Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Uingereza imetuma makomandoo watatu wa SAS kwenda nchini Msumbiji kusaidia kumuokoa raia wa nchi hiyo bwana Phillip Mawer ambae ametekwa na kikundi cha kigaidi cha ISIS.

Gazeti la The Times la Uingereza limeripoti kuwa makomandoo hao watatu wanatoka katika kambi ya jeshi la Uingereza iliyoko mjini Nairobi nchini Kenya ambayo pia hutoa mafunzo ya vita ya msituni au "Bush Warfare".

Majeshi maalum ya Marekani tayari yapo nchini humo yakitoa mafunzo maalum kwa makomandoo wa Msumbiji.

Raia huyo pamoja na raia wengine wa nchi hiyo walikuwa wakijaribu kukimbia mji wa Palma ambao ulivamiwa na kikundi hicho cha ISIS ambacho baadae kilitoa taarifa ya kuthibitisha mashambulizi yake kupitia kituo chake cha habari cha Amaq.

Bwana Mawer ni mhandisi aliekuwa akifanya kazi katika kampuni ya RA yenye makazi yake Dubai na hujishughulisha na kazi za ugavi na makazi ya muda kwa wataalam mbalimbali wanofanya kazi nchini Msumbiji.

Pia bwana Mawer alikuwa akisaidia kufunga mitambo ya mafuta ya kampuni ya Total ya Ufaransa katika mji wa Palma ambao upo mpakani kabisa na Tanzania pamoja na mji mwingine wa Mocimboa da Praia ambayo ipo ndani ya jimbo la Cado Delgado ambalo mji mkuu wake waitwa Pemba.

Gazeti la Daily Teleghraph pia linaripoti kuwa kikundi hicho cha ISIS kilifanya shambulizi lake siku ya jumatatu huku magaidi wakitokea pande tatu tofauti na baadae wakatangaza kupitia ujumbe wa mtandao wa Telegram kuwa wamefanya shambulizi hilo na mji wa Palma uko chini ya himaya yao.

Watu saba waliuawa akiwemo raia mmoja wa Uingereza walipokuwa wakikimbia kutoka hoteli ya Amarula walokuwa wakitumia kwa makazi ana ambayo ipo karibu kabisa na mradi wa gesi wa Total.

Kikundi cha ISIS nchini Msumbiji kilianza kushamiri kuanzia mwaka 2015 kikitumia jina la Ansar al- Sunna sehemu ya kaskazini mwa nchi hiyo kikifuata itikadi za Aboud Rogo Mohammed ambae hutba zake ziliwagusa vijana wasio na ajira katika eneo lenye wingi wa gesi ya mafuta.

Baadae kikundi hichi kikaanza kujenga shule za madrasa pamoja na misikiti kiasi cha kuwavuta wenyeji wengi walokuwa wakiishi katika eneo hilo.

Mwaka 2017 kikundi hicho kikaanza kufanya mashambulizi wakitumia jina la Al shabab wa Somalia ingawa hawakuwa na uhusiano wowote na kiongozi wa kikundi hicho.

Baadae kikundi hicho kikaanza kutuma picha katika mtandao wa Telegram kikionyesha picha zenye alama za ISIS wapiganaji wake wakiwa wamebeba bendera za ISIS huku wakilitaja jina la kiongozi wa kikundi hicho Abu Bakr al Baghdadi.

Baadae ISIS makao makuu wakatoa taarifa kuwa kikundi hicho cha Msumbiji kimeingzwa rasmi katika jimbo la ISIS la Afrika ya kati kwa jina la ISCAP pamoja ya kikunchi cha waasi cha jamhuri ya kidemokrasia ya Congo au Congo DRC.

Tangu wakti huo kikundi hicho kimekuwa kikifanya mashambulizi kwa wakazi wa maeneo mbalimbali ya nchini humo wakiua raia kwa kuwachinja na kutuma picha zake kwenye mtandao.

Kikundi hicho mara nyingi kimekuwa kikizidhihaki nchi za Afrika na nchi za magharibi kwa kushindwa kuingilia shughuli zake na kusema wazi kuwa kiini cha mashambulizi yake ni fedha, makaa ya mawe na gesi asilia iliopo ambazo ni rasilimali zilizopo nchini Msumbiji.

