Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Mkuu hao ndiyo walinzi wa mradi!
Hao makomando wa Uingereza walikuwa Nairobi wakifundisha sijui kina nani vita ya msituni. Wakati wao Waingereza kwao hakuna misitu.

Tabia ya Beberu ni kujirushia mkojo wake!

Everyday is Saturday............................... 😎
Misitu wanayo mkuu huko ndiko hujifunzwa.

Kuna aina tatu za vita ya ardhini kuna vita ya msituni "Bush Warfare", vita ya mjini au "urban Warfare"na vita ya mwenye silaha nzito dhidi ya kikundi kidogo chenye silaha hafifu yaani "asymmetrical warfare", ambacho hufanya mashambulizi ya kushtukiza.

Hivy hawa wamepelekwa kwa hiyo aina ya tatu ya vita ya "asymetrical warfare"
 
Mkuu, tukianza kuongelea hawa jamaa itachukua muda sana.

Hivi wafahamu kuwa hawa huweza kuingia katika nchi kama watalii na kukaa kuleee mbugani.

Huko huweza kutuma drone ikazunguka Mererani yote na kutuma picha makao makuu bila hata mtu kutambua?

Ogopa sana hawa watu.

?
Walichotuacha wenzetu ni Technology, + mafunzo + weledi + mishahara na benefits zingine. Wakijitahidi sana kwenda na mda.. ( advance ki tech, kimazoe,i, mbinu zinazotokana na research ).. Sie huku tupo nyuma ya Tech sana.. na hata waledi na benefits.. ni kikwazo sana
 
Nashangaa sana Jeshi la msumbiji ,yaani wanashindwa kuwamaliza hao "WAVUTA BANGI wanaojiita ISIS"? Yaani wanaingia kwako na kufanya mauaji na wao wapo tu kambini wanakula mikate yenye siagi na chai ya maziwa? Hao ni Operation ya Week tu unawakamata na kuwakaanga kwenye concentrated Sulphuric acid.
Si rahisi hivyo mkuu hii issue iko very complex.

Kama kikundi hichi kina uhusiano na waasi wa Congo DRC wadhani kuna ulegelege hapo?
 
Kila kwenye mafuta na gesi Africa lazima kuwe na uwasi hata Tz tungecheza kidogo yangetukuta najiuliza makomando watatu wakaokoe mtu mmoja kwenye kundi la waasi ambao wameshikilia miji na mitaa msumbujii kama sio wao wenyewe kwenda kutoa mafunzo kwa magaid na ushaambiwa wao ni walimu wa" bush welfare"pia cha ajabu kampuni Total bado inafunga mitambo yake bila shida yn utaniutani msumbujii ndio bc tn
Itakua zuga hawa watakua wamepeleka kikosi ....wanajua wakisema.kikosi IS watajipanga zaidi
 
Kwani majeshi ya nchi ambazo huwa zinavamiwa na hawa jamaa huwa hawajui kutumia bunduki??? Mipaka yao hailindwi vizuri hadi wazungu wanapata njia za kuwaletea silaha?
Nimeeleza hapo katika mada kwamba kuna biashara yafwanywa akti ya waasi wa Congo DRC na hawa jamaa wa ISIS.

Moja ya biashara hiyo itakuwa ni silaha ambazo nyingi ni kutoka Libya au hata Iraq yaani zile silaha zilizookotwa au kutumika.

Ni biashara haramu ambayo key players ni arms dealers..
 
Si rahisi hivyo mkuu hii issue iko very complex.

Kama kikundi hichi kina uhusiano na waasi wa Congo DRC wadhani kuna ulegelege hapo?

Kivipi Mkuu? Hao wahuni hawazidi hata 100,complexity yake inakuwaje? Hizo ni propaganda tu kwamba ni biashara ya silaha,mbona huku kwetu walimalizwa? Kwenye maswala ya usalama wa nchi hautakiwi kucheka na KIMA maana utavuna mabua,ni operation ya kukamata na kuwaunguza na acid tu.

Hao wahuni zaidi ya Ak47/SMG hawana silaha za kutisha zaidi ya hizo,sasa majeshi yana kila aina ya silaha wanashindwaje kuwadaka hao wahuni ambao wameingia phyisically nchi mwako? Wakipiga Operation ya wiki mpaka kwa mpaka nyumba kwa nyumba na wakazunguka mji wote sehemu zote za kutokea lazima wawakamate.
 
Misitu wanayo mkuu huko ndiko hujifunzwa.

Kuna aina tatu za vita ya ardhini kuna vita ya msituni "Bush Warfare", vita ya mjini au "urban Warfare"na vita ya mwenye silaha nzito dhidi ya kikundi kidogo chenye silaha hafifu yaani "asymmetrical warfare", ambacho hufanya mashambulizi ya kushtukiza.

