Hakika...!!!!Na wajinga ndiyo hao mitaji ya hiyo biashara ya silaha,
LNG miradi inakuza nchi zao, na wenyeji waliokuwa ndugu zao ndiyo wanaopata dhahana, wageni ni wachache SANA, watoto na mama zao kuingizwa kwenye utumwa wa kivita na kingono.
Dalali anaishi Dubai 7* mpiganaji anaishi huko msituni mapangoni, ujinga.
Everyday is Saturday............................... 😎
Mwanangu kumbe waishi kikambala?Alikuwa jirani yangu huyo jomba, hata hungedhania, kumbe wee moto hataree 😂 😂 😂
Na kwa nini magaidi wawe ni watu wa dini moja tu kila siku?????Kila kwenye mafuta na gesi Africa lazima kuwe na uwasi hata Tz tungecheza kidogo yangetukuta najiuliza makomando watatu wakaokoe mtu mmoja kwenye kundi la waasi ambao wameshikilia miji na mitaa msumbujii kama sio wao wenyewe kwenda kutoa mafunzo kwa magaid na ushaambiwa wao ni walimu wa" bush welfare"pia cha ajabu kampuni Total bado inafunga mitambo yake bila shida yn utaniutani msumbujii ndio bc tn
Kikao kimeshakaa msumbiji cha sadc na Tanzania tuliwakilishwa na Hussein Mwinyi. Mambo mengine ya kukusanya taarifa na kuchagua vikosi hayo ni mambo ya siri. Tutaona matokeo tu..Nadhani bado SADC haijaweza kuunda kikosi maalum cha hizo operations.
Hata hivyo jukumu hilo ni la AU.
Bila shaka utakuwa na tabia za James mtamuHawa ni dini moja na madam president, hawezi kuamuru jeshi letu liwashughulikie. Watapewa msaada waendeleze harakati zao.
Sio mzima huyoBila shaka utakuwa na tabia za James mtamu
Mtp sahiMwanangu kumbe waishi kikambala?
Safi sana, kumbe sisi ni majirani. Naishi shanzu mimi.Mtp sahi
Oh, hapo karibu tu. SafiSafi sana, kumbe sisi ni majirani. Naishi shanzu mimi.
[emoji3][emoji3][emoji3]Hawa wavaa vipedo pusha si wa kuwadekeza, mkiwadekeza matokeo yake ndio haya.
Hao makomando watatu wako vizuri kiasi Cha kukwepa risasi?
[emoji3][emoji3][emoji3]Hawa vibaka wanamjua Sirro Ni mtu wa namna gani. Aliwaminya pu...mb hawatakaa wasahau
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jf raha sanaKwa Waingereza Kutangaza Kwao tu hivi ( huku ) huyo Raia wao wanayeenda Kumkomboa kutoka kwa hao Magaidi wa ISIS huko Msumbiji wakimpata akiwa Hai ( hajafa ) naogolea Baharini chini kwa chini tu ( kwa Kuzamia ) kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar na kurejea Dar es Salaam tena.