superphoto
Member
- Aug 17, 2024
- 51
- 79
Kwanini aliamua kuingiza timu huku akiona hali ya hewa haiwezi.Urusi wasn't a match to a Germany Army hata kidogo..,bila ya US huyo Russia angeshalambishwa chini.
Climatic condition ndiyo ilikuwa shida na si vinginevyo..
Urus haipo kwenye vita inafanya oparation ya kuwaondoa wanazi ukraine. vita ipo israel na hamas..Ukrainians are doing it
Zamani, dunia ilikuwa imelala.Huna akil hivi unaijua UK wewe kwenye ulimwengu wavita
Na ilichukuliwa mbele ya meli yao ya kijeshi.Hata Iran ilipigwa mkwara wa kuvamiwa pale ilipoteka Tanker ya Uingereza mwaka 2019 kama sijakosea.
Ila je UK iliivamia Iran!?
Na hadi leo tanker haijarudi imepigwa bendera ya Iran.
Uko nyuma kidogo. Ilianza kuitwa operation baadaye ikabidi isemwe ni vita rasmiUrus haipo kwenye vita inafanya oparation ya kuwaondoa wanazi ukraine. vita ipo israel na hamas..
Mkuu nami nimejikuta nacheka kwa sauti namna ambavyo unaichukulia Uingereza poa!Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.
View attachment 3159183
βBritain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europeβ .
What a joke ππ
Mkuu bado wananyonya Haijuwi M16 NI MYAMA GANIWatoto wa mwaka 2000s hao,hawajui unyama wa Uingereza kwenye medani ya Vita na fitna.
Ulimwengu huu wasasa ndio umelala zaman ilikua no maneno, ukifanya fyoko watu wanavamia uanajeshi ilikua kaz yakifo sio saiv imekua ajiraZamani, dunia ilikuwa imelala.
Uingereza hana ubabe wa kumtisha yeyote kivita kwa sasa. Labda azitishe Tanzania na Kenya.Ulimwengu huu wasasa ndio umelala zaman ilikua no maneno, ukifanya fyoko watu wanavamia uanajeshi ilikua kaz yakifo sio saiv imekua ajira
huyo mtoto wa juz mkuuHuna akil hivi unaijua UK wewe kwenye ulimwengu wavita
πππHalafu yale machuma chuma ya Old Trafford yanakuwa makazi ya samaki maana yote lazima yatazamishwaπππππππππππ
Umeandika udoko,je turkey au ugiliki wanaweza kuitisha hata china?Vijana bana hivi hujui UK ilitawala karibu nusu ya dunia kwa karibu karne nzima?
Vijisiwa vidogo tu lkn hata Marekani, Canada na Australia waliziachia na kuzipa uhuru!
Hiyo potential haijaisha na vita ni pesa na strategies sio maombi na viapo
ugiliki ndio kitu gani?Umeandika udoko,je turkey au ugiliki wanaweza kuitisha hata china?
Ugiriki,ugiliki ndio kitu gani?
PUTIN alishasema kitambo " We have not started anything serious yet"Mimi kama Mrusi mweusi sina wasiwasi, jana Putin alisema kuna watu wana wasiwasi hawapaswi kuwa nao.
Na wasiwasi umenitoka baada ya chuma kimoja tu cha Oreshnik kudondoka dunia nzima imesimama, hawa watu walijiandaa vyema na wanachokifanya.
Ok so napimaje hisia za watu? Sembuse za nchi? Maswali mengine yanakosa mantiki, anyway ahsante kwa mchango wako! Ugiriki hii hii iliyataka kufilisika miaka michache iliyopita?Ugiriki,