Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Screenshot_2024-11-22-18-44-19-025_com.twitter.android-edit.jpg
 
Wewe hujui military history vizuri..
Urusi ilianza kuwa vizuri Militarily in a Post WWII lakini si kabla ya hapo..na hyo ni kwasababu mataifa ya Ulaya yalishaharibiwa vibaya kiuchumi kwahiyo yakawa na madeni makubwa,the same applies to US that was a creditor in a Post WWII kwahiyo ikaifanya US iwe na nguvu sana coz yenyewe na Urusi hazikuumia sana kwenye vita..
Soma Historia acha ushabiki maandazi
Urusi ana historia ya ubabe wa vita kabla hata ya ww2 ,,,hio ww2 ilileta hio USSR ila hata kabla ya hapo mrusi ulaya kawanyoosha sana wababe,,,,,,huyo Napoleon alikuwepo kabla ya WW2 na alitulizwa na mrusi.......hao UK ,Ufaransa na Mjerumani kwenye historia wamesumbuana wenyewe sana huko ulaya ila mara nyingi walipoelekea urusi walitulizwa,,,,na ndo maana hadi leo kwa Ulaya mrusi ndo anaonekana threat kubwa kwa wamagharibi kuliko nchi yeyote ile sababu wanaijua historia yake na watu wake wapoje
 
H
Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.

View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .

What a joke 😂😂
Hujui ulichokiandika, usiichukulie poa UK wewe.
 
Vita ya sasa imebase kwenye Technology zaidi

Hao machoko wanaweza wakakaa tu ofisini na laptops wakakuangamiza popote ulipo 🤣
Sasa kwenye technology hasa ya kivita muingereza anampitaje urusi............Urusi upande huo anavutana shati na mkubwa wa huyo UK,......
 
Hata mongolia imeshawahi kuitawala asia na baadhi ya nchi ulaya.

Ottoman empire imeshawahi kutawala eneo kubwa tu kibabe.

Hata roma imeshawahi kutawala dunia.

Acha kutuletea historia uingereza hana chochote cha kumfanya mrusi.

Kadiri unavyopigana vita ndivyo unavyozidi kuwa imara na madhubuti na unapata uzoefu mrusi ana uzoefu na vita.

Wabishi wote wa dunia mrusi kawanyonya kamasi kuanzia napolean bonaparte mpaka adolf hitler.
Mrusi ni mzoefu lakini vita mara zote mwenye nguvu anaangaliwa akiwa field yaani kwenye uwanja wa vita, kama ukrain amechukua miaka 3 sasa bila ya malengo yake kutimia unadhan mrusi atakuwa na nguvu kiasi kukabiliana na UK ilivyo mbichi today? na usiangalie UK kama uengereza UK ule ni muungano wa nchi kubwa tena zenye nguvu, Britain
 
Vijana bana hivi hujui UK ilitawala karibu nusu ya dunia kwa karibu karne nzima?

Vijisiwa vidogo tu lkn hata Marekani, Canada na Australia waliziachia na kuzipa uhuru!

Hiyo potential haijaisha na vita ni pesa na strategies sio maombi na viapo
Kwa Sasa hivi haiwezi kabisa, technology imekuwa sana kwenye nchi mbalimbali duniani. Russia ataimaliza dakika chache tu, kuzamisha kisiwa chote .
 
Mimi kama Mrusi mweusi sina wasiwasi, jana Putin alisema kuna watu wana wasiwasi hawapaswi kuwa nao.