Mwezi Decemba 2020 Marekani ilitoa onyo kuhusu kuimarika kwa kikundi hichi kimuundo na kimkakati huku kikibeba itikadi ya ISIS, mbinu na taratibu na mwono wa kikundi mama cha ISIS ambacho mara nyingi azma yake kubwa ni kuteka eneo moja na kulitumia kwa shughuli zake mbalimbali.

Tayari kikundi hicho kimeutangaza mji wa Macimboa da Praia kuwa ni makao makuu ya ISCAP.

Hivyo kupitia ISCAP kikundi hiki moja ya vyanzo vyake kifedha ni kutumia njia ya waasi wa nchini Congo ambao nao hupata mapato yao kupitia biashara za madini na rasilimali zingine.

Vyanzo vya habari: Daily telegraph, The Times, Telegram na Amaq news.

Kwa Waingereza Kutangaza Kwao tu hivi ( huku ) huyo Raia wao wanayeenda Kumkomboa kutoka kwa hao Magaidi wa ISIS huko Msumbiji wakimpata akiwa Hai ( hajafa ) naogolea Baharini chini kwa chini tu ( kwa Kuzamia ) kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar na kurejea Dar es Salaam tena.
 
Uingereza imetuma makomandoo watatu wa SAS kwenda nchini Msumbiji kusaidia kumuokoa raia wa nchi hiyo bwana Phillip Mawer ambae ametekwa na kikundi cha kigaidi cha ISIS.

Gazeti la The Times la Uingereza limeripoti kuwa makomandoo hao watatu wanatoka katika kambi ya jeshi la Uingereza iliyoko mjini Nairobi nchini Kenya ambayo pia hutoa mafunzo ya vita ya msituni au "Bush Warfare".

Majeshi maalum ya Marekani tayari yapo nchini humo yakitoa mafunzo maalum kwa makomandoo wa Msumbiji.

Raia huyo pamoja na raia wengine wa nchi hiyo walikuwa wakijaribu kukimbia mji wa Palma ambao ulivamiwa na kikundi hicho cha ISIS ambacho baadae kilitoa taarifa ya kuthibitisha mashambulizi yake kupitia kituo chake cha habari cha Amaq.

Bwana Mawer ni mhandisi aliekuwa akifanya kazi katika kampuni ya RA yenye makazi yake Dubai na hujishughulisha na kazi za ugavi na makazi ya muda kwa wataalam mbalimbali wanofanya kazi nchini Msumbiji.

Pia bwana Mawer alikuwa akisaidia kufunga mitambo ya mafuta ya kampuni ya Total ya Ufaransa katika mji wa Palma ambao upo mpakani kabisa na Tanzania pamoja na mji mwingine wa Mocimboa da Praia ambayo ipo ndani ya jimbo la Cado Delgado ambalo mji mkuu wake waitwa Pemba.

Gazeti la Daily Teleghraph pia linaripoti kuwa kikundi hicho cha ISIS kilifanya shambulizi lake siku ya jumatatu huku magaidi wakitokea pande tatu tofauti na baadae wakatangaza kupitia ujumbe wa mtandao wa Telegram kuwa wamefanya shambulizi hilo na mji wa Palma uko chini ya himaya yao.

Watu saba waliuawa akiwemo raia mmoja wa Uingereza walipokuwa wakikimbia kutoka hoteli ya Amarula walokuwa wakitumia kwa makazi ana ambayo ipo karibu kabisa na mradi wa gesi wa Total.

Kikundi cha ISIS nchini Msumbiji kilianza kushamiri kuanzia mwaka 2015 kikitumia jina la Ansar al- Sunna sehemu ya kaskazini mwa nchi hiyo kikifuata itikadi za Aboud Rogo Mohammed ambae hutba zake ziliwagusa vijana wasio na ajira katika eneo lenye wingi wa gesi ya mafuta.

Baadae kikundi hichi kikaanza kujenga shule za madrasa pamoja na misikiti kiasi cha kuwavuta wenyeji wengi walokuwa wakiishi katika eneo hilo.

Mwaka 2017 kikundi hicho kikaanza kufanya mashambulizi wakitumia jina la Al shabab wa Somalia ingawa hawakuwa na uhusiano wowote na kiongozi wa kikundi hicho.

