Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

Vijana bana hivi hujui UK ilitawala karibu nusu ya dunia kwa karibu karne nzima?

Vijisiwa vidogo tu lkn hata Marekani, Canada na Australia waliziachia na kuzipa uhuru!

Hiyo potential haijaisha na vita ni pesa na strategies sio maombi na viapo
Falkand pale Argentina tu iliitoa jasho
 
Ok so napimaje hisia za watu? Sembuse za nchi? Maswali mengine yanakosa mantiki, anyway ahsante kwa mchango wako! Ugiriki hii hii iliyataka kufilisika miaka michache iliyopit

Ok so napimaje hisia za watu? Sembuse za nchi? Maswali mengine yanakosa mantiki, anyway ahsante kwa mchango wako! Ugiriki hii hii iliyataka kufilisika miaka michache iliyopita?
Kumbe we kichwani mweupe Ivo? Sasa umejiona ulivyo jidharirisha kipuuzi Ivo? Ugiriki kihistoria yupoje?
 
Acheni mawazo ya kuokota Vijiweni . UK wanauwezo mkubwa sana kijeshi , kiuchumi na Kiutamaduni-lugha
UK hawezi kusimama na RUSSIA one on one.The only country inayoweza kusimama na RUSSIA ni USA.Even China is still few years behind these two countries.Tuongee uhalisia wa mambo bila mihemko.Kabla ya vita ya Ukraine,NATO wlihakikisha wanaijenge UKRAINE iwe na jeshi kubwa na bora,kiuhalisia kabla ya vita UKRAINE ilikuwa ni jeshi la 4 kwa ubora katika ulaya,nyuma ya UK,Italy and France.Angalia pamoja na ubora wake na misaada yote ya nchi 35 wa hali na mali, na bado UKRAINE is losing the battle in real time.
 
UK hawezi kusimama na RUSSIA one on one.The only country inayoweza kusimama na RUSSIA ni USA.Even China is still few years behind these two countries.Tuongee uhalisia wa mambo bila mihemko.Kabla ya vita ya Ukraine,NATO wlihakikisha wanaijenge UKRAINE iwe na jeshi kubwa na bora,kiuhalisia kabla ya vita UKRAINE ilikuwa ni jeshi la 4 kwa ubora katika ulaya,nyuma ya UK,Italy and France.Angalia pamoja na ubora wake na misaada yote ya nchi 35 wa hali na mali, na bado UKRAINE is losing the battle in real time.
USA Kwa sasa hana uwezo wa kusimama 1 v 1 na Russia.
China ione hivyo hivyo ila ni taifa hatari kuliko USA na Russia kivita.
USA amewahi kum confront China Korea aliipata tabu yake.
China aliwahi kum confront Russia India aliipata pia habari yake.
Msiichukulie China nyepesi mkuu.
 
Likija suala la vita uso kwa uso itakuwa ngumu sana kwa UK
Lakini uingereza ndio kinara wa NATO kwa hiyo lolote lile lazima watangia vitani pamoja
Wote Russia na 🇬🇧 wana cyber capability na hybrid pia
Sasa hapa inategemea na nguvu ya siasa na wananchi pia
Kwa mataifa madogo tunaisapoti ila likija suala la Putin kwa kweli ni shida kidogo
Geographically 🇬🇧 ni kisiwa yaani tutamwagiwa mvua za kutosha hapa yaani tujiandae kama ni hydrogen bomb au nuclear bomb yaani mpaka generation 4 tutazaana vilema na cancer za kila aina na pia watoto kufa wengine wakiwa bado wadogo

Msiombe vita jamani hapa kuna watu matumbo moto
Russia ana nguvu sana na ardhi yake kubwa ni advantage sana anaweza kuwa silaha za maangamizi kila sehemu iwe majini, kwenye meli zake kama wao na pia chini ya ardhi
Sijui tujikingaje na sumu ni suala la mda tu
Huku home mtakohoa kohoa tu ila cancer nanyi inawahusu
 
USA Kwa sasa hana uwezo wa kusimama 1 v 1 na Russia.
China ione hivyo hivyo ila ni taifa hatari kuliko USA na Russia kivita.
USA amewahi kum confront China Korea aliipata tabu yake.
China aliwahi kum confront Russia India aliipata pia habari yake.
Msiichukulie China nyepesi mkuu.
China bado miaka kadhaa kufika level za RUSSIA na USA
 
Uk ya Sasa inaweza kuchakazwa na jeshi la Tanzania Kwa muda wa siku Moja tu
 
China bado miaka kadhaa kufika level za RUSSIA na USA
China ni cold poison mkuu ione vile vile.
China imesha surpass hayo mataifa mawili sema China ni taifa lililojikita kibiashara haliendekezi vita.
Nenda kaone kufuru anayofanya kule South China sea aisee.
 
UK hawezi kusimama na RUSSIA one on one.The only country inayoweza kusimama na RUSSIA ni USA.Even China is still few years behind these two countries.Tuongee uhalisia wa mambo bila mihemko.Kabla ya vita ya Ukraine,NATO wlihakikisha wanaijenge UKRAINE iwe na jeshi kubwa na bora,kiuhalisia kabla ya vita UKRAINE ilikuwa ni jeshi la 4 kwa ubora katika ulaya,nyuma ya UK,Italy and France.Angalia pamoja na ubora wake na misaada yote ya nchi 35 wa hali na mali, na bado UKRAINE is losing the battle in real time.
Sasa Russia anafanya nini Ukrain Mwaka wa nne unaenda😁😆
 
Back
Top Bottom