Na wasiwasi umenitoka baada ya chuma kimoja tu cha Oreshnik kudondoka dunia nzima imesimama, hawa watu walijiandaa vyema na wanachokifanya.
Putin usimsikilize kwa maneno angalia udhaifu wake kwenye uwanja wa vita
 
Mrusi ni mzoefu lakini vita mara zote mwenye nguvu anaangaliwa akiwa field yaani kwenye uwanja wa vita, kama ukrain amechukua miaka 3 sasa bila ya malengo yake kutimia unadhan mrusi atakuwa na nguvu kiasi kukabiliana na UK ilivyo mbichi today? na usiangalie UK kama uengereza UK ule ni muungano wa nchi kubwa tena zenye nguvu, Britain
Ukraine, mrusi kafaidika sana kwa hio vita kuchukua muda mrefu kuliko ingechukua muda mfupi,,,,,kaua ndege wengi kwa jiwe 1,,kuanzia kiuchumi, kijeshi hadi kisiasa,, influence yake imekua kuliko kabla ya hio vita,,, huoni hata Netanyahu mwenyewe kwenye usuluhishi pale gaza imebidi amtafute Putin maana alishamuona babu Biden anapwaya
 
Putin usimsikilize kwa maneno angalia udhaifu wake kwenye uwanja wa vita
Udhaifu kabeba nchi na watu wamepiga kura hapo udhaifu uko wapi,, udhaifu angekua anapigana miaka yote hio na hakuna alichoambulia
 
Mrusi ni mzoefu lakini vita mara zote mwenye nguvu anaangaliwa akiwa field yaani kwenye uwanja wa vita, kama ukrain amechukua miaka 3 sasa bila ya malengo yake kutimia unadhan mrusi atakuwa na nguvu kiasi kukabiliana na UK ilivyo mbichi today? na usiangalie UK kama uengereza UK ule ni muungano wa nchi kubwa tena zenye nguvu, Britain
Russia anaweza kumaliza vita na Ukraine kwa siku chache kama atafanya kama USA na Israel wanavyofanya uko kwa wapalestina au USA na washirika wake NATO walivyofanya kwa Iraq,kuuwa mpaka sisimizi , bomoa majengo ovyo ovyo. Putin ana uwezo huo lakini ubinadamu wake umefanya vita ichukue muda mrefu. Israel pamoja na misaada ya silaha na pesa toka USA, UK, France, Italy na kwingineko ni mwaka Sasa kuchukua eneo dogo la Gaza sawa na Wilaya ndogo ya Kisarawe au Kisarawe ni kubwa.

Faida ya kuchukuwa muda mrefu:
1: kaangusha uchumi wa nchi za Ulaya kwa mpigo i.e German, France, UK etc.
2: Kuunganisha nchi za China, Iran na Russia kuwa nguvu kubwa za kijeshi
3: Testing ground ya silaha zake na kuwa na uhakika kamili.
4: Ameangusha soko la silaha za Ulaya na Marekani , soko la silaha zake limepanda sana kwa vile zimeonekana ziko superior.
5: Kaimalisha uchumi wake mpaka kufika nne bora duniani kwa GDP.
6: Dunia nzima imejua uchokozi wa USA na NATO kwenye nchi mbalimbali duniani especially nchi ndogo ndogo zisizo na uwezo wa kiuchumi na kijeshi.
7: Dolla ya Marekani inazidi kuanguka duniani.

Gaza Ina 365 square km 41 km× 9 km. Huu umbali unaweza kuuzunguka kwa saa moja kwa pikipiki au siku nzima kwa miguu kwa kutembea. Lakini Israel naasilaha yote na misaada ya USA ameshindwa kuiteka yote.
 

