... uarabuni ndiko tunaonekana manyani haswa Mkuu!Ata uwapambe vipi na mahaba yako haiondoshi ukweli kuwa unaonekana nyani huko kwao na wakikuona wanakuuwa, uzuri wa history haifutiki [emoji23] ila unazidi kukomaa kuwatetea magaidi, black can't be white forever, mpka leo 2020 wanawauwa but still unakomaa nao shithole View attachment 1471859
Muangalie Ayatullah huyo... nimependa jinsi tukio hili la kidhalimu lilivyoweza kuwekwa wazi bila figisufigisu za serikali. Lingetokea China au Iran wala tusingejua kuna kitu kama hicho kimetokea!
Ambao Lissu anawaabudu sana mpaka kusema tusicheze na MIGA tutashtakiwa mpaka tufilisikeNi ngumu sana kuwaelewa hawa watu.
1. Wanakununua na kukuuza, wakiona biashara imekua ghali kuiendesha wanaanzisha kampeni ya kuipinga. Mpiga zumari kwenye kampeni husika anakua ni muathirika wa biashara ya utumwa.
GHAFLA MZUNGU ANAANZA KUSIFIWA KWA KUPINGA BIASHARA ALIYOKUA AKIIFANYA. Wanaomsifu ni miongoni wa WATUMWA.🎓
2. Anakuja nchini kwako kiharamia, anajichimbia na kuanza kukubagua ndani ya nchi yako! Badala ya kupambana kumtoa unaanza mapambano asikubague😁Akishathibitisha kuwa umeshapoteza kumbukumbu za uhalali wake kuwa nchini kwako anatengeneza magitaa, vinubi na matari kisha anazisha kamoeni ya kupinga UBAGUZI WA RANGI. Mwongoza kampeni anakuwa mzawa mwathirika wa uvamizi wa maharamia na kisha ubaguzi wa rangi.
Hatima ya kampeni ANASIFIWA MZUNGU MVAMIZI na anajipatiamo uhalali wa kumiliki na kutawala sawasawa na wazawa.
HUYO NDIO MUZUNGU.
... tutajuaje wakati kila kitu ni state-controlled?Wapi umeskia Iran kuna muafrika kabaguliwa kama hivyo? Ndio maana nikakuambia unatamani hilo tukio litokee nchi za kiarabu but now ukweli umekuingia ingawaje unaumia [emoji23][emoji23]Muangalie Ayatullah huyoView attachment 1471881
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... nimependa jinsi tukio hili la kidhalimu lilivyoweza kuwekwa wazi na hatua stahiki kuchukuliwa kwa wahusika bila figisufigisu za serikali. Lingetokea China au Iran wala tusingejua kuna kitu kama hicho kimetokea!
Ubaguzi ndio jadi yao hao wapuuzi usishangae MKUU.....View attachment 1471885
Mtu aliyekuwa anawauza Waafrika Caribbean na Amerika anapewa heshima zote hizi!
Mh haya maandamano yana kitu nyuma yake
Ungesoma na kuelewa nilichoandika usingesumbuka kubishanaSi kweli, ni kwamba kuna binadamu wana roho za ajabu, si wazungu tu, hata babu zako walifanya biashara ya utumwa na wazungu kwa kupewa vizawadi vya hapa na pale.
Hakuna mzungu anayeweza kufanya ubaya Africa bila kusaidiwa na mwafrica. Wapo wazungu wema sana ambao wanaenda mpaka kwenye nchi zenye vita kusaidia huduma za afya n. K. Wapo wanaoadupt watoto na kuwatunza kama wa kwao. Leo hii wapo walio mstari wa mbele kuandamana bila kujali uwepo wa korona sababu wamechoshwa na kusikia unyanyasaji wa mtu mweusi. Wazungu na waafrika ni binadamu, wapo wema na wabaya.
