Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Urusi sio DRC Congo.
Dunia yote tutaita maji mmma
Ni upuuzi na uphaller wa kiwango cha juu kumpa Urusi credit katika hili.
Huyu Boris ameanza kupitia misuko suko kuanzia kipindi cha korona hili ni hitimisho tu.

Kwa taarifa yako toka mwaka 1750 ni waziziri mkui mmoja pekee ameongoza kwa miaka 20 akifuatiwa na Thatcher kwa miaka 11, Blair kwa 10 na waliosalia ni miaka 6, 5, 4, 3, 2, 1 na wengine ni siku chache tu.

Tangu cheo cha waziri mkuu kianze Uingereza imrkuwa na zaidi ya Ma waziri wakuu zaidi ya 77 na huwa wanakaa kwa muda mfupi.

Hii tabia ya kusifia kila ujinga na kumhusisha Putin ni akili ndogo za ccm ambazo mtu hata akila nyama anamsifia Samia.
 
Ila Kama chama chake kitashinda kitafata mrengo wake so sad kwa timu NATO
Uk sio Tanzania, hata ajaye lazima atafuata sera za nchi yake na za kimataifa kama kawaida.
Wajibu wa uk kwa NATO sio matakwa ya mtu mmoja wala chama bali nchi.
Amebadilishwa mtu na sio sera.

Tuhuma nyungi na mbaya zilizomgharimu ni tabia yake binafsi.
 
Hivi ndio inavyotakiwa katika nchi za kidemokrasia, unaachia ngazi mara moja ikiwa presha za kisiasa zimekuzidi nguvu. Kwa Tanzania hata mwenyekiti wa kijiji huwezi muona akiwajibika kuachia ngapi ikiwa hatakiwi na wananchi wake.
Rejea covid 19 inavyotesa taifa wala hawajali.
Ndugai alivyosigina katiba hakuna aliyejali.

Magufuli alitawala kama genge la wanyang'anyi hakuna aliyejali.

Makonda na Sabaya wakageuka maharamia..nani alijali?
Tena wanatetewa mchana kweupe.

Nchi hii ukiwaza sana utakuwa kichaa majitu hayana akili kabisa na yanasifia upumbavu.
 
Uk sio Tanzania, hata ajaye lazima atafuata sera za nchi yake na za kimataifa kama kawaida.
Wajibu wa uk kwa NATO sio matakwa ya mtu mmoja wala chama bali nchi.
Amebadilishwa mtu na sio sera.

Tuhuma nyungi na mbaya zilizomgharimu ni tabia yake binafsi.
Hilo najua lakin kumbuka Boris Johnson kuna vitu amefanya bila woga yeye ndo wakwanza kumpa Ukraine silaha n kiongoz wa nchi mkubwa kwenda Ukraine tena kukiwa na Vita so kwa NATO alikuwa mtu muhimu ukizingatia biti la Putin pia yeye alichangia kumfurusha abromivic
 
Ni upuuzi na uphaller wa kiwango cha juu kumpa Urusi credit katika hili.
Huyu Boris ameanza kupitia misuko suko kuanzia kipindi cha korona hili ni hitimisho tu.

Kwa taarifa yako toka mwaka 1750 ni waziziri mkui mmoja pekee ameongoza kwa miaka 20 akifuatiwa na Thatcher kwa miaka 11, Blair kwa 10 na waliosalia ni miaka 6, 5, 4, 3, 2, 1 na wengine ni siku chache tu.

Tangu cheo cha waziri mkuu kianze Uingereza imrkuwa na zaidi ya Ma waziri wakuu zaidi ya 77 na huwa wanakaa kwa muda mfupi.

Hii tabia ya kusifia kila ujinga na kumhusisha Putin ni akili ndogo za ccm ambazo mtu hata akila nyama anamsifia Samia.
 
Wengi hawajui kabisa siasa za uingereza, kuondoka kwa PM hakuna uhusiano ma Ukraine...ni kweli maisha yamekua ghali ulaya na UK kwa ujumla, lakini hii sio sababu iliyomwondoa waziri mkuu, kumekua na visa vya ngono kwa watu wake wake wa karibu, kukosa msimamo na mwelekeo katika mambo mengi,hayo ndio yamemwangusha, bado Chama chake nadhani kitaunda serikali na misimamo mingi ya Chama hicho kuhusu Ukraine usitegemee kubadilika.
 
Rejea covid 19 inavyotesa taifa wala hawajali.
Ndugai alivyosigina katiba hakuna aliyejali.

Magufuli alitawala kama genge la wanyang'anyi hakuna aliyejali.

Makonda na Sabaya wakageuka maharamia..nani alijali?
Tena wanatetewa mchana kweupe.

Nchi hii ukiwaza sana utakuwa kichaa majitu hayana akili kabisa na yanasifia upumbavu.
Ukimtoa muhesimiwa Mbowe na Lissu, wanasiasa wotee Tanzania wameingia kwenye siasa kwa sababu ya NJAA kali, kujiuzuru hakutawezekana kamwe
 
Back
Top Bottom