Uingereza: Wataalamu wa Afya watahadharisha Ugonjwa wa Kisonono unaweza kutotibika miaka inayokuja

Ndio na uzi upo mpaka humu aliufungua Kalpana waukae mwanakwetu
Wautafute wakaperuzi kule....wape link...πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒvidudu vimekua sugu watu wanaugua hawamalizi dozi vzr...au wanamaliza lakini gonococuss inajitengeneza ki mafia zaidi dawa zinadunda. .yani miaka inayokuja watu watapuputika wabakie mashimo😷😷😷😷
 
Noma kilo 7 Nimecheka siopoa
 
Hii sasa ndio watu wata tulizana
 
Hivi mtu anaenda kumueleza nn daktari πŸ˜†
 
Waukae mwanakwetu hayo mambo ya Vocha we yaache km yalivyo watu walitaka kukunjana mashati humu kisa Vocha
Sipati pikcha kabisa...yani hapo hawaonani hahahahahaa sijui zingemwagwa live ingekuwaje..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…