Nakufananisha na nyapara wa mkoloni wakati wa kudai uhuru.Ambao Lissu anawaabudu sana mpaka kusema tusicheze na MIGA tutashtakiwa mpaka tufilisike
Nasikitika sana kwa kutokuielewa point yangu, nilikusudia kuwaongeza washtakiwa ili jamii ijue trend ya uhalifu inawahusu nani na nani.Hata muwapambe vipi, mkijipendekeza vipi wanawaona manyani, leo hii ulimwengu mzima unaandamana kulani ubaguzi na mauaji yao but still shithole mnawapamba [emoji23][emoji23]JFView attachment 1471854View attachment 1471855View attachment 1471856View attachment 1471857
Mkuu umefikiri kama nilivyofikiri na huo ndio ukweliKuivunja na kuharibu sanamu hiyo ni mbinu za mabeberu kufuta historia ya dhulma
ngoja waje wajukuu zao mda si mrefu utapewa majibu... mbona sioni waarabu nao wakiandamana ili kujikosha? Maana wao ndio hasa walikuwa wanafuata "bidhaa" shambani kuipeleka sokoni; wao hawaguswi na utumwa kwa kuzingatia maelezo yako hapo juu?
... wameshaibuka mkuu ila hawana hoja! Wanashindwa kukiri moja kwa moja uhusika wa babu zao hao wa kufikia.ngoja waje wajukuu zao mda si mrefu utapewa majibu
Waandamanaji wa nchini Uingereza wanaopinga ubaguzi wa rangi baada ya kutokea kifo cha George Floyd, wameivunja sanamu ya aliyekuwa mfanyabiashara ya watumwa iliyoko mjini Bristol
Sanamu iliyotupwa majini ni ya Edward Colston ilikuwepo tangu mwaka 1895. Watu walipitisha chagizo la kuiondoa sanamu hiyo kwa kuwa ilikuwa inabeba historia mbaya, hivyo katika maandamano hayo wanaandamanaji waliitupa sanamu hiyo majini
Maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi yameendelea kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo London, Rome, Madrid, Warsaw, Sydney na Hongkong waandamanaji wakiwa na ujumbe ya kuwa ‘Black lives matter’
Katika maeneo mengi waandamanaji wameonekana kutojali uwepo wa #CoronaVirus kwa kuwa hawaachiani ile mita moja inayoshauriwa kati ya mtu na mtu. Pia ni wachache kati yao ambao huvaa barakoa
View attachment 1471686
====
In London, thousands congregated outside the US Embassy on Sunday despite British ministers saying that public protests ran the risk of increasing the spread of Covid-19.
Chants of "No Justice, No Peace" and "Black Lives Matter" bounced off the building in the Vauxhall region of the city, with a jubilant atmosphere for much of the day.
"Together, we will let our voices be heard. Enough is Enough. Black people cannot keep suffering," one protester addressed the crowd.
At times, the activists chanted "The UK is not innocent." Others had messages for the US President, with one sign reading: "Black lives trump your ego, Mr. President."
The previous day, activists had descended onto Parliament Square in the center of the city. Protests were peaceful for several hours, but turned heated in the evening when police and crowds faced off outside Downing Street.
In one incident, video posted online showed a police horse suddenly bolting, causing its officer to crash into a street light and fall to the ground. The loose horse then caused panic as it ran through groups of protesters, before making its way back to police stables.
"I stand with you. George Floyd's brutal killing must lead to immediate and lasting change everywhere," London Mayor Sadiq Khan said in a Sunday message to protesters, while condemning the minority who turned violent and reminding activists to try to limit physical interactions.
A number of Boris Johnson's government ministers had previously urged protesters to avoid gathering at all for public health reasons, with Home Secretary Priti Patel saying on Saturday: "I would say to those that want to protest, please don't."
Similar protests took place in Edinburgh, Scotland -- and a dramatic scene unfolded in Bristol, southwest England, where activists tore down a statue of 17th century slave owner Edward Colston.
The monument had stood in the city center since 1895 but had become increasingly controversial, with petitions created to demand its removal. On Sunday it was ripped down with ropes to loud cheers from a crowd of demonstrators.
Source: CNN