Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

makomandoo watatu mpaka nimejikuta nacheka. asset tatu sawa na matrafiki 312 wa TZ. komandoo mmoja full equipd 62 mil tSH. jumlisha training sio watu hao ni mashine. makomandoo wetu tuache kuwavunjisha matofali na mafimbo. wao sio wanamazingaumbwe.
Yule mmoja wa SAS aliingia peke yake huko Dusit 2, sembuse hawa watatu. Alafu sio watatu, media inatumika kuzingua waasi, hiyo lazma wako team kama mbili au tatu hivi. Na usisahau baharini bado wamejiseti. Kuna watu watalizwa humo! 🤣
 
SAS maana yake ni Special Air Service huja kwa ndege maalum wakadondoshwa mahala wakiachwa wakatekeleze kazi.

Kazi zao ni pamoja na kupambana ugaidi, magaidi pamoja na uokozi wa mateka.

Shughuli zao huwa ni siri au "classified" na wakiingia kazini wanakuwa wamepewa "go ahead" na serikali ya Uingereza na wizara ya ulinzi wa nchi hiyo.

SAS wana idara nyingi na huenda idara maalum ya majini yaani Boat Troops ambayo hutumia mitumbwi na ile ya kujaza upepo pamoja na uzamiaji na uibukaji pembezoni mwa bahati ndo walotumwa kwa kazi hiyo.
SAS(special air service)
SBS(special boat service)

Vyote ni vikundi vya SF vya Uingereza, na kazi zao zinautofauti kidogo sana lakini training na selection yao ni sawa. Not for the faint hearted, wanakwambia, sio kila jeshi anafaulu selection course ya vikundi hivi. Na wanaofaulu na kuhitimu ndio wale viumbe unaweza dhani ka progamiwa kiaina, yaani wako almost to perfection quality of SF
 
Nashangaa sana Jeshi la msumbiji ,yaani wanashindwa kuwamaliza hao "WAVUTA BANGI wanaojiita ISIS"? Yaani wanaingia kwako na kufanya mauaji na wao wapo tu kambini wanakula mikate yenye siagi na chai ya maziwa? Hao ni Operation ya Week tu unawakamata na kuwakaanga kwenye concentrated Sulphuric acid.
😂 😂 😂 Hawa wanahitaji wasaidiwe na 'MOAB' moja tu kutoka USA. Kazi laini tu, ni vile siku hizi sheria kibao lakini kazi laini hiyo kwa mzungu.
 
Misitu wanayo mkuu huko ndiko hujifunzwa.

Kuna aina tatu za vita ya ardhini kuna vita ya msituni "Bush Warfare", vita ya mjini au "urban Warfare"na vita ya mwenye silaha nzito dhidi ya kikundi kidogo chenye silaha hafifu yaani "asymmetrical warfare", ambacho hufanya mashambulizi ya kushtukiza.

Hivy hawa wamepelekwa kwa hiyo aina ya tatu ya vita ya "asymetrical warfare"
Safi sana mkuu. Huyo jamaa anadai England hakuna misitu, kwani kumekuwa Uarabuni? 😂 😂 😂
 
Ufaransa walipeleka makomandoo saba kwa Al Shabab kuokoa raia wao,wakafa 4,watatu wakasalimika na hawakuokoa raia wao.
U.S walipeleka kwa siri sana makomandoo watatu Afghanstan kumkamata kiongozi mmoja wa Taleban,wakafa wawili mmoja akapona kwa kufichwa na raia wa Afghanstan.
Haya embu nambie bwashee izo kazi za comando watakazo fanya ao watatu kuokoa raia wao uko Msumbiji?
Unakumbuka captain Phillips Ile movie, true story. Pahali popote mzungu atapatikana na shida inje ya nchi yao, atafuatwa liwe liwalo bora mtu arudi nyumbani. Kufariki huwa bahati mbaya na tena inajulikana hiyo kunaezatokea chochote ndio maana wanapelekwa ni Best SF, wenye uzoefu. Jeshi akifariki, hapo ndipo kazi yake inapoisha, lakini raia anafaa arudi mzima.
 
SAS huwa Wana operate wakiwa watatu mission zote wanazofanya.
4-5 members per squadron, each one with a specified skill beside the military capabilities ie coms guy, commander, medic, engineer etc Lakini wote hatari yao kwa vita ni sawa
 
Kivipi Mkuu? Hao wahuni hawazidi hata 100,complexity yake inakuwaje? Hizo ni propaganda tu kwamba ni biashara ya silaha,mbona huku kwetu walimalizwa? Kwenye maswala ya usalama wa nchi hautakiwi kucheka na KIMA maana utavuna mabua,ni operation ya kukamata na kuwaunguza na acid tu.

Hao wahuni zaidi ya Ak47/SMG hawana silaha za kutisha zaidi ya hizo,sasa majeshi yana kila aina ya silaha wanashindwaje kuwadaka hao wahuni ambao wameingia phyisically nchi mwako? Wakipiga Operation ya wiki mpaka kwa mpaka nyumba kwa nyumba na wakazunguka mji wote sehemu zote za kutokea lazima wawakamate.
Yote hii inaanza na kitu kiitwacho usaliti ndani ya jeshi. Humohumo jeshini kuna wanajeshi wenyekofia mbili moja ya uana jeshi na ya pili uasi. Kazi yao kuvujisha siri ya kila linalopangwa jeshini.
 
Nashangaa sana Jeshi la msumbiji ,yaani wanashindwa kuwamaliza hao "WAVUTA BANGI wanaojiita ISIS"? Yaani wanaingia kwako na kufanya mauaji na wao wapo tu kambini wanakula mikate yenye siagi na chai ya maziwa? Hao ni Operation ya Week tu unawakamata na kuwakaanga kwenye concentrated Sulphuric acid.
Sema mkuu hawa watu walio jazwa imani za kipuuzi kupambana nao ni shida sana maana hua wanaua raia wasio na hatia nilikua naangalia documentary vice news.Hawa sio wakuwachekea km ukiwakamata nikumtandika hasa mpaka ataje washenzi wenzake wako wapi.
 
Back
Top Bottom