iwe kimya hahahahaha, usihangaike mkuu history haijifichiView attachment 1471860View attachment 1471861
... nimependa jinsi tukio hili la kidhalimu lilivyoweza kuwekwa wazi na hatua stahiki kuchukuliwa kwa wahusika bila figisufigisu za serikali. Lingetokea China au Iran wala tusingejua kuna kitu kama hicho kimetokea!
 
Back
Top Bottom