Zama mpya ndio hizi?Alitawala zama za giza.
Sasa unaleta utani kwenye jambo serious.Hahah Australia wameita mpk army reserve kuja kupambana na moto hao wanajeshi wa kupigana na Iran itawatoa wapi,hahah.
Canada imebidi ijaribu kuwasaidia Australia kuzima huo moto maana la sivyo wataisha.
Hao wakizingua unapiga kombora moja tu kwny misitu yao moto unaendelea kwa kasi unawaacha wanazima moto tu hahah.
dodge
Afu, Mohamed Salah ghafla anastaafu Mpira kuwaunga mkono Irani uwanja wa mapambano[emoji23]Watani zangu Liverpool mna mkosi ...
Uingereza anasogeza pua Vita na iran,.... Iran anaangusha Bomu pale London na EPL inasimamishwa huku Liverpool akilikosa Kombe kale ...
Ligi itarudiwa mwakani ...
Hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Afu, Mohamed Salah ghafla anastaafu Mpira kuwaunga mkono Irani uwanja wa mapambano[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nchi elimu iko shallow Sana ... Huyo Jamaa walau angekuwa serious kwenye Geography ya Form II asingekuwa hajui hayo unayomuuliza...Sasa unaleta utani kwenye jambo serious.
Nimekuuliza una elimu ya mioto ya kiangazi au mioto ya asili?
Tuseme tu WWIV haipo..Albert Einstein alijisemea kama ikitokea vita ya 3 hajui itapiganwa na nini,ila vita ya 4 ya dunia itapiganwa kwa fimbo na mawe. Unajua kwa nini?Kwa sababu techlogy imeendelea mno. Watu wana silaha za kuteketeza dunia nzima in minutes. Hivyo vita ya tatu itairudsha dunia tu zero.
US kapigwa na nanSasa wewe kama bwana wake US keshakula kichapo sasa unashangaa nini kupigwa huyo mesenge uk?
Yap.Tuseme tu WWIV haipo..
Subiri kitakacho mpata huyo anayedhania ndefu sinamsaidia (ina maasai voice)Uingereza bwana, yaani alipolipuliwa Qassim Soleimani na Marekani hawakuona wala hawakulaani ila Iran wanapojibu mapigo unalaani!!!
Kwa nn Iran na Zimbabwe wawekewe vikwazo na si bongoAliwakosea nini?
ππππππWanalo tena a very strong one Jeshi linalowamudu wavuta bange liogope sana.
Na kila mwana nzengo kule ni mwanajeshi
mkuu kwa kiswahili kama hutojaliBREAKING: Iraq pro-Iran factions say it's now their turn for an 'Iraqi response' to the US - and will be 'no less than the size of the Iranian response.' More soon: Breaking News, World News and Video from Al Jazeera Al Jazeera English on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Iran anaweza kumfanya nini Mama?
Atapigwa na watoto tu Canada, Australia, Jamaica na wengine watamfanya hamna
Hamna chochote hotuba Trump kashamaliza karma Starla vikwazo MA kuwalaum NATO kwanini hawaingiliiBREAKING: Iranian official tells state television that his country can hit a hundred other American targets if the Trump Administration retaliates
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajamgusa kunako.