Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Usiupate kabisa bana...😃😃😃huko kwa wahindi usiwaze hata kufika...Nakimbilia kwa madkt wa kihindi 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiupate kabisa bana...😃😃😃huko kwa wahindi usiwaze hata kufika...Nakimbilia kwa madkt wa kihindi 😆
Kweli aiseee hilo ndio neno maana dahUsiupate kabisa bana...😃😃😃huko kwa wahindi usiwaze hata kufika...
Mkuu jitulize kubaya huko mbeleni mashine zitapukutika 🤔Majanga haya
Balaaa yana mazaga yana teketea unaona ðŸ˜Mkuu jitulize kubaya huko mbeleni mashine zitapukutika 🤔
Asee Gono sio mchezo hili dubwana mtu alisikie tu 🤔Balaaa yana mazaga yana teketea unaona ðŸ˜
Ila hao ni madkt wa UK wa Urusi watakuwa na dawaAsee Gono sio mchezo hili dubwana mtu alisikie tu 🤔
Ngoja tusubiri reports zingine kutoka mahala pengine yawezekana ni njama za kutaka wapige hela tu, maana hizi ndio njia zao na kuleta machanjo.Ila hao ni madkt wa UK wa Urusi watakuwa na dawa
Wana tangaza dawa hamna kama wao ndio madkt pekee dunia hiiNgoja tusubiri reports zingine kutoka mahala pengine yawezekana ni njama za kutaka wapige hela tu, maana hizi ndio njia zao na kuleta machanjo.
Ndio swali la kujiuliza sasaWana tangaza dawa hamna kama wao ndio madkt pekee dunia hii
HujaulizwaHabari mbaya kwa Gen Z
Ndo yy huyo? Mbona mbovu hivi?Siku 1 utaacha ngoja uendelee hivyo Ila siku 1 utaacha na itakua funzo kwako na kwa mabinti wenye tabia km zako kuwageuza Jinsia wanaume na kuwaita wanawake mafaili yako ninayoView attachment 3071787
Huu ugonjwa kumbe bado upo!Kulingana na Shirika la Usalama wa Afya la Uingereza (UKHSA) imeonyesha takwimu mpya ya ongezeko la visa vya Kisonono kutotibika iamka ya hivi karibuni huku idadi ya wagonjwa kuongezeka nchini humo
Visa vingi vya gonorhea inayopinga dawa vimeelezwa kuwa tishio kwa afya ya umma na ni lazima lishughulikiwe haraka.
Jumla ya idadi ya watu waliopata ugonjwa wa Kisonono Uingereza ni 85,223 kufikia mwaka 2023Gonorrhoea could become 'untreatable' as cases of the STI reach record level
==========For English Audience=============
More drug-resistant cases of gonorrhoea are described as an "increasingly major public health threat" which "must be addressed with immediate action".
Gonorrhoea could become "untreatable", a health expert has warned.
An increasing number of people catching the sexually transmitted infection are finding it does not respond to antibiotics.
Cases in England spiked to their highest level in 2023, the most recent figures available, with 85,223 that year.
As well as an increase in prevalence, doctors have found more people with treatment-resistant strain over the past few years.
The first-line treatment in England is an antibiotic called ceftriaxone, the UK Health Security Agency (UKHSA) said.
New data from the UKHSA highlights the growing number of drug-resistant cases in recent years.
SOURCE: SKY NEWS
Sinaga kazi mboni inteligensia yangu ipo makini
Wewe binamu kakutafuna kabla kukuoa uongo uongo?Wacheni uzinzi, uasherati na ushoga.
Pamekuaje wanapigana mitishamba kavu kavu sana?Serikali ipaangalie Manyara na Karatu kwa jicho la kipekee
Kumbe homa ya nyani ukipata unapona Ila Gono Sugu sahauMkuu jitulize kubaya huko mbeleni mashine zitapukutika 🤔
hata kwa nyeto hafai