Uingereza: Wataalamu wa Afya watahadharisha Ugonjwa wa Kisonono unaweza kutotibika miaka inayokuja

Uingereza: Wataalamu wa Afya watahadharisha Ugonjwa wa Kisonono unaweza kutotibika miaka inayokuja

Ndio na uzi upo mpaka humu aliufungua Kalpana waukae mwanakwetu
Wautafute wakaperuzi kule....wape link...😃😃😃😃vidudu vimekua sugu watu wanaugua hawamalizi dozi vzr...au wanamaliza lakini gonococuss inajitengeneza ki mafia zaidi dawa zinadunda. .yani miaka inayokuja watu watapuputika wabakie mashimo😷😷😷😷
 
Wautafute wakaperuzi kule....wape link...😃😃😃😃vidudu vimekua sugu watu wanaugua hawamalizi dozi vzr...au wanamaliza lakini gonococuss inajitengeneza ki mafia zaidi dawa zinadunda. .yani miaka inayokuja watu watapuputika wabakie mashimo😷😷😷😷
Noma kilo 7 Nimecheka siopoa
 
Wautafute wakaperuzi kule....wape link...😃😃😃😃vidudu vimekua sugu watu wanaugua hawamalizi dozi vzr...au wanamaliza lakini gonococuss inajitengeneza ki mafia zaidi dawa zinadunda. .yani miaka inayokuja watu watapuputika wabakie mashimo😷😷😷😷
Hii sasa ndio watu wata tulizana
 
Yanii ubaya wa gono ndo huo ukiupata utakituliza tuu unapeleka wapi madonda yako....😃😃😃
Yani kuna mtu alikua anavaa shuka anaenda kuchomwa sindano...ni aibu aisee...hayo magonjwa ya huko kwny mali asili ni ya aibu mnoo...Mungu aniepushie...
Hivi mtu anaenda kumueleza nn daktari 😆
 
Back
Top Bottom