Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Kufuta ao jamaa ni mpaka kuomba msaada kwa mataifa makubwa,na kama pesa huna achia gepu kwenye rasilimali zako mafuta,gesi n,k.
Mataifa makubwa yakianza kazi fasta tu utasikia magaidi wamesambaratishwa na wengine wametoroka.
Deal done.
Dunia inamikakati ya siri mingi mno.
 
Ndo maana nikisikia mtu anawatetea wale mashehe wa uamsho namuona hamnazo! Hawa kenge walianzaga kidogo kidogo ka wale wa kibiti. Dawa ya hawa vigagula ni kuwamwagia njugu bila huruma tangu wanapoanza chokochoko! Ukiwalea ndo madhara yake kama hayo!

Binafsi wakiingia huku nilipo najitoa muhanga kabisa, nipewe Rocket Launcher na AK 47 yangu nikawamiminie maharage...kenge kabisa!
 
Kufuta ao jamaa ni mpaka kuomba msaada kwa mataifa makubwa,na kama pesa huna achia gepu kwenye rasilimali zako mafuta,gesi n,k.
Mataifa makubwa yakianza kazi fasta tu utasikia magaidi wamesambaratishwa na wengine wametoroka.
Deal done.
Dunia inamikakati ya siri mingi mno.
Kwenye hii "mission" wamo askari wa kukodi wa kikosi maalum kutoka Afrika Kusini, Ureno nao wameingia jana kuja kuongeza nguvu na vikosi maalum vya Msumbiji.

Ila waingereza ndo waongoza operesheni kwa kutumia ujuzi wao.

Ni operesheni kubwa na wameamua kuwavaa hawa madogo machizi.
 
Hao wahuni wanalelewa na wazungu! Lengo lao mbegu waliyoipanda pale cado Delgado imee vyema isambae mataifa yote ya Afrika Mashariki na majirani zake.

Bandari waliyoteka pale karibu kabisa na Mtwara ni ili iwe rahisi kuwaletea magaidi silaha nzitonzito kupitia njia ya maji
 
Wafahamu kazi mahsusi za komandoo ni zipi akiwa vitani?
Ufaransa walipeleka makomandoo saba kwa Al Shabab kuokoa raia wao,wakafa 4,watatu wakasalimika na hawakuokoa raia wao.
U.S walipeleka kwa siri sana makomandoo watatu Afghanstan kumkamata kiongozi mmoja wa Taleban,wakafa wawili mmoja akapona kwa kufichwa na raia wa Afghanstan.
Haya embu nambie bwashee izo kazi za comando watakazo fanya ao watatu kuokoa raia wao uko Msumbiji?
 
Sijaona sehemu katika hii Africa, ambapo mfaransa ameenda kisha pasitokee machafuko..... Mfaransa ni mfitini na kila anapoondoka anaacha laaana ya vita au ugomvi! Mfaransa ni wa kumtafakari sana kufanya nae ushirikiano wa aina yoyote ile....
Mkuu mbona unanifanya niwaze Sana bomba la mafuta la kutoka HOIMA +0756 kwenda CHONGOLEANI +0755 linajengwa na kampuni ya kifaransa ya TOTAL kumbuka na sisi tuna gesi kule kisini Kama songosongo msimbati isije ikawa n target TU ya kumonopolize hizo resources kwa kigezo cha kujrnga urafk kupitia bomba la mafuta

Dah ulimwengu una Siri nzito Sana
 
Hao wahuni wanalelewa na wazungu! Lengo lao mbegu waliyoipanda pale cado Delgado imee vyema isambae mataifa yote ya Afrika Mashariki na majirani zake.

Bandari waliyoteka pale karibu kabisa na Mtwara ni ili iwe rahisi kuwaletea magaidi silaha nzitonzito kupitia njia ya maji
Nilileta mada humu (Jukwaa la Intel) mwishoni mwa mwaka jana nilitoa maoni kwa majasusi wa kitanzania kuhusiana na haya mavitu ya huko Gabo Delgado.

Ila Mods wanaihamishia ndani ya mada ingine kwa sababu zao.
 
Kwenye hii "mission" wamo askari wa kukodi wa kikosi maalum kutoka Afrika Kusini, Ureno nao wameingia jana kuja kuongeza nguvu na vikosi maalum vya Msumbiji.

Ila waingereza ndo waongoza operesheni kwa kutumia ujuzi wao.

