Are u serious ndugu? jifunze kuchuja propaganda na ukweliUlimwengu wa sasa ni teknolojia tu.
Mbwembwe za Iran zote zimeisha baada ya kuharibiwa eneo lake alilokuwa akilitegemea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are u serious ndugu? jifunze kuchuja propaganda na ukweliUlimwengu wa sasa ni teknolojia tu.
Mbwembwe za Iran zote zimeisha baada ya kuharibiwa eneo lake alilokuwa akilitegemea.
Falkand pale Argentina tu iliitoa jashoVijana bana hivi hujui UK ilitawala karibu nusu ya dunia kwa karibu karne nzima?
Vijisiwa vidogo tu lkn hata Marekani, Canada na Australia waliziachia na kuzipa uhuru!
Hiyo potential haijaisha na vita ni pesa na strategies sio maombi na viapo
Nilitaka kukwambia uyo, ulaya nzima kungekua na nchi yenye ubavu wa kusimama na Russia vitani hata mwaka tu ,hii NATO mpaka sasa isingekuwepo.Acheni ujinga. Sasahivi wamejikusanya wote nchi zaidi ya 30 na bado wanambwilambwila ndio aje aweze Uk pakeyake? Hivi mnatumia nini kufikiri? Mavi au?
Ebu tuwekee ukweli hapa tuweze kufahamu.Are u serious ndugu? jifunze kuchuja propaganda na ukweli
Nilitaka kukwambia uyo, ulaya nzima kungekua na nchi yenye ubavu wa kusimama na Russia vitani hata mwaka tu ,hii NATO mpaka sasa isingekuwepo.
Ok so napimaje hisia za watu? Sembuse za nchi? Maswali mengine yanakosa mantiki, anyway ahsante kwa mchango wako! Ugiriki hii hii iliyataka kufilisika miaka michache iliyopit
Kumbe we kichwani mweupe Ivo? Sasa umejiona ulivyo jidharirisha kipuuzi Ivo? Ugiriki kihistoria yupoje?Ok so napimaje hisia za watu? Sembuse za nchi? Maswali mengine yanakosa mantiki, anyway ahsante kwa mchango wako! Ugiriki hii hii iliyataka kufilisika miaka michache iliyopita?
Sawa we mweusi kichwani, kila ntu abaki na rangi ya kichwa chake, mambo yasiwe mengi sana. Kujidharirisha ndio uchafu gani?Kumbe we kichwani mweupe Ivo? Sasa umejiona ulivyo jidharirisha kipuuzi Ivo? Ugiriki kihistoria yupoje?
Ugiriki kihistoria yupoje?Sawa we mweusi kichwani, kila ntu abaki na rangi ya kichwa chake, mambo yasiwe mengi sana. Kujidharirisha ndio uchafu gani?
Kwanin mpaka Leo NATO inatafuta washilika? We unajua kwa Nini NATO iliundwa? Ebu Tuanzie hapo kwanzaUshamaliza madrassa?
UK hawezi kusimama na RUSSIA one on one.The only country inayoweza kusimama na RUSSIA ni USA.Even China is still few years behind these two countries.Tuongee uhalisia wa mambo bila mihemko.Kabla ya vita ya Ukraine,NATO wlihakikisha wanaijenge UKRAINE iwe na jeshi kubwa na bora,kiuhalisia kabla ya vita UKRAINE ilikuwa ni jeshi la 4 kwa ubora katika ulaya,nyuma ya UK,Italy and France.Angalia pamoja na ubora wake na misaada yote ya nchi 35 wa hali na mali, na bado UKRAINE is losing the battle in real time.Acheni mawazo ya kuokota Vijiweni . UK wanauwezo mkubwa sana kijeshi , kiuchumi na Kiutamaduni-lugha
Kamasi la NYOKO 🤣🤣Urusi hii inayotolewa kamasi na Ukraine?
Ndio hapo sasa.Na ilichukuliwa mbele ya meli yao ya kijeshi.
USA Kwa sasa hana uwezo wa kusimama 1 v 1 na Russia.UK hawezi kusimama na RUSSIA one on one.The only country inayoweza kusimama na RUSSIA ni USA.Even China is still few years behind these two countries.Tuongee uhalisia wa mambo bila mihemko.Kabla ya vita ya Ukraine,NATO wlihakikisha wanaijenge UKRAINE iwe na jeshi kubwa na bora,kiuhalisia kabla ya vita UKRAINE ilikuwa ni jeshi la 4 kwa ubora katika ulaya,nyuma ya UK,Italy and France.Angalia pamoja na ubora wake na misaada yote ya nchi 35 wa hali na mali, na bado UKRAINE is losing the battle in real time.
![]()
10 Europe's Strongest Military Forces in 2024, Nations Best Defense
List of the strongest military forces in Europe. Discover the nations' best troops and defense that protect these countries.en.tempo.co
China bado miaka kadhaa kufika level za RUSSIA na USAUSA Kwa sasa hana uwezo wa kusimama 1 v 1 na Russia.
China ione hivyo hivyo ila ni taifa hatari kuliko USA na Russia kivita.
USA amewahi kum confront China Korea aliipata tabu yake.
China aliwahi kum confront Russia India aliipata pia habari yake.
Msiichukulie China nyepesi mkuu.
China ni cold poison mkuu ione vile vile.China bado miaka kadhaa kufika level za RUSSIA na USA
Sasa Russia anafanya nini Ukrain Mwaka wa nne unaenda😁😆UK hawezi kusimama na RUSSIA one on one.The only country inayoweza kusimama na RUSSIA ni USA.Even China is still few years behind these two countries.Tuongee uhalisia wa mambo bila mihemko.Kabla ya vita ya Ukraine,NATO wlihakikisha wanaijenge UKRAINE iwe na jeshi kubwa na bora,kiuhalisia kabla ya vita UKRAINE ilikuwa ni jeshi la 4 kwa ubora katika ulaya,nyuma ya UK,Italy and France.Angalia pamoja na ubora wake na misaada yote ya nchi 35 wa hali na mali, na bado UKRAINE is losing the battle in real time.
![]()
10 Europe's Strongest Military Forces in 2024, Nations Best Defense
List of the strongest military forces in Europe. Discover the nations' best troops and defense that protect these countries.en.tempo.co
Mkubwa mwenzangu unakumbuka vita ya visiwa vya Falkslands miaka ya 1980s? Waingereza walihenyeshwa na Argentina muda wa kutosha tu.Huna akil hivi unaijua UK wewe kwenye ulimwengu wavita