Usichokijua ni kwamba UK raia wengi sana wanavichukia vita vya Ukraine. Na msukumo mkubwa wa kuhamasisha vita hivi ulitokana na ushawishi wa Boris Johnson--bila kutaja unufaikaji mkubwa ambao amejipatia yeye binafsi.
Wasichotaka kukwambia Waingereza ni kwamba hawapendi Marekani na dunia ijue sababu halisi (kuitumbikiza UK katika vita proxy vya Ukraine na kupoteza fedha, mali, silaha, na uchumi kuporomoka)--kwa sababu wanaamini ikiwekwa public, ni sawa na kumpatia Putin ushindi wa mezani.
In short, Putin ndiye sababu kubwa ya kung'olewa kwa Boris Johnson. Mengine yaliyobaki ni nyongeza tu.