Ni operesheni kubwa na wameamua kuwavaa hawa madogo machizi.
Hapo sasa umenipa faraja kwakweli.
Awa jamaa ikibidi hata Air strike itumike. maana wakijitanua zaidi Tanzania hatuko salama.
 
Ufaransa walipeleka makomandoo saba kwa Al Shabab kuokoa raia wao,wakafa 4,watatu wakasalimika na hawakuokoa raia wao.
U.S walipeleka kwa siri sana makomandoo watatu Afghanstan kumkamata kiongozi mmoja wa Taleban,wakafa wawili mmoja akapona kwa kufichwa na raia wa Afghanstan.
Haya embu nambie bwashee izo kazi za comando watakazo fanya ao watatu kuokoa raia wao uko Msumbiji?
Moja ya kazi ya komandoo ni kusafisha njia, kufanya survey na upembuzi yakinifu kuhusiana na taarifa za maadui walopewa na jeshi la Msumbiji na ramani za drones za wamarekani.

Kazi ingine ni kuelekeza na kuongoza operesheni.

Hivyo hawa wanawategemea sana wenyeji katika eneo husika yaani wanajeshi wa jeshi la Msumbiji ambao wanalonga kireno.

Hivyo hawaendi kwa fujo hufuata misingi ya vita ya kitaa mpaka watakapofahamu alipo mateka.

Baada ya hapo ni vifo au salama kwa yoyote.
 
Moja ya kazi ya komandoo ni kusafisha njia, kufanya survey na upembuzi yakinifu kuhusiana na taarifa za maadui walopewa na jeshi la Msumbiji na ramani za drones za wamarekani.

Kazi ingine ni kuelekeza na kuongoza operesheni.

Hivyo hawa wanawategemea sana wenyeji katika eneo husika yaani wanajeshi wa jeshi la Msumbiji amao wanalonga kireno.

Hivyo hawaendi kwa fujo hufuata misingi ya vita ya kitaa mpaka watakapofahamu alipo mateka.

Baada ya hapo ni vifo au salama kwa yoyote.
Kwa jinsi ulivyonielewesha basi hao watatu ni wengi na wanatosha sana tu.
 
Ninaanza kuhisi huenda wazungu (wazungu hasa wale wanaotoka kwenye nchi zilizoendelea) wanao kuja huku Africa huenda wanafungiwa vifaa fulani vinavyo onesha location; nasema ninahisi/ninafikiria hivyo so huenda hao Waingereza, wanamuona jamaa yao mahali alipo
Si hata Mwamedi Deuji alifungwa hicho kipochi manyoya
 
Ndo maana nikisikia mtu anawatetea wale mashehe wa uamsho namuona hamnazo! Hawa kenge walianzaga kidogo kidogo ka wale wa kibiti. Dawa ya hawa vigagula ni kuwamwagia njugu bila huruma tangu wanapoanza chokochoko! Ukiwalea ndo madhara yake kama hayo!

Binafsi wakiingia huku nilipo najitoa muhanga kabisa, nipewe Rocket Launcher na AK 47 yangu nikawamiminie maharage...kenge kabisa!
Tundu Lissu anataka waachiwe..
 
Rogo alikuwa anapanda mbegu mbaya naishauri nchi yetu kufuatilia wale wote waliokuwa wanaenda mombasa kukutana na Rogo kwa kigezo cha dini wahojiwe vizur
Abdul Rogo was very very dangerous in playing mind games & twisting peoples minds, especially youths. Unfortunatelly KNY have a very tough stand in fighting and combating unlawful religious extremism; gangs; looters and the likes as shown in this video.
 
Yani kumbe hao waasi wanauwa watu maeneo hayohayo na kazi za uchimbaji mafuta na mitambo inaendelea kufungwa lakini hawa leti madhara kwenye hayo makampuni?

Kweli wazungu sio wajomba zetu.
Ndio maana wanaitwa mabeberu
 
Waingereza bana wana madharau. Yaani wanatuma wanajeshi watatu tu kupambana na kikosi chote cha ISIS kinachomlinda huyu jamaa wao? Pengine watakuwa wamejihami vilivyo na makombora na machine guns. Ila watatu nahisi ni wachache sana.


Cc Geza Ulole
unadhani ndio wanatangaza idadi kamili ya watu waliotuma?!! hata hii mission nahisi kama ishakua executed sio kwamba ndio inaenda kufanyika.
Wenzetu wana Tactics ,pengine wanataka Kuwa underestimated ili waokoe bila shida.
 
Back
Top Bottom