johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni Rish Sunak wa Uingereza
Source: Sky news
Hii kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla haiwezekani
----
Waziri Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak amepigwa faini kwa kutofunga mkanda kwenye gari lililokuwa likitembea wakati akirekodi video kwa ajili ya mitandao ya kijamii.
Polisi wa Lancashire wamesema kuwa wamempa kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 42, adhabu ya kulipa faini isiyobadilika masharti.
Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Ofisi ya Waziri Mkuu ilieleza kwamba Sunak amekubali kuwa hilo lilikuwa kosa na ameomba radhi na kuongeza kuwa atalipa faini hiyo.
Chanzo: Mwananchi
Source: Sky news
Hii kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla haiwezekani
----
Waziri Mkuu wa Uingereza, Rishi Sunak amepigwa faini kwa kutofunga mkanda kwenye gari lililokuwa likitembea wakati akirekodi video kwa ajili ya mitandao ya kijamii.
Polisi wa Lancashire wamesema kuwa wamempa kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 42, adhabu ya kulipa faini isiyobadilika masharti.
Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Ofisi ya Waziri Mkuu ilieleza kwamba Sunak amekubali kuwa hilo lilikuwa kosa na ameomba radhi na kuongeza kuwa atalipa faini hiyo.
Chanzo: Mwananchi