Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Urusi sio DRC Congo.
Dunia yote tutaita maji mmma
Sidhani kama ina uhusiano na mambo ya urusi hii ni shida wabongo hatufuatilii taarifa kwa kina bali tunataka taarifa ziwe tunavyotaka sisi.

Borris alikuwa na scandal ya kuhudhuria sherehe za mitaani wakati ule COVID-19 imepamba moto akavunja sheria aliyoitamka mwenyewe ya jamii za waingereza kutohudhuria sherehe yoyote yeye akaenda tena sherehe zaidi ya moja na ilishapigwa mpaka kura bungeni kabla ya hii vita wamng’oe akashinda ila wenzetu siyo sisi rangi ya mkaa kung‘ang’ana na madaraka wao wakiona sehemu hawatakiwi wanaachia wanaoonekana wanafaa na ndicho alichofanya.
 
Watanzania wengi lugha ya kiingereza inawatesa sana mpaka wanafikiria sababu zilizopelekea Boris Johnson kujiuzulu ni vita vya Russia na Ukraine wakati Uingereza haipigani hivyo vita.
Hio vita ni kama imechochea jamaa kuchukiwa, huku yeye akidhani kuchochea hio vita ingeweza kusaidia kutuliza hali mbaya waliokua nayo ndani ya nchi,,,,,uingereza kuna bomu kubwa linafukuta sema tu kwasababu ya hii vita wanaficha mengi......Scotland inataka ijitenge iwe nchi huru,, kwenye issue yao ya brexit wameshaanza kugombana na wenzao wa EU sababu ya sheria zao huko Ireland.......mambo ndo kwanza yanaanza , na Putin lazima aifanye hii vita iwe ndefu ili kuwavuruga zaidi pole pole
Screenshot_20220707-154743_RT News.jpg
 
Watanzania wengi lugha ya kiingereza inawatesa sana mpaka wanafikiria sababu zilizopelekea Boris Johnson kujiuzulu ni vita vya Russia na Ukraine wakati Uingereza haipigani hivyo vita.
Wananchi gani hao wa uingereza uliowasikia maoni yao kama sio viongozi mbalimbali? Ulitegemea hao viongozi watoe maoni ya namna gani?
 
Watanzania mnatia kichechefu kwa ushabiki wa hovyo, mbona waingereza wenyewe wana maoni tofauti kabisa na ninyi mashibiki maandazi. Elimu yetu ichunguzwe.
Ni ngumu mtu kumchagulia mapokeo na hasa kutoa maoni baada ya matokeo

kinachoendelea hapa gari la kivita limepata hitirafu na maadui kuteketea kufurahia hata kama hatujachangia katika hitirafu hiyo ni jukumu letu


namuwaza zelesii tu hapa kapokeaje taarifa hizi.

kuhusu elimu hilo sio jukumu langu. kama ina makosa ni kuihurumia tuu bas
 
Ni ngumu mtu kumchagulia mapokeo na hasa kutoa maoni baada ya matokeo

kinachoendelea hapa gari la kivita limepata hitirafu na maadui kuteketea kufurahia hata kama hatujachangia katika hitirafu hiyo ni jukumu letu


namuwaza zelesii tu hapa kapokeaje taarifa hizi.

kuhusu elimu hilo sio jukumu langu. kama ina makosa ni kuihurumia tuu bas
Kuwa challenged na maoni ya mihemko ni jambo la kawaida ila kuna wakati inafika mahala ushabiki unaenda overboard. Kujiudhulu kwa viongozi wakuu inchini uingereza ni jambo la kawaida sana na imetokea mara nyingi. Issue za ukraine sio personal wenzetu hawana huo ujinga lazima bunge likae kujadili kuona kama inafaa. Nenda kupitie maoni ya wahusika wenyewe utajionea utofauti na Sisi tunaojifanya wajuaji.
 
Ni upuuzi na uphaller wa kiwango cha juu kumpa Urusi credit katika hili.
Huyu Boris ameanza kupitia misuko suko kuanzia kipindi cha korona hili ni hitimisho tu.

Kwa taarifa yako toka mwaka 1750 ni waziziri mkui mmoja pekee ameongoza kwa miaka 20 akifuatiwa na Thatcher kwa miaka 11, Blair kwa 10 na waliosalia ni miaka 6, 5, 4, 3, 2, 1 na wengine ni siku chache tu.

Tangu cheo cha waziri mkuu kianze Uingereza imrkuwa na zaidi ya Ma waziri wakuu zaidi ya 77 na huwa wanakaa kwa muda mfupi.

Hii tabia ya kusifia kila ujinga na kumhusisha Putin ni akili ndogo za ccm ambazo mtu hata akila nyama anamsifia Samia.
Hamna kitu hapo..watakua wanaona aibu kuwa wawazi tu...maisha yamekuwa magumu, gharama za maisha zimepanda, mafuta hali ngumu, korona yenyewe..halafu yeye yuko bizy na UKRAINE.....wamemla kichwa kistaarabu hao...
 
Back
Top Bottom