Hivy hawa wamepelekwa kwa hiyo aina ya tatu ya vita ya "asymetrical warfare"
Wao Waingereza, hawana misitu, nani anaenda kupigana nao wenye vichochoro vyao?? Labda ingekuwa wanamiliki Siberia.

Hapa watu wanatafuta contract za ulinzi.
Utasikia serikali kusaidia bajeti ya ulinzi ya Msumbiji kumbe ndiyo ajira kulipa kampuni zao za ulinzi.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Nimeeleza hapo katika mada kwamba kuna biashara yafwanywa akti ya waasi wa Congo DRC na hawa jamaa wa ISIS.

Moja ya biashara hiyo itakuwa ni silaha ambazo nyingi ni kutoka Libya au hata Iraq yaani zile silaha zilizookotwa au kutumika.

Ni biashara haramu ambayo key players ni arms dealers..
Yaani kiukweli mimi huwa sioni mantiki ya sheria za ulinzi wa amani wa UN, kwasababu hawa UN wanajua kabisa kwamba wanasababisha vita kwenye nchi hizi ni wafadhili wa kizungu. Huko Congo ni wazungu ndyo wanafadhili ili waendelee kuchota mali za waCongo. Kwanini nchi husika zisichukue hatua ya kufanya operation kama wanapigana na adui kutoka nchi nyingine ili kuwafyekelea mbali hao watu????
 
Kivipi Mkuu? Hao wahuni hawazidi hata 100,complexity yake inakuwaje? Hizo ni propaganda tu kwamba ni biashara ya silaha,mbona huku kwetu walimalizwa? Kwenye maswala ya usalama wa nchi hautakiwi kucheka na KIMA maana utavuna mabua,ni operation ya kukamata na kuwaunguza na acid tu.

Hao wahuni zaidi ya Ak47/SMG hawana silaha za kutisha zaidi ya hizo,sasa majeshi yana kila aina ya silaha wanashindwaje kuwadaka hao wahuni ambao wameingia phyisically nchi mwako? Wakipiga Operation ya wiki mpaka kwa mpaka nyumba kwa nyumba na wakazunguka mji wote sehemu zote za kutokea lazima wawakamate.
Hao ni wahuni nakubaliana nawe, propaganda kuwaita wanajeshi, hawana silaha zozote za maana, jeshi huko likijipanga kama JWTZ ilivyojipanga huku enzi za MKIRU, wanasambaratika wote.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kivipi Mkuu? Hao wahuni hawazidi hata 100,complexity yake inakuwaje? Hizo ni propaganda tu kwamba ni biashara ya silaha,mbona huku kwetu walimalizwa? Kwenye maswala ya usalama wa nchi hautakiwi kucheka na KIMA maana utavuna mabua,ni operation ya kukamata na kuwaunguza na acid tu.

Hao wahuni zaidi ya Ak47/SMG hawana silaha za kutisha zaidi ya hizo,sasa majeshi yana kila aina ya silaha wanashindwaje kuwadaka hao wahuni ambao wameingia phyisically nchi mwako? Wakipiga Operation ya wiki mpaka kwa mpaka nyumba kwa nyumba na wakazunguka mji wote sehemu zote za kutokea lazima wawakamate.
Hata mimi huwa naona kama ni propaganda tu. Yaani nchi na jeshi lake washindwe na kakikundi ka watu wachache??? Nchi ina vikosi vingapi vya jeshi???? Wana silaha za aina gani nzuri kuliko hao waasi?
 
Mbona wafanyakazi wa mitambo ya gas wameuwawa wengine wametekaa au sijasoma vizuri?
Upo sahihi. Lakini duru zinasema bado mitambo inaendelea kusimikwa. Nikukumbushe mkuu TOTAL ni kampuni ya KIFARANSA wacha tuone mwendelezo wa hao raia wa kigeni wanaopata madhara wanatoka upande gani.
Swali langu ni kwamba hicho kikundi cha wanamgambo kinalinda maslahi yake kama IS au kinachezeshwa gwaride kulinda maslahi ya mzungu?????.
 
Hao ni wahuni nakubaliana nawe, propaganda kuwaita wanajeshi, hawana silaha zozote za maana, jeshi huko likijipanga kama JWTZ ilivyojipanga huku enzi za MKIRU, wanasambaratika wote.

Everyday is Saturday............................... 😎

Ni kweli huwa nashangaa yaani jeshi kushindwa kuwamaliza hao wahuni(wavuta bangi)....Walikuja MKIRU wakaanza kuleta athari lakini wamemalizwa wote,hao wahuni si wa kuwachekea/kuwa entertain, hao ni ambush tu.
 
Back
Top Bottom