Baadae kikundi hicho kikaanza kutuma picha katika mtandao wa Telegram kikionyesha picha zenye alama za ISIS wapiganaji wake wakiwa wamebeba bendera za ISIS huku wakilitaja jina la kiongozi wa kikundi hicho Abu Bakr al Baghdadi.

Baadae ISIS makao makuu wakatoa taarifa kuwa kikundi hicho cha Msumbiji kimeingzwa rasmi katika jimbo la ISIS la Afrika ya kati kwa jina la ISCAP pamoja ya kikunchi cha waasi cha jamhuri ya kidemokrasia ya Congo au Congo DRC.

Tangu wakti huo kikundi hicho kimekuwa kikifanya mashambulizi kwa wakazi wa maeneo mbalimbali ya nchini humo wakiua raia kwa kuwachinja na kutuma picha zake kwenye mtandao.

Kikundi hicho mara nyingi kimekuwa kikizidhihaki nchi za Afrika na nchi za magharibi kwa kushindwa kuingilia shughuli zake na kusema wazi kuwa kiini cha mashambulizi yake ni fedha, makaa ya mawe na gesi asilia iliopo ambazo ni rasilimali zilizopo nchini Msumbiji.

Mwezi Decemba 2020 Marekani ilitoa onyo kuhusu kuimarika kwa kikundi hichi kimuundo na kimkakati huku kikibeba itikadi ya ISIS, mbinu na taratibu na mwono wa kikundi mama cha ISIS ambacho mara nyingi azma yake kubwa ni kuteka eneo moja na kulitumia kwa shughuli zake mbalimbali.

Tayari kikundi hicho kimeutangaza mji wa Macimboa da Praia kuwa ni makao makuu ya ISCAP.

Hivyo kupitia ISCAP kikundi hiki moja ya vyanzo vyake kifedha ni kutumia njia ya waasi wa nchini Congo ambao nao hupata mapato yao kupitia biashara za madini na rasilimali zingine.

Vyanzo vya habari: Daily telegraph, The Times, Telegram na Amaq news.
Hiviii hao SAS wako vzriii au ndo wanakuja kuipaka msumbijii mafuta kwa mgongo wa chupa maaana hao ISIS so wa2 wa mchezo maana hadi wanawake wao wanakwepa risasi baadae waingereza wasilaumianeee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Upo sahihi. Lakini duru zinasema bado mitambo inaendelea kusimikwa. Nikukumbushe mkuu TOTAL ni kampuni ya KIFARANSA wacha tuone mwendelezo wa hao raia wa kigeni wanaopata madhara wanatoka upande gani.
Swali langu ni kwamba hicho kikundi cha wanamgambo kinalinda maslahi yake kama IS au kinachezeshwa gwaride kulinda maslahi ya mzungu?????.
Tutapata ukweli si muda
 
Kwanin mnawalaumu wazungu kila kitu? Huko Kaskazini ya Mdumbiji hali ya usalama ni tete toka siku nyingi sana hilo limefanya watu wenye meimami mkali wa kidini wajikite kirahisi na kukua. Sasa mdungu anaingiaje?
 
Hata mimi huwa naona kama ni propaganda tu. Yaani nchi na jeshi lake washindwe na kakikundi ka watu wachache??? Nchi ina vikosi vingapi vya jeshi???? Wana silaha za aina gani nzuri kuliko hao waasi?
Mkuu yawezekana kuna maslahi yanalindwa na yawezekana jeshi la wanamsumbiji badoooo sanaaa.
Anko wangu mmoja alinambia baada ta vita vya ukombozi wa msumbuji walitumwa askari wa Tanzania JWTZ kwenda msumbiji kutoa mafunzo ya kijeshi. Yaaan ile introduction to the Camp wanamsumbiji walipukutika kama vifaranga aiseeee. Jamaa nasikia ni wachovu sijui enzi hizi za sasa labda wako imara
 
Yani kumbe hao waasi wanauwa watu maeneo hayohayo na kazi za uchimbaji mafuta na mitambo inaendelea kufungwa lakini hawa leti madhara kwenye hayo makampuni?????.

