Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hatar hii tasnia ya ngono imepata pigo kubwa sanaKWASASA
Nadhani PANGUSA ndio tishio kuliko kisonono
Ili la nyani nalo ni changamoto tu mkuu, lishafyeka watu wengi tu huko maeneo ya DRC.Kumbe homa ya nyani ukipata unapona Ila Gono Sugu sahau
Ndo utulize shobo hujatajwaHujaulizwa
loviesundyKumbe Gono(Kiingereza) ndiyo Kisonono(Kiswahili)? Nilikuwa sijui.
Duhh! Kama wakubwa gono linawaumiza kichwa vipi huku wategemea Azuma tutapona?
kiukweli Kuna tatizo nilikuwa nayo na manzi yangu nilichoshangaaa alikuwa fresh alafu Mimi nikaumwa