Uingereza yasema kipigo kutokea Israel ni suala muda tu

Tayari miji saba ya Iran imepokea kipigo cha haraka haraka usiku usiku kutoka kwa mazayuni.
Israel hapendi kucheka cheka na kima ya kiarabu.
 
Wanamini Mungu yupo nyuma Yao au wanaamini Marekani na Uingereza wapo nyuma?

Zile drone 300 kama sio Uingereza kuwasaidia zingetua zote pale TelAviv si ingekuwa balaa

Sasa vile ni vidrone vya bei rahisi na uwezo wake ni mdogo ngoja arushiwe zile ambazo hazionekani na rada yoyote
 

Kwa mwendo huu wala haipo haja ya kumrushia lolote:

 
zinamfano wa upepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…