Kweli wazungu sio wajombazetu.
wanauwa ‼️ wanaua✅
 
Mkuu yawezekana kuna maslahi yanalindwa na yawezekana jeshi la wanamsumbiji badoooo sanaaa.
Anko wangu mmoja alinambia baada ta vita vya ukombozi wa msumbuji walitumwa askari wa Tanzania JWTZ kwenda msumbiji kutoa mafunzo ya kijeshi. Yaaan ile introduction to the Camp wanamsumbiji walipukutika kama vifaranga aiseeee. Jamaa nasikia ni wachovu sijui enzi hizi za sasa labda wako imara
Tukianzia kwenye ulegevu wa jeshi ni kweli jeshi Lao ni dhaifu Sana . Unakuta wamevaa nguo mbilimbili kwamba ikitokea jamaa wameingia wanavua zile za jeshi na kubaki na za kiraia.
Tangu Vita hii ianze hakuna sehem jeshi lilifanikiww kukomboa zaid ya biti na maonevu kwa raia wao.
Kingine mpaka Sasa ni nadra Sana kukuta vyombo vyao vikitangaza hizi habar mpaka raia wanakuwa wanahisi labda ni project ya serikali.
Tusipoangalia hili kundi litakuwa kubwa na kuja kuwa uncontrollable africa maana mpaka Sasa ni karibia nusu ya mkoa iko chini yao.
Wilaya zilizo chini yao ni mocimbou da praia Kuna bandari
Palma Kuna bandari na gesi na uwanja wa ndege wa kampuni
Nangade
Macomia
Imebaki mueda tu kwenye Kanda hiyo nayo siku chakula kikiwaishia lazima wajongee
Palma wilaya waliyovamia majuz ni karibu saaana na mtwara na asilimia kubwa ya wakaz wanafamilia tz na hawakijui hata hicho kireno wanaongea kiswahili
 
D
Uingereza imetuma makomandoo watatu wa SAS kwenda nchini Msumbiji kusaidia kumuokoa raia wa nchi hiyo bwana Phillip Mawer ambae ametekwa na kikundi cha kigaidi cha ISIS.

Gazeti la The Times la Uingereza limeripoti kuwa makomandoo hao watatu wanatoka katika kambi ya jeshi la Uingereza iliyoko mjini Nairobi nchini Kenya ambayo pia hutoa mafunzo ya vita ya msituni au "Bush Warfare".

Majeshi maalum ya Marekani tayari yapo nchini humo yakitoa mafunzo maalum kwa makomandoo wa Msumbiji.

Raia huyo pamoja na raia wengine wa nchi hiyo walikuwa wakijaribu kukimbia mji wa Palma ambao ulivamiwa na kikundi hicho cha ISIS ambacho baadae kilitoa taarifa ya kuthibitisha mashambulizi yake kupitia kituo chake cha habari cha Amaq.

Bwana Mawer ni mhandisi aliekuwa akifanya kazi katika kampuni ya RA yenye makazi yake Dubai na hujishughulisha na kazi za ugavi na makazi ya muda kwa wataalam mbalimbali wanofanya kazi nchini Msumbiji.

Pia bwana Mawer alikuwa akisaidia kufunga mitambo ya mafuta ya kampuni ya Total ya Ufaransa katika mji wa Palma ambao upo mpakani kabisa na Tanzania pamoja na mji mwingine wa Mocimboa da Praia ambayo ipo ndani ya jimbo la Cado Delgado ambalo mji mkuu wake waitwa Pemba.

Gazeti la Daily Teleghraph pia linaripoti kuwa kikundi hicho cha ISIS kilifanya shambulizi lake siku ya jumatatu huku magaidi wakitokea pande tatu tofauti na baadae wakatangaza kupitia ujumbe wa mtandao wa Telegram kuwa wamefanya shambulizi hilo na mji wa Palma uko chini ya himaya yao.

Watu saba waliuawa akiwemo raia mmoja wa Uingereza walipokuwa wakikimbia kutoka hoteli ya Amarula walokuwa wakitumia kwa makazi ana ambayo ipo karibu kabisa na mradi wa gesi wa Total.

Kikundi cha ISIS nchini Msumbiji kilianza kushamiri kuanzia mwaka 2015 kikitumia jina la Ansar al- Sunna sehemu ya kaskazini mwa nchi hiyo kikifuata itikadi za Aboud Rogo Mohammed ambae hutba zake ziliwagusa vijana wasio na ajira katika eneo lenye wingi wa gesi ya mafuta.

