Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
[emoji23][emoji23][emoji1787] itakuwa mwisho wa duniaHivi ndio inavyotakiwa katika nchi za kidemokrasia, unaachia ngazi mara moja ikiwa presha za kisiasa zimekuzidi nguvu. Kwa Tanzania hata mwenyekiti wa kijiji huwezi muona akiwajibika kuachia ngapi ikiwa hatakiwi na wananchi wake.
Uwe na uwezo wa kuona mbali dogo. Hiki ulichoongea ni cheap mno.Hajaondolewa kwa sababu ya vita, kaondolewa kwa sababu ya makosa yake binafsi na ya kiuongozi
Urusi anachowafanyia nchi za Nato hawatokuja kusahau [emoji23][emoji23]
Kama huna uwezo wa kufikiria lazima useme hivyo huoni uchumi umetikisika,mfumuko wa bei,gesi imepanda bei.uingereza haipigani hiyo Vita lakini inatumia resources zake nyingi mpaka nchi inafilisika proNato mnafikiria Kwa nini?Watanzania wengi lugha ya kiingereza inawatesa sana mpaka wanafikiria sababu zilizopelekea Boris Johnson kujiuzulu ni vita vya Russia na Ukraine wakati Uingereza haipigani hivyo vita.
Sie hatuangalii alikojikwalia, tunaangalia alikojibwaga. Mshikwa na ngozi...Ni upuuzi na uphaller wa kiwango cha juu kumpa Urusi credit katika hili.
Huyu Boris ameanza kupitia misuko suko kuanzia kipindi cha korona hili ni hitimisho tu.
Kwa taarifa yako toka mwaka 1750 ni waziziri mkui mmoja pekee ameongoza kwa miaka 20 akifuatiwa na Thatcher kwa miaka 11, Blair kwa 10 na waliosalia ni miaka 6, 5, 4, 3, 2, 1 na wengine ni siku chache tu.
Tangu cheo cha waziri mkuu kianze Uingereza imrkuwa na zaidi ya Ma waziri wakuu zaidi ya 77 na huwa wanakaa kwa muda mfupi.
Hii tabia ya kusifia kila ujinga na kumhusisha Putin ni akili ndogo za ccm ambazo mtu hata akila nyama anamsifia Samia.
Halafu walivyo-leak-isha audio conversation ya Putin, ndiyo kabisaaa!Urusi wamemfanyia zengwe mpaka kamwagwa mavi bado Biden na Macron [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635][emoji635]
Asisahau kwamba ndiye kiongozi pekee mkubwa aliyeitembelea Ukraine kwenye mstari wa mbele vitani. Ikumbukwe kwamba Boris Johnson ana cheo kingine cha Waziri Mkuu, au tuseme Kiranja Mkuu, wa NATO. Rais JB, PM ni BJ.Litaathir alikuwa mstari wa mbele Sana kumkabili kibabu Putin
Nasikia Putin kagawa zawadi ya Iskander na Anti-Missiles ^tar-two^ ^tar-two^ kwa kila askari wake, zilikagawiwe huko Ukraine kwa mercenaries 10,000 wa UK ambao bado wangali hai.ππππsijui leo Vladimr Putin atakavyoinywa Vladimir Vodka
Mshanaaaaaaaaaaaaaa......
Bado mwenzake wa ufaransa 'MAKIROO' naye maji ya shingo.Urusi anachowafanyia nchi za Nato hawatokuja kusahau [emoji23][emoji23]
Acha ngojera,Hajaondolewa kwa sababu ya vita, kaondolewa kwa sababu ya makosa yake binafsi na ya kiuongozi
Russia sio Burundi[emoji16]Nimeamini Russia sio tegeta
ππππππSasa chuki zake binafsi na za kijinga kwa kidume Putin rasmi anaenda kuzifanyia chooni
Mfumuko wa Bei bwashee,Vita imemwondoaje? Fafanua.
Usichokijua ni kwamba UK raia wengi sana wanavichukia vita vya Ukraine. Na msukumo mkubwa wa kuhamasisha vita hivi ulitokana na ushawishi wa Boris Johnson--bila kutaja unufaikaji mkubwa ambao amejipatia yeye binafsi.Uk sio Tanzania, hata ajaye lazima atafuata sera za nchi yake na za kimataifa kama kawaida.
Wajibu wa uk kwa NATO sio matakwa ya mtu mmoja wala chama bali nchi.
Amebadilishwa mtu na sio sera.
Tuhuma nyungi na mbaya zilizomgharimu ni tabia yake binafsi.
Mbona unateseka unajieleza saana kubali mwamba Putin ndo mume wenuKuwa challenged na maoni ya mihemko ni jambo la kawaida ila kuna wakati inafika mahala ushabiki unaenda overboard. Kujiudhulu kwa viongozi wakuu inchini uingereza ni jambo la kawaida sana na imetokea mara nyingi. Issue za ukraine sio personal wenzetu hawana huo ujinga lazima bunge likae kujadili kuona kama inafaa. Nenda kupitie maoni ya wahusika wenyewe utajionea utofauti na Sisi tunaojifanya wajuaji.