valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
Hongera kwa utumishi wake seeikalini. Wenzetu issues ndogo gov inaanguka.Boris Johnson aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ametangaza rasmi kujiuzulu
Bwana Johnson amesema alijaribu kuendelea kuwa madarakani na inamuuma kuona hataweza kumalizia mipango yake aliyojiwekea...
Haiwezi. Misingi ya NATO/OTAN imesimama vizuri hata mrithi wake akija atatembea mule mule.Haiwezi kuathiri NATO..
Dini hapo inaingiaje? Kwani wanaoshabikia NATO ni dini gani na wanaoshabikia Russia ni dini gani?Nyie ujinga ndio unawasumbua kwa sababu ya itikadi ya kidini, sasa subiri uone kama waziri mkuu ajaye atageuka na kuiunga mkono Russia ndio utakubaliana na mimi kwamba nyie ni wajinga.
Hana uhodari wowote wananchi wakijaribu kuandamana ni vipigo kwenda mbele.
Wapinzani wake anawasilence kwa chemicals wafe sasa ana uhodari gani huyu? Anachojua ni annexation of others land. Ni mtu wa hovyo kuishi katika 21st Century alitakiwa aishi enzi za Berlin conference.
Foreign policy zinabaki vile vile regardless ya nani anashika hatamu elewa hilo. Ndo hizi nchi zinavyoendeshwa.
PMs wa UK toka Gordon Brown, David Cameron, Theresa May, na sasa Boris Johnson wanajiuzulu kila siku ni fashion tu nothing more to it.
Kwani kuna uchaguzi?Ila Kama chama chake kitashinda kitafata mrengo wake so sad kwa timu NATO
Sawasawa..Haiwezi. Misingi ya NATO/OTAN imesimama vizuri hata mrithi wake akija atatembea mule mule.
Labda asili yake ya Uturuki.Hata hivyo alichelewa sana kujiuzuru. Hadi karibu senior ministers wote wanamuacha jana bado aliendelea kung'ang'ania na kujaribu kuteua wengine. Nadhani ana roho nyingine isiyo ya Waingereza pure. Presuure aliyopata jana, alipaswa kujiuzuru jana ile ile - amekiharibu chama chake
Kweli ila kuna baadhi wanampigia shapuo waziri wa Fedha aliyejiuzuru. Kama umefuatilia hotuba ya Boris ya kujiuzulu amegusia ilo.Front Runner wa kuchukua nafasi hiyo ni Waziri wa Ulinzi
Imefeli wapi ?....na kama imefeli mfumo upi umefaulu ?Democracy ni mfumo uliofeli..
Demokrasia imefaulu Vzr sana Kule Iraq,Libya, Syria wanaishi Vzr Sana sasa hivi,full amani kuliko kipindi Cha dikteta Ghadafi.Demokrasia ya Wamarekani oyeeeeImefeli wapi ?....na kama imefeli mfumo upi umefaulu ?
Yaani wewe mtu wa dunia ya 3 ujue hizo sababu alafu waingereza wenyewe wasizijue.aise hizi akili za hivi mnazitoa wapi.Usichokijua ni kwamba UK raia wengi sana wanavichukia vita vya Ukraine. Na msukumo mkubwa wa kuhamasisha vita hivi ulitokana na ushawishi wa Boris Johnson--bila kutaja unufaikaji mkubwa ambao amejipatia yeye binafsi.
Wasichotaka kukwambia Waingereza ni kwamba hawapendi Marekani na dunia ijue sababu halisi (kuitumbikiza UK katika vita proxy vya Ukraine na kupoteza fedha, mali, silaha, na uchumi kuporomoka)--kwa sababu wanaamini ikiwekwa public, ni sawa na kumpatia Putin ushindi wa mezani.
In short, Putin ndiye sababu kubwa ya kung'olewa kwa Boris Johnson. Mengine yaliyobaki ni nyongeza tu.
Mbona unatumia nguvu nyingi kumtetea? Au uligawana naye pesa za msaada wa Ukraine? Ukweli ni kwamba Russia amechangia kuondoshwa kwake 99.99% Mengine ni nyongeza tu.Kosa kubwa la Boris Johnson ni kumtetea WAZIRI wake aliyemshika makalio mwenzake.
Alitumia nguvu nyingi kumtetea, badae alipoona hali imekuwa mbaya baada ya kubanwa akakubali kuwa hakumfukuza huyo waziri japo alijua.
Democrats wakalibebea bango kuwa ni Kiongozi mwongo na hasiyeaminika. Wasaidizi wake zaidi ya 50 wakiwemo mawaziri wake wengi wakajiuzulu kupinga mfumo wake wa kiuongozi.
Jana asbh chama chake cha Conservative kikagawanyika, akaona isiwe tabu akabwaga manyanga. JAMANI SABABU SIO VITA VYA UKRAINE NA URUSI.
Sijue hata unaposema ^dunia ya 3^ na ^Waingereza,^ una maana gani. Poleni sana. Putin keshafanya yake.Yaani wewe mtu wa dunia ya 3 ujue hizo sababu alafu waingereza wenyewe wasizijue.aise hizi akili za hivi mnazitoa wapi.
Winter inapiga hodi Europe, kaa mkao wa kula wasipo badilika ktk kumwekea Russia sanctions kwenye gesi na mafuta, wengi watang'oka
Urusi wamemfanyia zengwe mpaka kamwagwa mavi bado Biden na Macron [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635][emoji635]
Urusi anachowafanyia nchi za Nato hawatokuja kusahau [emoji23][emoji23]