Baadae kikundi hichi kikaanza kujenga shule za madrasa pamoja na misikiti kiasi cha kuwavuta wenyeji wengi walokuwa wakiishi katika eneo hilo.

Mwaka 2017 kikundi hicho kikaanza kufanya mashambulizi wakitumia jina la Al shabab wa Somalia ingawa hawakuwa na uhusiano wowote na kiongozi wa kikundi hicho.

Baadae kikundi hicho kikaanza kutuma picha katika mtandao wa Telegram kikionyesha picha zenye alama za ISIS wapiganaji wake wakiwa wamebeba bendera za ISIS huku wakilitaja jina la kiongozi wa kikundi hicho Abu Bakr al Baghdadi.

Baadae ISIS makao makuu wakatoa taarifa kuwa kikundi hicho cha Msumbiji kimeingzwa rasmi katika jimbo la ISIS la Afrika ya kati kwa jina la ISCAP pamoja ya kikunchi cha waasi cha jamhuri ya kidemokrasia ya Congo au Congo DRC.

Tangu wakti huo kikundi hicho kimekuwa kikifanya mashambulizi kwa wakazi wa maeneo mbalimbali ya nchini humo wakiua raia kwa kuwachinja na kutuma picha zake kwenye mtandao.

Kikundi hicho mara nyingi kimekuwa kikizidhihaki nchi za Afrika na nchi za magharibi kwa kushindwa kuingilia shughuli zake na kusema wazi kuwa kiini cha mashambulizi yake ni fedha, makaa ya mawe na gesi asilia iliopo ambazo ni rasilimali zilizopo nchini Msumbiji.

Mwezi Decemba 2020 Marekani ilitoa onyo kuhusu kuimarika kwa kikundi hichi kimuundo na kimkakati huku kikibeba itikadi ya ISIS, mbinu na taratibu na mwono wa kikundi mama cha ISIS ambacho mara nyingi azma yake kubwa ni kuteka eneo moja na kulitumia kwa shughuli zake mbalimbali.

Tayari kikundi hicho kimeutangaza mji wa Macimboa da Praia kuwa ni makao makuu ya ISCAP.

Hivyo kupitia ISCAP kikundi hiki moja ya vyanzo vyake kifedha ni kutumia njia ya waasi wa nchini Congo ambao nao hupata mapato yao kupitia biashara za madini na rasilimali zingine.

Vyanzo vya habari: Daily telegraph, The Times, Telegram na Amaq news.Duuh hatari
 
Waingereza bana wana madharau. Yaani wanatuma wanajeshi watatu tu kupambana na kikosi chote cha ISIS kinachomlinda huyu jamaa wao? Pengine watakuwa wamejihami vilivyo na makombora na machine guns. Ila watatu nahisi ni wachache sana.


Cc Geza Ulole
Vita ya intelijensia...siyo vita ya maguvu!
Yawezekana waingereza wa3 ila wakapewa wajeda wa Msumbiji 300.
Wanaenda kisasa na miwani night vision, mawasiliano, silaha za uhakika, mavazi, chakula kila kitu uhakika.

Hao wala sio ISIS kama walio Syria Au Iraq, hao ni wahuni tu fulani jobless, hawawezi hata kufananishwa na Al-shabaab. Hawa ni mamluki! Kama sungusungu tu!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kipindi kile Tz tulivyo anza operation kule Kibiti,Zito na wenzake walikuwa wanakejeli sana.Hawa wajinga sio wakuwachekea ukikamata maliza huko huko hamna maswala ya kesi.

Nimeona wajinga wamevamia kambi ya jeshi,wameteka silaha na magari ya Jeshi,yaani kwa kifupi Msumbiji kishashindwa anahitaji msaada na hawa magaidi kila siku uwezo wao unazidi kuimarika.
 
Injinia wa hizi vita ni mabeberu wenyewe.. Biashara ya silaha ni biashara kubwa sana..bila vita silaha haziuziki
Na wajinga ndiyo hao mitaji ya hiyo biashara ya silaha,
LNG miradi inakuza nchi zao, na wenyeji waliokuwa ndugu zao ndiyo wanaopata dhahana, wageni ni wachache SANA, watoto na mama zao kuingizwa kwenye utumwa wa kivita na kingono.

Dalali anaishi Dubai 7* mpiganaji anaishi huko msituni mapangoni, ujinga.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom