Uingereza: Waandamanaji waitupa majini sanamu ya aliyekuwa mfanyabiashara wa watumwa

Uingereza: Waandamanaji waitupa majini sanamu ya aliyekuwa mfanyabiashara wa watumwa

Wahenga wanasema; "mshikwa na ngozi ndiye mla nyama"

"Ngozi" ya utumwa, ubaguzi, unyanyasaji nk, ipo Caribbean, Marekani, Ulaya (Uingereza, Ufaransa nk ). Wengi wanaofanyiwa hayo madhila ni "lineage" ya Utumwa, katika Uarabuni hiyo lineage ya Utumwa haipo kabisa ni sawa na kusema " ushahidi umepotezwa" au jalada la kesi halionekani, Waafrika wengi waliopo Uarabuni ni wahamiaji na sio zao la utumwa hata kama watanyanyaswa wataambiwa huko ulifuata nini??? au ataambiwa; si shida yako iliyokupekeka huko!!.

Katika nchi za Asia ni angalau India tu ndiyo kuna masalia ya Watumwa (Sidis) huko Karnataka waliotoka Kenya.
Waarabu waliua Au kuwahasi watumwa ili wasizaliane ndio maana hamna masalia ya utumwa huko arabuni I
 

Video ikionyesha waandamaji wakiangusha sanamu ambayo imedumu toka karne ya 18.

View attachment 1471472
Sanamu ya Edward Colston katika sehemu ambayo inajulika The centre, Bristol.


View attachment 1471475
Wakiwa wanaitupa Bristol harbour.


View attachment 1471461
Sanamu ya aliyekuwa mfanyabisha maarufu ya utumwa katika karne ya 17 imeangushwa na kutupwa harbour na waandamaji wa Black Lives Matter.

Sanamu hiyo ilijengwa katika mji wa Bristol, United Kingdom katika karne 18. Lakini imekuwa ikileta malalamiko mengi. Watu wakitaka iondolewe kwa sababu inaonekana ni kama kumpa heshima mtu aliyejipatia utajiri kwa kuwauza waafrika na wengi wao kuwasababishia mauti!
Vipi kuhusu Benki ya Barclay's ambao ni ndugu wawili wafadhili wakuu wa biashara ya utumwa???ni ajabu ina matawi mengi Africa wakati mtaji na utajiri wao waliupata kupitia biashara ya utumwa???nipo Tayari kusahihishwa.
 

Video ikionyesha waandamaji wakiangusha sanamu ambayo imedumu toka karne ya 18.

View attachment 1471472
Sanamu ya Edward Colston katika sehemu ambayo inajulika The centre, Bristol.


View attachment 1471475
Wakiwa wanaitupa Bristol harbour.


View attachment 1471461
Sanamu ya aliyekuwa mfanyabisha maarufu ya utumwa katika karne ya 17 imeangushwa na kutupwa harbour na waandamaji wa Black Lives Matter.

Sanamu hiyo ilijengwa katika mji wa Bristol, United Kingdom katika karne 18. Lakini imekuwa ikileta malalamiko mengi. Watu wakitaka iondolewe kwa sababu inaonekana ni kama kumpa heshima mtu aliyejipatia utajiri kwa kuwauza waafrika na wengi wao kuwasababishia mauti!

LEO MIMI NDIO NIMEFAHAMU KUMBE WAFANYA BIASHARA HARAM ZA KUUZA BINAADAM BADO WALIKUWA WAKIADHIMISHWA NA MATAIFA YA WAZUNGU. KHKHKHAAA!!!!!!?
 
Kwa mfano biashara ya utumwa ingekuwa inaendekea. Kuna watu afrika wangekuwa wanajitolea kuwa watumwa ulaya kuliko kubaki africa.

Tena kwa wingi sana mpaka wazungu wenyewe wangesema jaman inatosha hatuhitaji tena kwa sasa subirini ngwe nyingine. Watu humu wengi wanajidai kuwasema vibaya wazungu lakini wanalala na kuota lini watapata nafasi ya kwenda Ulaya au Marekani. Kuna unafiki mwingi sana aisee humu.
 
Eti wazungu wako makini sana wanapinga unyanyasaji, Mkuu acha mahaba yako, ukweli ushajulikana sasaivi, hata uwasafishe vipi humu JF haitosaidia, wauwaji wakubwa duniani ni wazungu, wabaguzi ngurue poriView attachment 1471852View attachment 1471853
gettyimages-542502429-27867461d697a947417e7f8760b72b1c96880582-s700-c85.jpg
 
Ata uwapambe vipi na mahaba yako haiondoshi ukweli kuwa unaonekana nyani huko kwao na wakikuona wanakuuwa, uzuri wa history haifutiki [emoji23] ila unazidi kukomaa kuwatetea magaidi, black can't be white forever, mpka leo 2020 wanawauwa but still unakomaa nao shithole View attachment 1471859
OkayLarge267x296.jpg

Pata huo ujumbe wewee baguzi la kiarabu
 
Wewe unaeongelea na kutaja neno"ubaguzi" ndio muasisi ubaguzi.maana imeandikwa "kimtokacho mtu kinywani mwake ndicho kilicho jazwa moyoni mwake"
 

Video ikionyesha waandamaji wakiangusha sanamu ambayo imedumu toka karne ya 18.

View attachment 1471472
Sanamu ya Edward Colston katika sehemu ambayo inajulika The centre, Bristol.


View attachment 1471475
Wakiwa wanaitupa Bristol harbour.


View attachment 1471461
Sanamu ya aliyekuwa mfanyabisha maarufu ya utumwa katika karne ya 17 imeangushwa na kutupwa harbour na waandamaji wa Black Lives Matter.

Sanamu hiyo ilijengwa katika mji wa Bristol, United Kingdom katika karne 18. Lakini imekuwa ikileta malalamiko mengi. Watu wakitaka iondolewe kwa sababu inaonekana ni kama kumpa heshima mtu aliyejipatia utajiri kwa kuwauza waafrika na wengi wao kuwasababishia mauti!
Awww
 
Wazungu wako makini sana. Wanapinga unyanyasaji wa mtu mweusi kuliko hata waafrika wenyewe! Mungu awabariki sana hawa jamaa.
Waafrika hatujitambui ndio maana tunabaguliwa.
 
Wahenga wanasema; "mshikwa na ngozi ndiye mla nyama"

"Ngozi" ya utumwa, ubaguzi, unyanyasaji nk, ipo Caribbean, Marekani, Ulaya (Uingereza, Ufaransa nk ). Wengi wanaofanyiwa hayo madhila ni "lineage" ya Utumwa, katika Uarabuni hiyo lineage ya Utumwa haipo kabisa ni sawa na kusema " ushahidi umepotezwa" au jalada la kesi halionekani, Waafrika wengi waliopo Uarabuni ni wahamiaji na sio zao la utumwa hata kama watanyanyaswa wataambiwa huko ulifuata nini??? au ataambiwa; si shida yako iliyokupekeka huko!!.

Katika nchi za Asia ni angalau India tu ndiyo kuna masalia ya Watumwa (Sidis) huko Karnataka waliotoka Kenya.
Muarab aliwahasi watu weusi
 
Back
Top Bottom