Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Uingereza: Waziri Mkuu Boris Johnson ajiuzulu rasmi

Boris Johnson aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ametangaza rasmi kujiuzulu

Bwana Johnson amesema alijaribu kuendelea kuwa madarakani na inamuuma kuona hataweza kumalizia mipango yake aliyojiwekea...
Hongera kwa utumishi wake seeikalini. Wenzetu issues ndogo gov inaanguka.
 
Nyie ujinga ndio unawasumbua kwa sababu ya itikadi ya kidini, sasa subiri uone kama waziri mkuu ajaye atageuka na kuiunga mkono Russia ndio utakubaliana na mimi kwamba nyie ni wajinga.
Dini hapo inaingiaje? Kwani wanaoshabikia NATO ni dini gani na wanaoshabikia Russia ni dini gani?

Uk kubaki kwenye msimamo wake hakuna tatizo ktk hilo. Kinachofurahisha hapa ni kwamba Johnson alikuwa big vuvuzela wa NATO, amechinjwa na amekufa kifo cha gafla sana
 
Wengi wanapenda siasa za Jiwe na Putin anamuakisi.
Hana uhodari wowote wananchi wakijaribu kuandamana ni vipigo kwenda mbele.

Wapinzani wake anawasilence kwa chemicals wafe sasa ana uhodari gani huyu? Anachojua ni annexation of others land. Ni mtu wa hovyo kuishi katika 21st Century alitakiwa aishi enzi za Berlin conference.
 
Foreign policy zinabaki vile vile regardless ya nani anashika hatamu elewa hilo. Ndo hizi nchi zinavyoendeshwa.

PMs wa UK toka Gordon Brown, David Cameron, Theresa May, na sasa Boris Johnson wanajiuzulu kila siku ni fashion tu nothing more to it.

Unamaanisha it doesn’t matter nani amekalia kiti?

Sasa wanachagua ili iweje?

Kwahiyo mfano kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran ilikua ni official foreign policy ya Marekani na sio kama palikua na influence ya Trump as a person?

Mbona kaingia huyo babu wanajadiliana kuurudia?

Haujui ama unajitia tu hamnazo?
 
Putin supported the initiative to equate the status of military personnel of the LPR and DPR with Russian

..which means, soldiers of the LPR and DPR will receive the same benefits as the „RAF“, including covering medical needs, rehabilitation etc.
 
Hata hivyo alichelewa sana kujiuzuru. Hadi karibu senior ministers wote wanamuacha jana bado aliendelea kung'ang'ania na kujaribu kuteua wengine. Nadhani ana roho nyingine isiyo ya Waingereza pure. Presuure aliyopata jana, alipaswa kujiuzuru jana ile ile - amekiharibu chama chake
Labda asili yake ya Uturuki.
 
Kosa kubwa la Boris Johnson ni kumtetea WAZIRI wake aliyemshika makalio mwenzake.

Alitumia nguvu nyingi kumtetea, badae alipoona hali imekuwa mbaya baada ya kubanwa akakubali kuwa hakumfukuza huyo waziri japo alijua.

Democrats wakalibebea bango kuwa ni Kiongozi mwongo na hasiyeaminika. Wasaidizi wake zaidi ya 50 wakiwemo mawaziri wake wengi wakajiuzulu kupinga mfumo wake wa kiuongozi.

Jana asbh chama chake cha Conservative kikagawanyika, akaona isiwe tabu akabwaga manyanga. JAMANI SABABU SIO VITA VYA UKRAINE NA URUSI.
 
Usichokijua ni kwamba UK raia wengi sana wanavichukia vita vya Ukraine. Na msukumo mkubwa wa kuhamasisha vita hivi ulitokana na ushawishi wa Boris Johnson--bila kutaja unufaikaji mkubwa ambao amejipatia yeye binafsi.

Wasichotaka kukwambia Waingereza ni kwamba hawapendi Marekani na dunia ijue sababu halisi (kuitumbikiza UK katika vita proxy vya Ukraine na kupoteza fedha, mali, silaha, na uchumi kuporomoka)--kwa sababu wanaamini ikiwekwa public, ni sawa na kumpatia Putin ushindi wa mezani.

In short, Putin ndiye sababu kubwa ya kung'olewa kwa Boris Johnson. Mengine yaliyobaki ni nyongeza tu.
Yaani wewe mtu wa dunia ya 3 ujue hizo sababu alafu waingereza wenyewe wasizijue.aise hizi akili za hivi mnazitoa wapi.
 
Kosa kubwa la Boris Johnson ni kumtetea WAZIRI wake aliyemshika makalio mwenzake.

Alitumia nguvu nyingi kumtetea, badae alipoona hali imekuwa mbaya baada ya kubanwa akakubali kuwa hakumfukuza huyo waziri japo alijua.

Democrats wakalibebea bango kuwa ni Kiongozi mwongo na hasiyeaminika. Wasaidizi wake zaidi ya 50 wakiwemo mawaziri wake wengi wakajiuzulu kupinga mfumo wake wa kiuongozi.

Jana asbh chama chake cha Conservative kikagawanyika, akaona isiwe tabu akabwaga manyanga. JAMANI SABABU SIO VITA VYA UKRAINE NA URUSI.
Mbona unatumia nguvu nyingi kumtetea? Au uligawana naye pesa za msaada wa Ukraine? Ukweli ni kwamba Russia amechangia kuondoshwa kwake 99.99% Mengine ni nyongeza tu.
 
Yaani wewe mtu wa dunia ya 3 ujue hizo sababu alafu waingereza wenyewe wasizijue.aise hizi akili za hivi mnazitoa wapi.
Sijue hata unaposema ^dunia ya 3^ na ^Waingereza,^ una maana gani. Poleni sana. Putin keshafanya yake.
 
Back
Top Bottom