STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Oyaaaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Putin anachowafanyia nato wanapitia magumu sanaMke mkubwa kashapewa Talaka
Nalog off Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaaaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Putin anachowafanyia nato wanapitia magumu sanaMke mkubwa kashapewa Talaka
Nalog off Z
Sidhani kama ina uhusiano na mambo ya urusi hii ni shida wabongo hatufuatilii taarifa kwa kina bali tunataka taarifa ziwe tunavyotaka sisi.Urusi sio DRC Congo.
Dunia yote tutaita maji mmma
Thanks [emoji106]mkuu ukiwa kwenye uwanja vita hata adui yako afe kwa njaa lazima ujitangazie ushindi
kwa hili Putin apewe ushindi tuu
mgoja na baridi inakuja
Sawa msimamo utakuwa palepale lakini vuvuzela litakuwa limesagwasagwaHakuna uhusiano wowote na Russia mkuu, mbona News ziko wazi, BBC imeweka wazi mambo matano yaliyomwondoa Waziri Mkuu,hata serikali itayaoundwa haibadili chochote msimamo wa UK kuhusu Ukraine
Kama una maoni ya kishabiki ya namna hii jua kabisa kwamba wewe bado mdogo, hujakomaa kiakiliUrusi sio DRC Congo.
Dunia yote tutaita maji mmma
naskia na ufaransa nako kunatokotaOyaaaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787], Putin anachowafanyia nato wanapitia magumu sana
Achana na watoto wadogo maana hakuna wanachotaka kujua wala kujifunza zaidi ya ushabiki tuHakuna uhusiano wowote na Russia mkuu, mbona News ziko wazi, BBC imeweka wazi mambo matano yaliyomwondoa Waziri Mkuu,hata serikali itayaoundwa haibadili chochote msimamo wa UK kuhusu Ukraine
namwaza zelesiki kapokeaje hizi storiWalitaka wamvuruge Putin ila cha ajabu wanavurugika wao
Watanzania mnatia kichechefu kwa ushabiki wa hovyo, mbona waingereza wenyewe wana maoni tofauti kabisa na ninyi mashibiki maandazi. Elimu yetu ichunguzwe.naskia na ufaransa nako kunatokota
nasikia ujerumani nako hali si shwari
na chakufurahisha
Putini katesti li dude letu na kutolea mfano kwa uingereza
Hio vita ni kama imechochea jamaa kuchukiwa, huku yeye akidhani kuchochea hio vita ingeweza kusaidia kutuliza hali mbaya waliokua nayo ndani ya nchi,,,,,uingereza kuna bomu kubwa linafukuta sema tu kwasababu ya hii vita wanaficha mengi......Scotland inataka ijitenge iwe nchi huru,, kwenye issue yao ya brexit wameshaanza kugombana na wenzao wa EU sababu ya sheria zao huko Ireland.......mambo ndo kwanza yanaanza , na Putin lazima aifanye hii vita iwe ndefu ili kuwavuruga zaidi pole poleWatanzania wengi lugha ya kiingereza inawatesa sana mpaka wanafikiria sababu zilizopelekea Boris Johnson kujiuzulu ni vita vya Russia na Ukraine wakati Uingereza haipigani hivyo vita.
Wananchi gani hao wa uingereza uliowasikia maoni yao kama sio viongozi mbalimbali? Ulitegemea hao viongozi watoe maoni ya namna gani?Watanzania wengi lugha ya kiingereza inawatesa sana mpaka wanafikiria sababu zilizopelekea Boris Johnson kujiuzulu ni vita vya Russia na Ukraine wakati Uingereza haipigani hivyo vita.
Ni ngumu mtu kumchagulia mapokeo na hasa kutoa maoni baada ya matokeoWatanzania mnatia kichechefu kwa ushabiki wa hovyo, mbona waingereza wenyewe wana maoni tofauti kabisa na ninyi mashibiki maandazi. Elimu yetu ichunguzwe.
Kuwa challenged na maoni ya mihemko ni jambo la kawaida ila kuna wakati inafika mahala ushabiki unaenda overboard. Kujiudhulu kwa viongozi wakuu inchini uingereza ni jambo la kawaida sana na imetokea mara nyingi. Issue za ukraine sio personal wenzetu hawana huo ujinga lazima bunge likae kujadili kuona kama inafaa. Nenda kupitie maoni ya wahusika wenyewe utajionea utofauti na Sisi tunaojifanya wajuaji.Ni ngumu mtu kumchagulia mapokeo na hasa kutoa maoni baada ya matokeo
kinachoendelea hapa gari la kivita limepata hitirafu na maadui kuteketea kufurahia hata kama hatujachangia katika hitirafu hiyo ni jukumu letu
namuwaza zelesii tu hapa kapokeaje taarifa hizi.
kuhusu elimu hilo sio jukumu langu. kama ina makosa ni kuihurumia tuu bas
Hamna kitu hapo..watakua wanaona aibu kuwa wawazi tu...maisha yamekuwa magumu, gharama za maisha zimepanda, mafuta hali ngumu, korona yenyewe..halafu yeye yuko bizy na UKRAINE.....wamemla kichwa kistaarabu hao...Ni upuuzi na uphaller wa kiwango cha juu kumpa Urusi credit katika hili.
Huyu Boris ameanza kupitia misuko suko kuanzia kipindi cha korona hili ni hitimisho tu.
Kwa taarifa yako toka mwaka 1750 ni waziziri mkui mmoja pekee ameongoza kwa miaka 20 akifuatiwa na Thatcher kwa miaka 11, Blair kwa 10 na waliosalia ni miaka 6, 5, 4, 3, 2, 1 na wengine ni siku chache tu.
Tangu cheo cha waziri mkuu kianze Uingereza imrkuwa na zaidi ya Ma waziri wakuu zaidi ya 77 na huwa wanakaa kwa muda mfupi.
Hii tabia ya kusifia kila ujinga na kumhusisha Putin ni akili ndogo za ccm ambazo mtu hata akila nyama anamsifia Samia.