Attachments

  • Screenshot_20241123-192832.png
    Screenshot_20241123-192832.png
    491.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20241123-193504.png
    Screenshot_20241123-193504.png
    233.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241123-193816.png
    Screenshot_20241123-193816.png
    183.9 KB · Views: 3
Russia anaweza kumaliza vita na Ukraine kwa siku chache kama atafanya kama USA na Israel wanavyofanya uko kwa wapalestina au USA na washirika wake NATO walivyofanya kwa Iraq,kuuwa mpaka sisimizi , bomoa majengo ovyo ovyo. Putin ana uwezo huo lakini ubinadamu wake umefanya vita ichukue muda mrefu. Israel pamoja na misaada ya silaha na pesa to USA, UK, France, Italy na kwingineko ni mwaka Sasa kuhukuu neo dogo la Gaza sawa na Wilaya ndogo ya Kisarawe au Kisarawe ni kubwa.
Sasa kama ni hivyo kwa nini Putin amelazimika kukodi askari toka North Korea kumsaidia vita na kulazimika kutoa pipa zake za mafuta kwa mamilioni lakini pia pamoja na nafaka kama mchele in exchange na North Korea ili apate hao wanajeshi? au pia ni ubinaadamu wake ana uwezo kumaliza vita. sijui ni kwanini hufahamu uwezo wa russia kivita baada ya vita ya Ukraine hivi sasa, vitani ndio majibu nani ana nguvu nani ni mdomo mtupu
 
Kwa Sasa hivi haiwezi kabisa, technology imekuwa sana kwenye nchi mbalimbali duniani. Russia ataimaliza dakika chache tu, kuzamisha kisiwa chote .

Kwa akili yako kijana ni kwamba UK alikua kalala tu tangu karne iliyopita ni Russia tu ndo amekua na hiyo teknolojia? Unafikiri Britain anaweza kujaza maghala masilaha ya WW2 na WW1 kama mrusi? Hebu acheni kuongea kama mnamlilia gamond kule! Dunia ipo kwenye risk ya vita mbaya nyie mnaongea kama mpo kwenye vilabu vya pombe ya komoni hapa.

Zamu hii aggression anayoijenga ni kwamba ikiamka mtaisikia Russia kwenye historia hatakua kama USSR ilivyosabaratishwa kimyakimya, kama tutakuwa/mtakua hai.
 
Nimejikuta nacheka mno mpaka machozi baada ya kusoma kauli ya UK Deputy Chief of Defence Staff Rob Magowan isemayo
"Uingereza ipo tiyari kuingia vitani na Urusi usiku wa leo endapo kama Russia itaivamia Ulaya Mashariki.

View attachment 3159183
“Britain is ready to engage Russia tonight if Russian troops invade Eastern Europe” .

What a joke 😂😂
Muingereza ni siasa tu ndio anatisha duniani. Kuhusu vita hana nguvu ya kupigana na Mrusi hata siku moja.
 
KATIKA MEDANI YA VITA NANI MSHINDI KATI YA UINGEREZA NA RUSSIA?
(Majibu ya ChatGPT)

Matokeo ya vita kati ya Uingereza na Urusi yangetegemea muktadha, sababu za vita, nguvu za kijeshi, muungano wa washirika, na teknolojia inayopatikana. Katika historia, Uingereza na Urusi zimekabiliana mara chache, hasa wakati wa Vita ya Crimea (1853-1856), ambapo Uingereza, Ufaransa, na Uturuki walishirikiana dhidi ya Urusi na kuishinda.

Hata hivyo, katika nyakati za kisasa, vita vya moja kwa moja kati ya mataifa haya mawili havijawahi kushuhudiwa, hasa kutokana na uwepo wa silaha za nyuklia, ambazo zinahamasisha diplomasia badala ya vita. Matokeo halisi yangeamuliwa na hali ya kisiasa, mkakati wa kijeshi, na rasilimali zinazopatikana.

Katika nyanja nyingine kama kiuchumi na ushawishi wa kimataifa, Uingereza na Urusi zina nguvu tofauti kulingana na sekta wanazotegemea.
 
PUMBA. Hapa hatuongelei mambo ya miaka 100 iliyopita. Miaka hiyo ata Israel alikuwa anatumia siku moja kfika Beirut baada yakuvuka boda ya Lebanon. Lakini sasa hivi miezi 2 wame stuck hapo boda. Acheni kukariri
Mnaongelea miaka ipi ambayo Uingereza imeshindwa vita?
 
Back
Top Bottom